Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

KAKA HII HABARI UMETOA HAIKO SAHIHI husasan unaposema unapanda kwa umbali wa 2 by 3 metres halafu unapata mashimo 1000. hicho kitu hakipo since one acre ina 70 by 70 metres na surface area ya 4900 meter squared. kama unapanda kwa 2 by 3m, utakua na mashimo 575 tu katika acre moja.

Tusaidiane hesabu unavyopata idadi ya mashimo.

Mi nafikiri hivi tukichukua mfano wa 2m x 2m kwa eka:
1 row = 70 yards = 64 meters divide by 2m = 32, sababu tunachimba na pale tunapoanzia kupima(inclusive) tunapata 33

kama mstari mmoja una mashimo 33 na mistari ipo 33(kwa hesabu zilezile) tunapata 33 x 33 = 1089

kwahiyo eka 1 kwa nafasi ya 2m kwa 2m tunapata mashimo 1089

Sijui mkuu unasemaje hapo, sawa?
 
Tusaidiane hesabu unavyopata idadi ya mashimo.

Mi nafikiri hivi tukichukua mfano wa 2m x 2m kwa eka:
1 row = 70 yards = 64 meters divide by 2m = 32, sababu tunachimba na pale tunapoanzia kupima(inclusive) tunapata 33

kama mstari mmoja una mashimo 33 na mistari ipo 33(kwa hesabu zilezile) tunapata 33 x 33 = 1089

kwahiyo eka 1 kwa nafasi ya 2m kwa 2m tunapata mashimo 1089

Sijui mkuu unasemaje hapo, sawa?

Mkuu,

Kwa wastan unaweza pata mashimo 1,200 kwa ekari moja.

Kila shimo moja unaweza panda miche mi 3. Hivyo, kwa shamba moja unaweza kuwa na miche 3,600
 
Mkuu,

Kwa wastan unaweza pata mashimo 1,200 kwa ekari moja.

Kila shimo moja unaweza panda miche mi 3. Hivyo, kwa shamba moja unaweza kuwa na miche 3,600

Sawasawa mkuu, nilikuwa namjibu aliyeshangaa yanafikaje mashimo 1000 kama alivyoelezea Edmund.

Vp kuhusu uzaaji wake kwa makadirio eka 1 yanatoka matikiti mangapi kwa hiyo miche 3600?
 
Sawasawa mkuu, nilikuwa namjibu aliyeshangaa yanafikaje mashimo 1000 kama alivyoelezea Edmund.

Vp kuhusu uzaaji wake kwa makadirio eka 1 yanatoka matikiti mangapi kwa hiyo miche 3600?

Hapo inategemea na matunzo kaka. Kwenye mche mmoja unaweza pata matunda 3 hadi 5. Ukibebesha mmea mmoja matunda mengi unaweza ukafanya matunda yashindwe kukua vizuri, yakawa madogo.

Kama unaweza kuhudumia vizuri shamba, unaweza ukaacha matunda hadi matano.

Ila, wengi huacha matunda mawili kwa mmea ili yawe makubwa. Hii inachangiwa na uwezo mdogo wa fedha na utaalam katika kuhudumia shamba.

Lets say, kwa wastan, utakuwa na matunda 2 hadi 3 kwa mmea.
 
Hapo inategemea na matunzo kaka. Kwenye mche mmoja unaweza pata matunda 3 hadi 5. Ukibebesha mmea mmoja matunda mengi unaweza ukafanya matunda yashindwe kukua vizuri, yakawa madogo.

Kama unaweza kuhudumia vizuri shamba, unaweza ukaacha matunda hadi matano.

Ila, wengi huacha matunda mawili kwa mmea ili yawe makubwa. Hii inachangiwa na uwezo mdogo wa fedha na utaalam katika kuhudumia shamba.

Lets say, kwa wastan, utakuwa na matunda 2 hadi 3 kwa mmea.

mkuu nime ku pm
 
Mi nimelima nyanya nimekumbana na chalenge kama zako hasa fuzalium wilt.thiory ni tofaut na practical
 
salaam.naitaj kulima matikiti moro naomba msaada wa kujua gharama kwa eka moja,na mwenye kujua moro shama kukod bei gan
 
Habari ya jioni,
i am new to this forum, lakini kwenye kuperuzi peruzi i came across this discussion ya kilimo cha matikitimaji. Ingawa ni discussion ya muda mrefu kidogo lkn nimeona iko useful kwangu. Kiukweli i am impressed na naona ni kilimo/biasahra naweza fanya.

Ninahitaji ushauri, ikiwa nina shamba tayari lets say la hekari 4 mpaka 5, nitahitaji capital ya kiasi gani ili kuanza hiki kilimo cha matikitimaji?
na pia vipi kuhusu soko?
naomba mwongozo..
 
chonde chonde kaka,usizilete hizo mbegu,it may cause GM contamination,wasiliana na wataalam wa kilimo watatoa ushauri mzuri.ila bora uziache huko huko,hizi za kwetu ni poa sana tu.
wajapan wametengeneza watermelon la square kama box ili iwe rahisi kusafirisha matunda hayo,Mh! madhara yatajulikana baadae,ktk cancer na magonjwa mengineyo.
GMO tayari ipo nchini, maeneo kama ya Tanangozi GMO zinatumika sana. Athari zake ni kubwa, wazungu wamedhamiria kutuua kwa mpigo
 
Jamani habarini za wkend.., naomba kujua mche wa tikiti maji unaweza kuvunwa mara ngapi matunda yake?

Kwa mfano embe zinavunwa kila mwaka, ndizi unavuna mara moja tu na mche unakwisha kazi yake. Vipi kwa matikiti maji, unavunwa mara ngapi na kwa kipindi/interval gani?

Nataka kulima, yanalipa sana nisaidieni tafadhali.
shkamooni, hivi inakuwaje kuhusu soko ni wapi wananunua
 
Mwana Jf naombeni mawazo yenu kuhusu matikiti kuwekea mbolea za kisasa yaani Urea+Can+Npk hizi zinawekwa wakati mche una siku ngani naomba ufafanuzi wake na kipimo size gani kwa kila mche waungwana miche yangu ina wiki mbili sasa naomben msaada wenu ktk hilo jamani asanteni.
 
watanzania wakitumia vizuri fursa za kilimo ni rahisi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi:yell::yell::yell:
 
GMO tayari ipo nchini, maeneo kama ya Tanangozi GMO zinatumika sana. Athari zake ni kubwa, wazungu wamedhamiria kutuua kwa mpigo

GMO ipo na kuna mazuzu ndani ya bunge na serikalini yanapigia debe hii mambo nenda mbingu huko uone wakulima wadogowadogo wanavyoteseka
 
Naomba nijuliahe kuhusu kilimo maharage aina ya soya,uendeshaji wa shamba na faida zake?
 
Back
Top Bottom