Kilimo cha Bashe hakina dira yoyote, ni porojo tu. Sasa anataka wakulima waisajili mikorosho ili iweje?

Kilimo cha Bashe hakina dira yoyote, ni porojo tu. Sasa anataka wakulima waisajili mikorosho ili iweje?

Kwanza wanaochangia kwa kutumia neno Msomali wanaendeleza ubaguzi jambo ambalo tunataka tuachane nalo hapa jf

Pili naunga mkono hoja kwamba anakoelekea anaanza ishu za upigaji ambazo sisi huku nje tunaona ndo zilimwondoa Mashimba Ndaki

Mapendekezo: ashughulikie vikwazo vya masoko wakulima wanaibiwa na kutapeliwa kupitia madalali, vyama vya msingi, bodi za mazao.
 
Hakuna chama Cha msingi kinamuibia mkulima, eleza kivipi chama Cha msingi kinamuibia mkulima. Chama Cha msingi kazi yake ni kukusanya mazao kupeleka maghala ya mnada na Kisha wakulima wenyewe kupitia minada ya wazi wanauza mazao Yao, Makato kwa mkulima kwa kila kilo moja huwa Yana ainishwa kabla ya malipo, na mkulima anayajua, Makato haya yanajadiliwa na kupitishwa kwenye mkutao wa wadau wazao husika. Kisha vyombo vyote vinavuohusia kwenye Tasnia ikiwemo wakaguzi CASCO na TAKUKURU wanajulishwa kikamilifu, malipo yote yanafanyika account to account, hivyo Wakaguzi mwisho wa msimu wanakagua kujua bei iliyouzwa na Makato yaliyofanyika,
Na pesa inayomfikia mkulima. Uko wapi wizi wa bodi na AMCOS brother, no research no right to speak mkuu
Kwanza wanaochangia kwa kutumia neno Msomali wanaendeleza ubaguzi jambo ambalo tunataka tuachane nalo hapa jf

Pili naunga mkono hoja kwamba anakoelekea anaanza ishu za upigaji ambazo sisi huku nje tunaona ndo zilimwondoa Mashimba Ndaki

Mapendekezo: ashughulikie vikwazo vya masoko wakulima wanaibiwa na kutapeliwa kupitia madalali, vyama vya msingi, bodi za mazao.
 
chadema huwa hawaelewi chochote nyumbu ni nyumbu tu na kuwaelimisha wewe ndio utaonekana nyumbu, angesema mbowe kuhesabu mikorosho wangemsujudia kama mungu wao
 
Bashe kama ilivyo Prof Issa Shivji ni Mtanzania mwenzetu, tujadili hoja sio kujadili watu huo sio ugreat thinker.

wengi wa waafrica watanzania wametokea burundi rwanda uganda malawi msumbiji na south africa na congo wakajipenyeza wakawa watanzania ndio hao wakimuona msomali kazaliwa tanzania baba na mama wao wanamnyanyapaa utafikiri wao kwa rangi yao ndio watanzania shwain mkianza kuulizwa mlete cheti cha babu mzaa babu au bibi mzaa bibi utaanza kunya kama huyo muimbaji wa injili mbeya aliyeimba kuisema serikali
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Bashe ni tapeli tu kama walivyo wenzake ndani ya ccm!
Kuna chuo cha Sokoine... Kuna vyuo chini ya TARI... Kuna taasisi binafsi... Kuna wakulima... Kuna mabenki nk...
Kwa ujumla wake hao wadau walitakiwa wawe frontline kwenye mabadiliko makubwa ya kilimo nchini! Wizara na waziri walitakiwa wawe moderators.
But amebaki waziri peke yake anaruka kule na kule pamoja na uvccm wenzake kama wanufaika wakuu!

Hivi tunashindwa kabisa kuwa na kitu kama HESLB kwenye kilimo??
 
Labda ili wakaikopee Bank... Asa Kama mkorosho mmoja 500K...
Acha waihesabu tu.
 
Back
Top Bottom