Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

85000tsh imposible otherwise ulilima nakutoa mwezi wa5 ndyo hyo bei ilikuwepo.hafu pia bei hyo wanaokuta ni watu wanaoweka store kitunguu nakutoa mwezi 2 ndyo wanaokuta hyo bei.au niambie km unauza rejareja kwenye kibanda chako hapo dar sokoni unaweza kuikuta hyo bei.
 
Bei ya Onions sokoni Temeke kwa Current Week: Bei ya juu ni 85000Tsh /KGS Bei ya chini ni 80000Tsh / KGS

Bei ya Onions sokoni Lindi kwa Current Week: Bei ya juu ni 120000Tsh /100KG Bei ya chini ni 115000Tsh / 100KG
 

Inaelekeaaa Ubishi ni Jadi yako kijanaa. Unachshangaaa nn na unabisha nn.

Unajua watu wanapouziaaa...
Au napayuka tu. Watu wameza hadi 120000.

Wewe nashangaaa 85000.
 
Sasa ndugu yangu niandike uongo hapa ili nimdanganye nani sasa, unabishana na mimi njoo ofisini kwangu nikuonyeshe risiti za kkoo.

Sijawahi kuuza rejareja na sina mategemeo hayo. Kwa maelezo yako hata bishara ya vitunguu yenyewe unaonesha unajifunza kwa kupitia maneno ya watu mdomoni.
 
Biashara ya kilimo cha vitunguu ni kama biashara nyingine, huwezi ukasema utapiga hela tu bila kuwa na mbinu za kuepuka changamoto ndo mana ukitumia wazoefu hayo madhara hutoyapata.

Shida watu wanasikia tu mtaani kwamba kilimo cha vitunguu kinalipa then ghafla tu wanakimbilia mabondeni kwenda kulima bila kujua nini kipo nyuma yake ndo mana huishia kupata hasara na kuwakatisha tamaa wengine wenye nia ya kuanza kilimo. Kwahiyo nashauri watu kuconsult wazoefu wa biashara ya vitunguu kabla ya kuingia huko manake kuna wanaotoka kapa pia.

Narudia kusema tena, tokea nimeanza kilimo cha vitunguu sijawahi uza gunia langu chini ya tshs 85,000/= hata mwaka huu ambao umekua kilio kwa watu wengi.

Tupige kazi na kuachana na maneno ya vijiweni.
 

Baba inabidi nikutafute private
 

Habari za china kaka
 
Ha ha ha nzuri boss wangu. Nimerudi nakutafuta naona kimya, nikajua uko busy. Ikabd nikuache kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Niko busy kwenye mambo ya kitaifa..ntaku text unipe ile product
 
Niko busy kwenye mambo ya kitaifa..ntaku text unipe ile product

Hakuna shaka boss, niko dodoma kwa sasa ila next week ntakua dar kwa week moja. Tutafutane uchukue


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama unakwenda kukodi shamba sawa, mashamba ya kununua bei iko juu vibaya, je kuna mtu unayemfahamu pale wa kukusaidia? Kama huna sema nikupe mtu akusaidie na yy ana shamba pale.

Naomba number ya huyo mtu wa ruaha mbuyuni
 

Uzi wako upo exhaustive sana mkuu.

Naomba mawasiliano yako kama hutajali.

Ubarikiwe sana.
 
Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Nawashukuru wadau wote kwa elimu na maelezo mazuri kuhusiana na biashara hii ya ukulima na masoko ya vitunguu, nimejifunza mengi, nami nipo kwenye mchakato wa kuingia kwenye hichi kilimo,naomba tuzidi kupeana maarifa zaidi, pamoja tunaweza.

Mungu awabariki sana!
 
Naam nami nahitaji elimu hii kwani ninataka kuwa mkulima ajira hamna jamani ,nisaidieni waungwana kwani sina cha kufanya kwa sasa na maisha magumu sana huku mtaani...
 
Wakuu, kwa anaejua bei ya kitunguu kwa sasa imefikia kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…