Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa Singida haya maharage yanastawi wapi vizuri?Ni mbolea iliyo katika mfumo wa kimiminika.
Mara nyingi ndani yake inakuwa na viambata kama Zinc na Boron kwaajili ya kustawisha maua na kuboresha matunda.
Naeza pata WAP mbegu mkuu?? Nko SUA morogoroooNi mbolea iliyo katika mfumo wa kimiminika.
Mara nyingi ndani yake inakuwa na viambata kama Zinc na Boron kwaajili ya kustawisha maua na kuboresha matunda.
Sina uhakika mkuu make sijawahi kuishi Singida. Bila shaka upande unaopakana na mkoa wa manyara yanaweza kustawi vizuri.Hivi kwa Singida haya maharage yanastawi wapi vizuri?
Nashukuru sana boss....ngoja nitafanya utafitiSina uhakika mkuu make sijawahi kuishi Singida. Bila shaka upande unaopakana na mkoa wa manyara yanaweza kustawi vizuri.
Unaweza kuagiza chuo cha kilimo uyole mbeya wana mbegu nzuri za kila aina au vinginevyo nenda wilaya ya kilindi Tanga wapo mbioni kuanza kuvuna.Naeza pata WAP mbegu mkuu?? Nko SUA morogorooo
Mkuu ata mimi ninawazo kama lako niko mbeya hivi natafuta mashamba mwakani nianzeMkuu kwa hali ya hewa y mbozi mbeya vipi yanastawi mana kuna kaubaridi zaidi
Pia soko kwa maeneo ya nyanda za juu kusini vipi una uzoefu nalo
Na la mwisho nikupongeze sana kwa ushauri nzuri
Nitakuja kukitrmbelea kabla sijaanza mana natarajia kuanza kilimo wakani mwezi wa kwanza hasa maeneo ya mbeya nataka niteke mkoa kwa kilimo cha maharage aina yote hope utakua mentor wangu mkuu mungu akubaliki sana
Mkuu basi nadhani tunaweza kutengeneza timu kubwa mana ushirikiano ndio ushindi basi endelea na zoezi muda ukikaribia tuchekiane ili tuweze kupata maarifa zaiduMkuu ata mm ninawazo kama lako niko mbeya hivi natafuta mashamba mwakani nianze
Kweli mkuu embu tuchekiane tujue tunaanzia wap mkuu Nakutumia namba PMMkuu basi nadhani tunaweza kutengeneza timu kubwa mana ushirikiano ndio ushindi basi endelea na zoezi muda ukikaribia tuchekiane ili tuweze kupata maarifa zaidu
Nashukuru mkuu nitumie kabisaKweli mkuu embu tuchekiane tujue tunaanzia wap mkuu Nakutumia namba PM
Mkuu hii rangi unayotumia sio nzuri, inazingua macho hadi machozi. Sa unatunyima kujua Mkuu, tumia nyingineShukrani ndugu Temu..
Naomba pia kufahamu hekali moja inachukua maharage ya mbegu kiasi gani mkuu..
Borea ya CAN mkuu inatakiwa wekwa.. baada ya mda gani toka kupanda.Booster ni kirutubisho cha mimea.
Kipo katika mfumo wa kimiminika.
Mara nyingi husaidia kustawisha maua na kuboresha matunda.
Booster yenye viambata vya Zinc na Boron ni nzuri sana ikatumika kipindi cha maua na matunda.
Mbolea hii ni kwajili ya kukuzia, yafaa uweke mara baada ya mmea kuwa na majani matatu.Borea ya CAN mkuu inatakiwa wekwa.. baada ya mda gani toka kupanda.
Naomba unisaidie kwa hilo.. mie mgen na hich kilimo...
6ltr ni petrol ambayo itatumika kusukuma waterpump kwenye eneo la ekari moja.6ltr*10@acre sijaelewa
Mkuu bandiko lako haliendani na matakwa ya hili jukwaa letu pendwa.Wanaolima hii maharage maeneo ya Iringa naomba anitonye nimpe dili la uhakika.
mkuu npe maujanja mimi nalima maharage iringaWanaolima hii maharage maeneo ya Iringa naomba anitonye nimpe dili la uhakika.