Kilimo cha Bashe hakina dira yoyote, ni porojo tu. Sasa anataka wakulima waisajili mikorosho ili iweje?

Kilimo cha Bashe hakina dira yoyote, ni porojo tu. Sasa anataka wakulima waisajili mikorosho ili iweje?

hata mungu alimuumba ADAMU NA EVA weupe na wakaambiwa nendeni mkaijaze dunia. mimi na wewe weusi tumezaliwa na nani mbona tunajidai tanzania yetu wakati mungu aliwaleta weupe wazaliane watawale. au nyumba ya kuridhi mzazi kafariki weww unajifanya nyumba yako unawadhulumu watoto wa marehemu ndio mfano wake
 
Labda anakusanya taarifa..Bila data mtakuwa mnafanya miradi na kuiacha Kila siku.. msiogope sayansi waTZ.haya Mambo yanaenda kisomi siku hizi,,hakuna mzungu atakupa hela bila kumpa data zilizokamilika,Mambo ya kupika pika data na kupelekea maripoti feki Kama practical za A-level Keisha habari
 
🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Bashe ni mtanzania 100%, kazaliwa na kukulia Tanzania, tukianza kuangalina asili hapo TZ tutaishia kupigana vita tuu
 
Maendeleo yanahitaji data, dunia ya leo bila data mtarudishwa stone age, data sasa ni bidhaa kubwa kuliko mafuta, wanaojua wanaelewa na msiojua umuhimu wa data go educate yourself, nchi zilizoendelea kuna makampuni kazi yao ni kukusanya data tuu na kuziuza kwa wanaozihitaji na mahitaji ni makubwa sana
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Bashe ndo kilimo gani?
 
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?

Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?

Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?

Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Kazi ya kufanya hakuna lzm,creativity haipo sasa lzm tusajiri mikorosho.
 
Bashe ni tapeli tu kama walivyo wenzake ndani ya ccm!
Kuna chuo cha Sokoine... Kuna vyuo chini ya TARI... Kuna taasisi binafsi... Kuna wakulima... Kuna mabenki nk...
Kwa ujumla wake hao wadau walitakiwa wawe frontline kwenye mabadiliko makubwa ya kilimo nchini! Wizara na waziri walitakiwa wawe moderators.
But amebaki waziri peke yake anaruka kule na kule pamoja na uvccm wenzake kama wanufaika wakuu!

Hivi tunashindwa kabisa kuwa na kitu kama HESLB kwenye kilimo??
Kama HESLB hamulipi mtaweza kulipa? Hakuna free money brother jichange mpaka utoboe
 
Bashe ni tapeli tu kama walivyo wenzake ndani ya ccm!
Kuna chuo cha Sokoine... Kuna vyuo chini ya TARI... Kuna taasisi binafsi... Kuna wakulima... Kuna mabenki nk...
Kwa ujumla wake hao wadau walitakiwa wawe frontline kwenye mabadiliko makubwa ya kilimo nchini! Wizara na waziri walitakiwa wawe moderators.
But amebaki waziri peke yake anaruka kule na kule pamoja na uvccm wenzake kama wanufaika wakuu!

Hivi tunashindwa kabisa kuwa na kitu kama HESLB kwenye kilimo??
Agizia kitimoto bloangu bili nalipa
 
Kutokana na Mashamba ya Mikorosho ni misitu na kama misitu na ni miti inayonyonya hewa mkaa (Carbon) kwanini wasisajiliwe na wao ili wapokee Carbon money?

Mkulima ajipatie kipato huku akisubiri msimu mwingine wa mavuno.
 
Kwa ajili ya kurahisisha kuwapatia ruzuku kutokana na mikorosho waliyonayo.

Kilimo cha Bashe "hakina dira" kivipi? Mbona umechanganya mada?
Wewe ndiye umechanganya mkuu
 
Wewe kaka huna akili, akili Yako imejaa chuki na ujuajinki kipumbavu, kwani wewe hujui kwamba kina mkorosho huwa una quantity yake ya kunyunyuzia viatilifu? Na hujui kuwa serikali inatoa ruzuku kwenye pembejeo za mikorosho? Sasa wata project vipi mahitaji ya hizo pembejeo bila kusajili mkulima na idadi ya mikorosho anayoimiliki, sisi wakulima wa korosho tunajua Hilo na hatujaanza Leo, kila mwaka tunahuisha maana mikorosho inapandwa mipya na mingine umri unaongezeka. Mkorosho wa miaka mitatu hauwezi kuhitaji pembejeo sawa na mkorosho wa miaka kumi. Na mwenye mikorosho 100 hawezi kuhitaji pembejeo sawa na mwenye mikorosho 700
Akili yaKo imeoza Kwa hiyo Kila zao mtakuwa mnahesabu? Basi mkahesabu na miparachichi na mikahawa nchi nzima ,usilete upumbavu amekutuma wewe hapa ! Hatutaki ujinga hata mm ni mkulima wa korosho na nipo huku kusini miaka zaidi ya 50 ! Lakini siwezi kuhesabu mikorosho yangu huo mda sina
 
Back
Top Bottom