Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

Tangawizi inalipa. Hata hivyo kwa Mwaka huu bei imeshuka sana hadi wakulima wanauza kwa 700/- kwa kilo.Tufikirie mbali, kwa kufanya Agroprocessing ya Tangawizi. Kule Kg ni majonzi na vipimo kwa Wenye nayo kwa sasa.
 
Nimependa sana maoni haya
 
Nitahitaji mbegu kias gani kupanda heka 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…