Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Naomba kujuzwa gharama za kilimo cha vitunguu kwa heka moja wadau, kwa Iringa na Kilimanjaro

Nawasilisha
na mm nipo interested na hii kitu nipo moshi..........kama uneza taka partnership npo tayar
 
Thanks mkuu uko vizur ,big up
 
Mkuu sheria namba moja ya kilimo ni tafuta soko ndio ulime hiyo mosi ,jingine tumia mbegu bora ndio utaona faida hizo mbegu za kupimiwa kwa ndoo hamna kitu ndg na ni kwa mazao yote ,tumia hybrid utaleta mrejesho mfano neptune nusu kilo mbegu ni 185,000/= eka moaja inahitaj kg1.5-2 ila eka moja ukiitunza hovyo gunia 80 ukiitunza vyema gunia 120,hapo hata ukiuza kwa bei ya elfu 80 gunia unafaida hizi mbegu za kawaida zikipata stress tu kwanza zinaacha kubeba kitunguu zinatoa maua ,kingine soma alama za nyakati ili uwin soko mkuuu
 
Tatizo mtu hajui abc za kilimo ila anataka nae alime, jaman kulima sio kukwatua ardhi ni profession tumeikalia darasan tukaisoma, hivi kama wewe ni mwanasheria, muhasibu, dereva, doctor any profession ni rahisi mtu yeyote kumuelekeza akafanya kazi yako?

Jibu ndio utafahamu why kilimo ukiingia kichwa kichwa unaumia, tumieni wataalam wa kilimo mlionao / wanaowazunguka kama mnataka kufanikiwa ndugu zanguni
 
nimechukua kitu hapo, ila tatizo kubwa kwa watz wakisikia kitu furani kina faida watakitenda hapo hapo ila wakishaona au kupata hasara wanakata tamaa hawajui kilimo ni timing kati ya mkulima na mkulima na mkulima na hali ya hewa usipo cheza na hvyo vitu viwili utadai kilimo ni kigumu ila kilimo kina hela kwa 7bu kimetusomesha hahahaaaaa ukikata tamaaa mi nalimaaa ili sokoni tuwe wachache.
 
Mkuu nina taka kuingia kwenye kilimo target yangu kubwa ni horticulture,sana ni kilimo cha mboga mboga ikiwemo vitunguu nyanya karoti na hoho wazo langu kuu ni kuanza na kitunguu mwakani nifanye deployment ya horticulture kwa kitunguu kwa eka moja.. nimesikia swala la mvua kunyesha na kuozesha vitunguu nataka nipate msaada wa kitaalamu pia na makadirio ya gharama za horticulture kwa hyo eka moja
 
Bado vikao vinaendelea?
 
Wadau nataka kupanda vitunguu maji na pilipili hoho maeneo ya kisarawe.
Naomba wadau mnisaidie ushauri pamoja na soko .

Asante.
 
Huyu be first to reply anapenda sifa kweli, kila thread ye ndio anajitia wa mwanzo kuchangia, lakin cha maana hana, kila uzi mchango wake ndio huo huo be first to reply, iwe jokes, utabibu, mahaba niue n.k.


Mkuu subir wataalam waje
 
Sina utalamu sana na ardhi ya huko lakini ni mazao mazuri, japo kitunguu maji ningekushauri uje mkoani tupige kazi utafurahi....hila kwa ardhi za kisarawe sina hakina.
 
Sina utalamu sana na ardhi ya huko lakini ni mazao mazuri, japo kitunguu maji ningekushauri uje mkoani tupige kazi utafurahi....hila kwa ardhi za kisarawe sina hakina.
hiyo mboga hapo mkuu naipenda sana, huku kwetu adimu sana.
 
Sina utalamu sana na ardhi ya huko lakini ni mazao mazuri, japo kitunguu maji ningekushauri uje mkoani tupige kazi utafurahi....hila kwa ardhi za kisarawe sina hakina.
kufunga irrigation system kama hiyo inagharimu tsh ngapi mkuu?
 
Napenda sana hi biashara sijui wapi pa kuanzia,wanaofanya nao wavivu kutoa mwongozo
 
kisarawe vitunguu vinaweza kustawi sababu ina kila sifa za udongo wa vitunguu...cha msingi kuwe na maji kwa ajili ya kumwagilia....kwa upande wa pilipili hoho mimi ni mkulima wa hilo zao nina uzoefu nalo wa miaka miwili...kwa kisarawe hali ya hewa inafaa ila wasiwasi wangu ni udongo..mana hoho zinastawi vizuri kwenye udongo tifutifu
 
Mtu anakuambia nna uzoefu nna uzoefu ..hakupi mamb ya msing ya kuyafahamu espcially garama kuanzia mwanzo had mavuno kwamba eka kadhaa zinatoa gunia kadhaa na bei ni hii hapa....achen longolongo kama unafaham kitu shea na wenzio usiwe mchoyo wa fadhila.
 
Sina utalamu sana na ardhi ya huko lakini ni mazao mazuri, japo kitunguu maji ningekushauri uje mkoani tupige kazi utafurahi....hila kwa ardhi za kisarawe sina hakina.

Kaka Kitunguu maji unalima mkoa gani ndugu
 
Yaani wachangiaji wengi hapa, sio wakulima nahisi ni watu wakusikia kuhusu kilimo, sijaona mchango wowote unaoweza kumsaidia mleta mada pamoja na mimi, @kilimomaarifa, tunakuomba huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…