Toa taarifa vizuri ndugu, hii siyo kweliShamba nilikodi kwa miaka miwili iligharimu sh 1.000.000/=kwa miaka yote miwili kuhusu kuhudumia shamba nlimpata kijana ambaye alikuwa anasimamia shughuli zote za shamba kwahyo iligharimu Kama sh 500,000/= kwahiyo gharama yote ilikuwa 1,5m
Shukrani mkuu, kwahiyo ndio unashauri tukanunue zinakolimwa sasa kama tupo mbali na mashamba si ndio changamoto nyingne ya gharama za usafiri ingawa ndio hivyo unapanda kitu kwa uhakika.Mbegu zile punje Mkuu siyo kitunguu kizima....ahsante
Mkuu soma vizuri post, maji ni ya MTOToa taarifa vizuri ndugu, hii siyo kweli
Mbegu ilikuwa bure?
Maji bure?
Usafiri
Nk
Tupe uzoefu mukuluKilimo cha vitunguu kinalipa,ila ujipange.
"Kitunguu"....kuna vitunguu vya aina mbili yaani kitunguu maji na kitunguu swaumu, sasa wewe ni kitunguu gani unachotaka ufafanuzi wake?Naombeni wadau mchanganuo wa kilimo cha kisasa cha VITUNGUU na gharama zake, na shida kwel
Hiyo mbegu inapatikana wapi zaidi,bei kwa ekari na unatakiwa uwe na mbegu kiasi gani kukidhi ekari moja.Mavuno yake kwa ekari moja yapoje?tajirika ya east west vinavumilia maji mengi hata vikiwa vimekomaa
Mkuu ekari 1 inatumia mbegu lita ngapi?"Kitunguu"....kuna vitunguu vya aina mbili yaani kitunguu maji na kitunguu swaumu, sasa wewe ni kitunguu gani unachotaka ufafanuzi wake?
Kama ni kitunguu maji hakina mahitaji mengi na kinakubali kwenye ardhi yoyote ile yenye unyevu nyevu.
mahitaji yake ni uangalizi wa kwa mara kwa ajiri ya kudhibit magonjwa hatua za awali, ukichelewa tu huvuni kitu.
kinachukua muda wa miezi minne kuanzia kupanda hadi kuvuna.
gharama ya kulima heka moja ni Tsh.milioni 3 ambayo ukifuata hatua zote kikamilifu itakupa gunia 63, na bei ya gunia moja lenye kilo 100 hadi kufikia mwezi wa pili itakuwa ni Tsh.140,000.
Nimeyapenda sana maneno haya mi mbegu yangu nimesia tarehe 24/11/2016 maneno yako yamenifariji saaaanaNdg. Wakulima wenzangu
Ni vema muelewe kuwa mazao ya bustan huwa yana msimu wake. Ukitaka bei nzur ya vitunguu ni mwez december~ may hapo lazima ukutane na tsh 120000/= -180000 wakat mwingine hufika 200000
Changamoto ni moja kipindi cha dec-may huwa ni masika vitunguu huathiriwa na mvua. Na ndio huwa bei juu
Ahsante mkuu kwa maelezo mazuri, 10 by 10 ni maneno ya kitalaam umeniacha tafadhar. hicho kipimo ni cm?I STAND TO BE CORRECTED
ILA KUMBUKA KUTUMIA MBEGU ZA F1 NA UKIWEZA TUMIA RED CREOLE AU NEPTUNE F1 HIZI UKIFUATA NJIA NZUR ZA KITAALAMU UTAPATA GUNIA SI CHINI YA 120 KWA HEKARI NA PIA USISAHAU KUCHEZA NA SPACING WAKAT WA KUPANDA JAPO MIMI KUTOKANA NA XPERIENCE YANGU NA MSIMU NINAOLIMA HWA NAWEKA 10 BY 10 NAJUA KWA MBEGU HIZI NILIZOZITAJA ZINAZAA SAANA SO HAPO VITUNGUU VINAKUWA VIKUUUBWAAAAA NA VINAJAZA MAGUNIA HII INANIFEVA KWA SABABU WAKAT NAVUNA NI WAKAT DEMAND HUWA NI KUBWA SAANA SOKONI SO SIPAT SHIDA KABISAAA. NAKUWA NA QULITY (ILIYOTENGENEZWA NA MBEGU NA UTAAALAMUU KTK KILIMO) PIA NAKUWA NA QUANTITY NILIYOOTENGENEZA KUTOKANA NA SPACING.
JAMANI KITUNG KINALIPA ILA LIMEN KWA KUFUATA MSIMU JAMANI LIMEN WAKAT WA MASOKO YAKIWA HAWANA KITU HAPO MTAPIGA HELA KISHENZI
yaani namaanisha mdistance kutoka shina moja la kitunguu mpaka lingine iwe ni cm 10 pia distance toka mstari mmoja had mwingine iwe 10cm hyo hyo.Ahsante mkuu kwa maelezo mazuri, 10 by 10 ni maneno ya kitalaam umeniacha tafadhar. hicho kipimo ni cm?
Asante sana aiseee.yaani namaanisha mdistance kutoka shina moja la kitunguu mpaka lingine iwe ni cm 10 pia distance toka mstari mmoja had mwingine iwe 10cm hyo hyo.
ila kama haulimi msim mwingine hii yaweza kukusumbua saana mkuu.
komaen jamani muda ndo huu wa kupiga hela wakuu
Wakuu mimi nimeshavuna kitunguu kipo ghalani, kama kuna mtu anahitaji karibu kwa ajili ya kununua. Eneo kilipo Kitunguu ni Kisaki Morogoro.Kitunguu chenye bei nzuri kinaanzia december to april, wakati huo wanaotamba na mzigo sokoni ni wale wenye uwezo wa kumwagilia tu. Lakini ukilogwa ukalima wakati wa masika may to september sokoni mzigo huwa mwingi kupita kiasi na bei yake hudondoka sana. Soko la kuanzia december to april wateja wanafuata mzigo wenyewe shambani tena kwa bei ya juu. Ukiwa na mzigo njoo tu hata hapa jukwaani uache namba ya simu uone huo usumbufu wa madalali.
Wakuu mimi nimeshavuna kitunguu kipo ghalani, kama kuna mtu anahitaji karibu kwa ajili ya kununua. Eneo kilipo Kitunguu ni Kisaki Morogoro.
Naomba kuwasilisha.
Nashukuru nimekupata vizur kabisa mkuu.yaani namaanisha mdistance kutoka shina moja la kitunguu mpaka lingine iwe ni cm 10 pia distance toka mstari mmoja had mwingine iwe 10cm hyo hyo.
ila kama haulimi msim mwingine hii yaweza kukusumbua saana mkuu.
komaen jamani muda ndo huu wa kupiga hela wakuu
Nicheki kwenye namba +255658123748weka namba yako ya simu boss
Kuna jamaa nimempa namba yako atakupigiaNicheki kwenye namba +255658123748