Kilimanjaro: Walimu wauza Rasilimali zao kupata pesa za uhamisho

Wanehanishwa au wamejihamisha kwa kubadilishana vituo na walimu wenzao?
 
Wataombewa dua mbaya kila siku kwa uonevu wanaowafanyia wafanyakazi
 
Kwani hakuna CWT hapo
 
Afisa elimu msingi rombo hafai kabisa kwenye nafasi hiyo ni mwanamke mnyama sana, anazuia watu wasihamie rombo na wanaotaka kuhama hapitishi barua zao!
 
Hata wilaya ya moshi dc tatizo hilo lipo walimu wamehamishiwa shule mpya tokea mwezi wa april hadi keo mfumo mfumo na walimu wanajipigia kazi kama kawaida ila stahiki holaaa...serikali inawazaga nini sijui.?inasikitishq sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…