Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Mkuu Kisima nimekuPM namba yangu na kuomba yako ikiwezekana nikutembelee shambani kwako nijifunze zaidi kama hutojali
 
Hivi kunaukweli wowote ya kwamba maharage ya njano yanaongaza kwa uzito
 
Tshs 2,000/kg ndio bei ya shambani??
Na sokoni yatauzwaje??
 
100k kwa gunia sidhani km ni halisi. Gunia moja la soya ya njano kwenye masoko ya nafaka Dar ni kati 2200-2400 kutekeleza usafi wake.

Gunia lina wastani wa kilo 100.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
100k kwa gunia sidhani km ni halisi. Gunia moja la soya ya njano kwenye masoko ya nafaka Dar ni kati 2200-2400 kutekeleza usafi wake.

Gunia lina wastani wa kilo 100.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu andiko lako halieleweki.
Nakili thread ya aliyetoa bei ya 100k@gunia ili wasomaji tukuelewe.
 
Mleta mada alisema gunia ni 250k shambani.Nikawaza km ndivyo bhasi bei ya soya ya njano isingekuwa inauzwa kwa bei ya 2200-2400 kwenye masoko ya nafaka DSM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Nchi yetu haijapata chief controller wa bei za mazao ya chakula/biashara, wakulima wamekuwa ni watu wa kuyumbishwa na walanguzi kila uchwao.

Kwahiyo usisitaajabu kuhusu mabadiliko yoyote, pengine 250k ndiyo ilimotivate hasira za jamaa yetu na hatmae akaamua kuzamia shamba!

Kuna kipindi maharage huwa yako juu kibei, na hii inategemeana na uadimu wa bidhaa yenyewe sokoni.
Mkulima ukibahatika kukutana na msimu wa bei nzuri, mshukuru Mungu make yeye ndiye mtoa riziki.

Ipo haja ya wakulima kuungana ili tupinge na kuua kabisa udalali kwenye bidhaa za mazao make kiukweli tunaonewa na mbaya zaidi bidhaa zetu tunauza bila kuziongezea thamani.
 
Kwa sasa maharage ya njano yana range bei Tshs 1500-1700 kwa kilo , kama huna haraka yakuuza tulia nayo kwasababu kuna kipindi bei itafika hadi Tsh 4000 kwa kilo.
 
Mkuu kisima nataka jitupia tena ( awamu ya kwanza haija nilipa ki hvyo) kwenye maharage . ameti vip..kwa miez hii bado ni mizur kulima tena maharage.. Au nisubir mwakan!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kisima nataka jitupia tena ( awamu ya kwanza haija nilipa ki hvyo) kwenye maharage . ameti vip..kwa miez hii bado ni mizur kulima tena maharage.. Au nisubir mwakan!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu itategemea unalimia ukanda upi?
Kiujumla ukanda wa morogoro na pwani yote unaruhusiwa kuingia mzigoni kama utamudu kilimo cha umwagiliaji.
Kama upo kanda ya ziwa ukima muda huu taraji kukutana na bei ya mafuriko make wakulima wengi wapo mbioni kupanda kwa kutegemea mvua ambazo tayali zimeanza kunyesha.
 
Niko morogoro kilosa.. Sehemu moja wana ita Rudewa...

Watu wana dai maharage yanatoa vizur wakat wa barid.. Na wenyej wa moro wana dai tuna elekea kwenye miez ya joto

Je ni kweli maharage haya zai vizur kwenye joto!??

Na kama ya zanaa poa tu una nishaur ni jitupe mara ya pili tena!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingia kazini mkuu, usikatishwe tamaa na watu pengine wanakupa wrong information. Naamini ukilima muda huu utakutana na soko zuri kabla wakulima wa kanda ya ziwa hawajaanza kutoa mzigo na ili u tackle challenges zote ni pale utakapokuwa fully knowledgable na mazingira yako throughout the year.

Kikubwa imarisha huduma na fuata ushauri toka kwa wataalam kadri ipasavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…