Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko


nimependa ushauri wako Baraka sjui ntapata vp contact zako maana mimi nimelima kitunguu kama heka 3 nategemea mwezi ujao katikati nitavuna if posible nataka uniunganishe soko la uhakika nimeku PM namba yangu nawe unaweza nitumia namba yako.
 
Mkuu ninandikaujumbe huu nikiwa na lengo la kujifunza upandaji/kilimo cha vitunguu kupitia kwako tafadhali wasiliqna nami gap hapa +255657740797
 

Tafadhali ndugu,naomba tuwasiliane kwa kina juu ya mbegu bora,natarajia kufanya kilimo cha vitunguu msimu huu,ila swala la mbegu linanitatiza sana,Kuna watu wamenishauri kuwa mbegu ya singida ni nzuri sana lakini sijawa sure na hill,tafadhali naomba tuwasiliane,0714808196,0765781288,nipo morogoro.
 
Mtoa mada ulishawai kuwa mwalimu nini maana umejitoa sana kutoa mada na kujibu maswali.Big up mola akuzidishie.

Niliwai lima kitunguu Nyanzwa mwaka ulikuwa sio wenyewe nikala mweleka maji yalikuwa ya mgao.

Ila sijakata tamaa, kuna eneo chanika nitatest zali mpaka kieleweke maana ni karibu na soko tofauti na iringa
Nishatuma namba yangu pls niadd kwa whats up tuwe twapeana updates hasa za masoko
 
Wakuu msaada wenu wa uelewa kwenye kilimo cha vitunguu maana ndio nimeingia msimu wa kwanza kwa kuunga unga lakini sio mbaya sana najitahidi na nimeamua kufanya kilimo na kuachana na ajira kwani naona ntakuwa kwenye position nzuri zaidi.

Concern yangu kubwa nilitaka ushauri kwa mwenye uzoefu wa hiki kilimo kuanzia mandalizi ya shamba aina ya udongo unaofaa paka madawa,mimi nipo Ifakara morogoro..
 
Mbona wadau mliyokuwa mna changia sana mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi wa nane kuhusu bei za vitunguu mmenyamaza ghafla, ingependeza kama mrejesho wa changamoto mlivyoitatua ingeletwa hapa kwa manufaa wa wengine, was it a win or a lose situation?

Ndio maisha jamani, msipotee mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…