proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Ife amba ngakukunda tiki lakini njoo PM tutete zaidi, nshio tiki nae otrohove foAmba tiki wee kwani nffi alielewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ife amba ngakukunda tiki lakini njoo PM tutete zaidi, nshio tiki nae otrohove foAmba tiki wee kwani nffi alielewa
great thinkerJenga hoja kwamba walimu hawalipwi hela ya uhamisho,ila si walimu kuuza kuku na mbuzi! .. ili wapate hela ya kuhamia kituo kingine cha kazi!. Ulitaka wahame pamoja na kuku na mbuzi wao? …..Je! mazingira wanayo hamia kuna miundombinu,…itakayo waruhusu kwenda na mifugo?.Asilimia kubwa hairuhusu,…..hivo ni lazima waiuze…maana hawataweza kuifanya nyama.
Pm ni ku lau?Ife amba ngakukunda tiki lakini njoo PM tutete zaidi, nshio tiki nae otrohove fo
Bonyeza picha yakwa hodooka enda handu haandike start conversation yaan Private MessagePm ni ku lau?
Pm ni ku la
MimiAmba tiki wee kwani nffi alielewa
Sasa kama Nchi iko kimkopo unategemea nini,haiwezekani wanajua SOKO la bidhaa zote na wanajua a wananchi wanajituma.kwan nguvu lakini wanaishia kwa kikomopo umiza kama sisi tunavyoumizwa alafu waachwe salama sijawahi ona Nchi isiyo na dira kama Tz,watawala wanafurahi kukaba makoo ya watu na hatimae wanaenda kwa Togolani kukopa,this is mean,sii Bora tulime kilimo cha wajakoya.Wanavuta Kodi alafu mifumo ya kusamba fedha inafungwaWalimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.
Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.
Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.
Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.
Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.
Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
📌📌Makonda ni kiongozi wa watu wenye ufinyu wa mawazo. Kitu ambacho hamjui ni kwamba kiongozi kazi yake kubwa ni kuepusha jamii isiingie kwenye matatizo na siyo kusubiri matatizo yatokee.
Inasikitisha sana tena sana ila pipa wakakwea halafu ndiyo wasimamizi wa uchaguzi dah yaani ningekuwa Mimi yaani mwl kima cha chini mshahara ingekuwa mil 10. Nyumba bure, bima ya maisha na kusomeshewa bureWalimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.
Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.
Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.
Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.
Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.
Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Hamna kitu umeelewa hapo😁Mimi
Eti sema tu hamna anayeelewaHamna kitu umeelewa hapo😁
Kwani wanaowanyima stahiki zao si maswahiba wa nakonda na Ccm yake?Akitokea mtu kama Makonda hapo kutatua hio ishu , kuna wale wa upande wa pili wataanza kutoa povu
Lakini si ndio wapenzi wa chama tawala hawa?Kule wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kuna walimu watano ambao walihamishwa kwa uhamisho wa dharura kwakuwa shule yao ilihamia Handeni kutokana na badiliko la mipaka tangu November 2023 hawakupewa usafiri wala stahiki zozote na wanatishiwa kufukuzwa kazi wasiporipoti au kugoma laana iwe juu yao wote waliohusika na uonevu huu.
Ndiyo maana ya kuitumikia serikali waliyoichaguaWalimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.
Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.
Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.
Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.
Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.
Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Ila mkuu hivi hiyo mipaka imebadilika kwa umbali upi hadi wastahili kulipwa?Kule wilaya ya Kilindi mkoani Tanga kuna walimu watano ambao walihamishwa kwa uhamisho wa dharura kwakuwa shule yao ilihamia Handeni kutokana na badiliko la mipaka tangu November 2023 hawakupewa usafiri wala stahiki zozote na wanatishiwa kufukuzwa kazi wasiporipoti au kugoma laana iwe juu yao wote waliohusika na uonevu huu.
Sidhani kama ni wapenzi wa hiari wa ccm bali wanalazimika kuwa hivyo.Lakini si ndio wapenzi wa chama tawala hawa?
Wenye rimoti wa msoga asee,,,zilipendwa hatuhusikiKwani wanaowanyima stahiki zao si maswahiba wa nakonda na Ccm yake?
Tafsiri sentensi moja hapoEti sema tu hamna anayeelewa