Kilimanjaro: Walimu wauza Rasilimali zao kupata pesa za uhamisho

Kilimanjaro: Walimu wauza Rasilimali zao kupata pesa za uhamisho

Jenga hoja kwamba walimu hawalipwi hela ya uhamisho,ila si walimu kuuza kuku na mbuzi! .. ili wapate hela ya kuhamia kituo kingine cha kazi!. Ulitaka wahame pamoja na kuku na mbuzi wao? …..Je! mazingira wanayo hamia kuna miundombinu,…itakayo waruhusu kwenda na mifugo?.Asilimia kubwa hairuhusu,…..hivo ni lazima waiuze…maana hawataweza kuifanya nyama.
 
Jenga hoja kwamba walimu hawalipwi hela ya uhamisho,ila si walimu kuuza kuku na mbuzi! .. ili wapate hela ya kuhamia kituo kingine cha kazi!. Ulitaka wahame pamoja na kuku na mbuzi wao? …..Je! mazingira wanayo hamia kuna miundombinu,…itakayo waruhusu kwenda na mifugo?.Asilimia kubwa hairuhusu,…..hivo ni lazima waiuze…maana hawataweza kuifanya nyama.
great thinker
 
Walimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.

Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.

Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.

Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.

Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.

Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Sasa kama Nchi iko kimkopo unategemea nini,haiwezekani wanajua SOKO la bidhaa zote na wanajua a wananchi wanajituma.kwan nguvu lakini wanaishia kwa kikomopo umiza kama sisi tunavyoumizwa alafu waachwe salama sijawahi ona Nchi isiyo na dira kama Tz,watawala wanafurahi kukaba makoo ya watu na hatimae wanaenda kwa Togolani kukopa,this is mean,sii Bora tulime kilimo cha wajakoya.Wanavuta Kodi alafu mifumo ya kusamba fedha inafungwa
 
Walimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.

Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.

Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.

Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.

Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.

Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Inasikitisha sana tena sana ila pipa wakakwea halafu ndiyo wasimamizi wa uchaguzi dah yaani ningekuwa Mimi yaani mwl kima cha chini mshahara ingekuwa mil 10. Nyumba bure, bima ya maisha na kusomeshewa bure
 
Kule wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kuna walimu watano ambao walihamishwa kwa uhamisho wa dharura kwakuwa shule yao ilihamia Handeni kutokana na badiliko la mipaka tangu November 2023 hawakupewa usafiri wala stahiki zozote na wanatishiwa kufukuzwa kazi wasiporipoti au kugoma laana iwe juu yao wote waliohusika na uonevu huu.
Lakini si ndio wapenzi wa chama tawala hawa?
 
Tatizo afisaelimu mkoa wa Kilimanjaro,anaishi Dar, akifuatilia 10% ya mitihani ya mock mkoa, inayochapishiwa Dar.

Hana muda wakusikiliza KERO za walimu Rombo.

Mitihani hii,inachapishiwa Dar, na kusafirishwa kwenda Kilimanjaro.
 
Walimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.

Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.

Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.

Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.

Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.

Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Ndiyo maana ya kuitumikia serikali waliyoichagua
 
Kule wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kuna walimu watano ambao walihamishwa kwa uhamisho wa dharura kwakuwa shule yao ilihamia Handeni kutokana na badiliko la mipaka tangu November 2023 hawakupewa usafiri wala stahiki zozote na wanatishiwa kufukuzwa kazi wasiporipoti au kugoma laana iwe juu yao wote waliohusika na uonevu huu.
Ila mkuu hivi hiyo mipaka imebadilika kwa umbali upi hadi wastahili kulipwa?
 
Lakini si ndio wapenzi wa chama tawala hawa?
Sidhani kama ni wapenzi wa hiari wa ccm bali wanalazimika kuwa hivyo.
Waalimu wamefanywa masikini na serikali ya CCM kwa kulipwa masilahi kidogo ili waishi kwa kutegemea hisani ya serikali.

Kwa hali hiyo serikali inawatumia kama misukule huku ikiwapa bakshishi kidogo, walimu nao wanashangilia kama mazuzu kwa vile hawana jinsi.

Wakulaumiwa sana hapa ni hivyo vyama vyao kwa kushindwa kabisa kumtetea mwalimu.
 
Back
Top Bottom