Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

polisi wakikamata hata mwizi wa kuku cha kwanza ni kuwatia pingu ila hawa wauaji na watesaji wamerelax tu. Kiufupi hapo hakuna jipya hawa wahuni wote dawa yao ni NGUVU YA UMMA TUWAGAWANE!!!😎😎😎😎
 
Kutandikiwa kanga ni kawaida mkuu, hawajafagia barabara na kudeki ziwa?
 
Story zaidi
 
Dr Charles Kimei ameshaanza kuonesha sura yake halisi. Haridhiki na utajirisho aliouvuna na hata kuzawadiwa na CRDB? Ubunge ataupata au kuukosa kwa haki, sio kunyakua kwa nguvu. Unadhani hao vibaka wanagharamiwa na Nani?
Hali ngumu sana,πŸ€—,mrema ni boss,mbatia boss,saitakuaje?..!!!😲😲
 
Hilo genge la kigaidi la CCM lilijisahau na kwenye kumfanyia wenzao Mbatia ndio maana mnaona liko hadharani
 
Kinachonishangaza sana ni kuwa CCM LUMUMBA wamekaa kimya. Huku ni kukiri kiaina.

Nccr au chadema waweke wakili kufuatilia hili.
 
PM anadiriki kuzurura kuomba kura nchi nzima pia kushiriki ibaada na dua ili hali yeye binafsi alibariki mbinu ovu kwa wapinzani wake kutekwa, kupigwa apite bila kupigwa. Nilikuwa namshemu sana PM ila dhuluma hizi!?
Ameshahukumiwa Huko.Mbinguni anasubiri kutumwa kwenye ziwa likawalo moto alioandaliwa ibilisi na malaika zake. Neno la Mungu liko wazi. Atendae dhambi ni wa shetani
 
Kwahiyo mkuu hapo ndio Yale maneno anayasemaga chair wao "win win situation"
Kwamba mbatia kasafishwa kuwa ni mpinzani wa kweli
Upande wa pili nao sasa serikali imeshalitambua na kudhibiti watu wasiojulikana wanaowavamia wapinzani
Tumeshaigundua hiyo. Washenzi sana hao.
 
Ndio hapo sasa. Habari kama hii ya kiintelijensia? Wameshafeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…