Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni

"Kitengo cha Maadili na Usalama Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba" halafu wanateka watu!?

Hiyo ndo CCM mpya, yaani imejaa woga, uzandiki, unafiki, chuki, uongo, na kila aina ya ukatili.

Na hii imetokana na silika na hulka aliyonayo kinara wao wa chama yaani Meko.
Watawakana na kuwapoteza lakini ukweli ndio huo, kule kuna ofisi zina majina mazuri lakini wamejaa majambazi tu. Hapa Mola ametumegea kidogo tu.
 
Mambo yameanza kufunguka miti imeanza kuteleza, watatajana tu wote na kila siri itajulikana.
 
CCM wana kibali cha kufanya ugaidi watakavyo nchi hii. Hao hawatafanyiwa kitu chochote. Sana sana watapandishwa vyeo. Nyerere alisema watu wanapoishiwa sera basi ufanya mambo ya aina hii ili kujipatia uhalali. CCM wameishiwa sera na uhalali. Tegemea lao ni NEC, Msajili, polisi, TISS... dhidi ya umma. Umma umejitambua sasa.
 
Mkuu wa Wilaya ya Hai Ole SABAYA hawezi kukosa mkono wake hapa, achunguzwe na watu hawa wataja anaye wafadhili lazima utamkuta yumo. Maana hata yeye Ole Sabaya aliwahi kukamatwa Arusha akifanya shughuli za kujitaja kuwa yeye ni usalama wa taifa akawekwa ndani na ushahidi wa kitambulisho cha kubumba alikuwa nacho ccm wakamtetelea akatoka.
Hahahahaha kamzee Ole sabaya
Screenshot_20201014-114902.jpeg
 
Hawa nadhani kuwapeleka polisi kisha sheria kufata mkondo haitoshi asee,yaan hawa ni unakamata unawafanyia yaleyale waliyokuwa wanawafanyia wenzao kwa zana zao zilezile. Mkimaliza sasa ndo mnafanya kubwa kuliko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom