gmosha48
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,399
- 1,481
[/QUOTE]
Na mimi nijuisheni kwa 0754 47 83 56
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[/QUOTE]
Nimesema kwa anaetaka kujiunga na group la kilimo whatsapp ani PM namba yake ya simu please!
Biashara ya kilimo cha vitunguu ni kama biashara nyingine, huwezi ukasema utapiga hela tu bila kuwa na mbinu za kuepuka changamoto ndo mana ukitumia wazoefu hayo madhara hutoyapata. Shida watu wanasikia tu mtaani kwamba kilimo cha vitunguu kinalipa then ghafla tu wanakimbilia mabondeni kwenda kulima bila kujua nini kipo nyuma yake ndo mana huishia kupata hasara na kuwakatisha tamaa wengine wenye nia ya kuanza kilimo. Kwahiyo nashauri watu kuconsult wazoefu wa biashara ya vitunguu kabla ya kuingia huko manake kuna wanaotoka kapa pia.
Narudia kusema tena, tokea nimeanza kilimo cha vitunguu sijawahi uza gunia langu chini ya tshs 85,000/= hata mwaka huu ambao umekua kilio kwa watu wengi.
Tupige kazi na kuachana na maneno ya vijiweni.
===lobapula&admin tafadhalini naombeni msaada kwani nahitaji kujifunza kilimo hicho PIA....
Add me please&here it's +255657740797
mkuu baraka, naomba uni add namba 0789993350
Nimesema kwa anaetaka kujiunga na group la kilimo whatsapp ani PM namba yake ya simu please!
Wazo ni zuri sana. Mimi nalima vitunguu Singida Wilaya mpya ya Mkarama Kata ya Mwanga.
Baraka alichosema kimsingi anapenda watu waweze kupanua mawazo kuelekea kwenye kilimo kitu ambacho nakiunga mkono sana. Tatizo ambalo hajaweza kulijua na huende anasikia siyo MKULIMA ekari moja inapandwa kilo tatu za mbegu. Bei za mbegu ni tofauti sana kulingana na maeneo kwa mfano Red Bombay ambazo tunazalisha sisi wenyewe huku mashambani debe moja halizidi laki moja.
Mbegu aina ya Neptune inapatikana Barton Tanzania Ltd inauzwa 120,000/- kwa nusu kilo, Red Caraoke ya South Afrika inauzwa 80,000/- kilo moja.
Kuhusu bei ya soko huyu ndugu anazungumzia Hapa Dar, hajasema huyo mkulima kutoka Mang'ora, au Singida Vijijini kwa bei anayosema dalali wa sokoni hamzungumzii najua huwezi kuleta bidhaa sokoni ukauza mpaka uwaone madalali.
Nina uzoefu mkubwa mwaka jana nilileta gunia 130 kwa mtu aliyesema angenunua akaja akaona mzigo akaufungua na kushona upya akatoa gunia 124 kwa bei ya 73,000/- wakati nimevitoa shambani singida akalipa advance millioni sita na laki tano pesa nyingine mpaka leo hajalipa simu hapokei.
Mwezi wa tano vitunguu shambani wanunuzi walileta bei ya shilingi 40,000/- hadi 50,000/- kwa gunia la wavu wanapakia viroba vitatu wanasema ni gunia moja, nikaona ni bora nilete vitunguu soko la misuna singida mjini, bei yao ilikuwa shilingi 53,000/- kwa gunia moja. Ushuru ni shs 1000/- kwa gunia, dalali 2,000/- kwa gunia, wanaochmbua shs 1,000/- kwa gunia, mshonaji 1,000/- kwa gunia nilikuwa na gunia 67.
Rafiki bei ya vitunguu haijawa na msimamo inategemea baraka za madalali na wingi wa mzigo uliopo sokoni.
Nitakupigia Baraka simu ila ukweli ndio huo.