Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

......teh heh heh..acha nadharia;unaona watu wanatoa "majibu rahisi" wakati wewe ndo umekuja na mchanganuo urojo kabisa!!!
....tufanye hivi,anza wewe wengine tutafata,kwani wewe hutaki hela?????
 
Habari wadau, nimevutiwa na maelezo ya kutosha kuhusu kilimo hiki na nilikuwa natamani sana kulima ila sikuwa na abc zake. Sasa naomba kuuliza je nikianza taratibu za kulima kuanzia January hii ni muafaka kwa hali ya hewa ya sasa na baadae kwa maneno yenye tija ??? Ni hapa hapa dar es salaam
 
Changamoto kubwa kwa sasa katika kilimo cha papai ni huyu mdudu anayeitwa papaya mealybug ambaye huweka utando mweupe kama pamba hivi. Huyu akivamia anaharibu kabisa ubora na kumdhibiti ni vigumu. Nitachangia baadae namna tegemeana za kuudhibiti. Yaelekea waliolima wote humu hawajakutana na changamoto hii
 


Mkuu mrejesho vipi. Tuambie kilichojiri
 
Mkuu unavyosema ni kweli, nikitembea maeneo mengi naona shida hiyo. Mimi Nina miti kama 60 hivi. Hivi karibun nilipata miti mwili ikiwa na ugonjwa huo.

Nilichofanya ni kuchanganya dawa aina ya Victory 72 Na farm guard, nikarudia baada ya siku mbili lkn safari hii nilatumia Victory pekee. Naweza kuthibitisha kuwa nimetibu.
 
Wakuu kwa sasa hivi mche mmoja ni shilingi ngapi? Nikiwa maeneo ya Iringa naweza wapi kupata miche mizuri?
Naweza kuchanganya nusu mapapai na nusu maembe katika shamba moja?

Natanguliza shukrani
 
Hello. Miche hi i mifupi n.a. yenye Papai nyingi hivi mbegu nazipata wapi Jamani nataka nianze kilimo hiki bagamoyo. Mama mtu mzima mimi
 
Hello. Miche hi i mifupi n.a. yenye Papai nyingi hivi mbegu nazipata wapi Jamani nataka nianze kilimo hiki bagamoyo. Mama mtu mzima mimi
Kariakoo. Lini unakuja twende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…