vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,624
Mkuu Kisima nimekuPM namba yangu na kuomba yako ikiwezekana nikutembelee shambani kwako nijifunze zaidi kama hutojaliMkuu bandiko lako haliendani na matakwa ya hili jukwaa letu pendwa.
Hapa hatuna utaratibu wa kuficha taarifa mhimu.
Kama una jambo ni vizuri ukajumuika nasi ili wadau wachangie moja kwa moja. Na penye kuhitaji maboresho panafanyiwa kazi ipasavyo.
Kutonyana jambo PM kuna fifisha uhalisia wa uthubutu wa kuongea huru!!
Tshs 2,000/kg ndio bei ya shambani??Hii ndo habari njema wakuu!
Mimi nalima harage ya njano.
Nalima kwa surface irrigation(furrow method)
Njia hii utaimudu kwa ufasaha kulingana na muonekano wa shamba lako.(natoa huduma hii kwa mhitaji).
Huwa nalima kwa mahesabu make mi ni mwanahesabu tangu kuzaliwa kwangu;
Hiki ndicho nifanyacho;
1) ekari1 huwa naigawa kwa mistari5 iliyo sawa;
Kawaida 1acre=>4000sqm. Kwahiyo basi
4000/(8m*2m)*10kg*2000Tsh@kg= Tsh5,000,000
Katika hesabu hii;
4000sqm ni eneo lote la ekari kwa square mita.
8m ni urefu wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita.
2m ni upana wa kila kijaruba kwa kipimo cha mita
10kg ni uhakika wa mavuno ya kila kijaruba.
2000Tsh ni kiasi cha bei ya maharage ya njano kwa kila kilo.
Tsh 5,000,000/= ni mapato ya jumla katika kila ekari.
Ufuatao ni mchanganuo wa gharama ya hiki kilimo kwa ekari moja kulingana na eneo la kilimo kinapofanyika na msimu husika hasa kipindi cha jua kali.
Bei hubadilika kulingana na msimu.Tshs 2,000/kg ndio bei ya shambani??
Na sokoni yatauzwaje??
Mkuu andiko lako halieleweki.100k kwa gunia sidhani km ni halisi. Gunia moja la soya ya njano kwenye masoko ya nafaka Dar ni kati 2200-2400 kutekeleza usafi wake.
Gunia lina wastani wa kilo 100.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada alisema gunia ni 250k shambani.Nikawaza km ndivyo bhasi bei ya soya ya njano isingekuwa inauzwa kwa bei ya 2200-2400 kwenye masoko ya nafaka DSM.Mkuu andiko lako halieleweki.
Nakili thread ya aliyetoa bei ya 100k@gunia ili wasomaji tukuelewe.
Mkuu Nchi yetu haijapata chief controller wa bei za mazao ya chakula/biashara, wakulima wamekuwa ni watu wa kuyumbishwa na walanguzi kila uchwao.Mleta mada alisema gunia ni 250k shambani.Nikawaza km ndivyo bhasi bei ya soya ya njano isingekuwa inauzwa kwa bei ya 2200-2400 kwenye masoko ya nafaka DSM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kwa Dar Mkuu???Kilosa Rudewa nao maharage kwa mkulima ni 1700 ambayo sawa na 170 k kwa gunia la kilo 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama wewe ndio wanaoharibu sifa njema za UAFRIKA . . , kwa nini unafikiri kichoyoooo . . ?! Hata nchi yote ikilima maharage hayo, soko lipoooo . . , tuache UCHOYO watanzania . . !Wanaolima hii maharage maeneo ya Iringa naomba anitonye nimpe dili la uhakika.
Msalimie Mwenyekiti wa kijiji MwendaNiko moshi ila nalima maeneo tya msitu wa tembo simanjiro
Mkuu itategemea unalimia ukanda upi?Mkuu kisima nataka jitupia tena ( awamu ya kwanza haija nilipa ki hvyo) kwenye maharage . ameti vip..kwa miez hii bado ni mizur kulima tena maharage.. Au nisubir mwakan!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko morogoro kilosa.. Sehemu moja wana ita Rudewa...Mkuu itategemea unalimia ukanda upi?
Kiujumla ukanda wa morogoro na pwani yote unaruhusiwa kuingia mzigoni kama utamudu kilimo cha umwagiliaji.
Kama upo kanda ya ziwa ukima muda huu taraji kukutana na bei ya mafuriko make wakulima wengi wapo mbioni kupanda kwa kutegemea mvua ambazo tayali zimeanza kunyesha.
Ingia kazini mkuu, usikatishwe tamaa na watu pengine wanakupa wrong information. Naamini ukilima muda huu utakutana na soko zuri kabla wakulima wa kanda ya ziwa hawajaanza kutoa mzigo na ili u tackle challenges zote ni pale utakapokuwa fully knowledgable na mazingira yako throughout the year.Niko morogoro kilosa.. Sehemu moja wana ita Rudewa...
Watu wana dai maharage yanatoa vizur wakat wa barid.. Na wenyej wa moro wana dai tuna elekea kwenye miez ya joto
Je ni kweli maharage haya zai vizur kwenye joto!??
Na kama ya zanaa poa tu una nishaur ni jitupe mara ya pili tena!??
Sent using Jamii Forums mobile app