Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Amba_semaTafsiri sentensi moja hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amba_semaTafsiri sentensi moja hapo
Wanehanishwa au wamejihamisha kwa kubadilishana vituo na walimu wenzao?Walimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.
Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.
Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.
Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.
Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.
Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Mfano umehamishiwa umbali wa kilometa sitini hustahili kulipwa?Ila mkuu hivi hiyo mipaka imebadilika kwa umbali upi hadi wastahili kulipwa?
Wataombewa dua mbaya kila siku kwa uonevu wanaowafanyia wafanyakaziSidhani kama ni wapenzi wa hiari wa ccm bali wanalazimika kuwa hivyo.
Waalimu wamefanywa masikini na serikali ya CCM kwa kulipwa masilahi kidogo ili waishi kwa kutegemea hisani ya serikali.
Kwa hali hiyo serikali inawatumia kama misukule huku ikiwapa bakshishi kidogo, walimu nao wanashangilia kama mazuzu kwa vile hawana jinsi.
Wakulaumiwa sana hapa ni hivyo vyama vyao kwa kushindwa kabisa kumtetea mwalimu.
Inategemea na terms za uhamisho huoMfano umehamishiwa umbali wa kilometa sitini hustahili kulipwa?
Kwani hakuna CWT hapoWalimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbali mbali wilayani Rombo,mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi,kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa Kwa ajili ya kujihamisha wao pamoja na familia zao baada ya kupata barua za uhamisho na kutakiwa kwenda kuripoti katika vituo vingine vya kazi.
Walimu hao wamedai ya kuwa walipata barua za uhamisho na kutakiwa kuripoti Katika vituo vyao vip ya vya kazi mnamo tarehe 8 mwezi wa pili (2)mwaka huu lakini baada ya kuripoti kazini waliahidiwa kulipwa stahiki za uhamisho mapema iwezakanavyo lakini Hadi sasa ni miezi Minne (4) imeisha Bila kupata chochote.
Baadhi ya shule hizo ni pamoja na shule ya msingi Urauri, Mashima, Kafumbu, kibaoni, Nanjara,na Samanga.
Baadhi ya Walimu hao ambao hawakupenda kutaja majina yao wamedai Kuwa malalamiko yao tayari walikwisha peleka Kwa Afisa Utumishi,Afisa elimu pamoja na mkurugenzi.
Lakini Majibu wanayopewa Kila wakati hayaridhishi Kwa kuambiwa Kuwa mfumo Unasumbua ndo maana pesa haijatoka.
Walimu hao wamedai Kufanya kazi katika mazingira Magumu kutokana na kuwa madeni mengi.
Bila mshiko Uhamisho sikuhizi unasumbua kinoumaaa!