Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Naomba mnisaidie juu ya ukulima wa vitunguu ni mwezi gn mzuri, Pia cjui process zake unaotesha au unasia km nyanya?
 
Unaoteshea kwenye vitalu bdye unahamishia shambn..
 
mku unashamba kubwa hapo ruvu?

Kaka ninalo shamba ruvu yani maji pembeni kabisa halafu naambiwa yanaenda baharini. Hii nchi acha tu.Vip unataka kunipa maujanja ninj? Tuwasiliane. Nimefikiria sana nimeona nianze kilimo mkuu. Tuwasiliane


The king.
 
Please ndugu zangu ambao mnabweteka na kutafuta kazi kuna kilimo cha vitunguu, two years unakuwa mtu mwingine kabisa na huta penda kuajiriwa na kama utakuwa kwenye ajira unaweza acha kabisa na kuamua kuwa mkulima.

Tusiwaze kuajiriwa tu tutakufa maskin mwisho wa siku. Mimi nimejaribu na sasa nataka niache kazi na kuwa moja ya wakulima na wafanyabiashara wakubwa wa vitunguu na mazao yote ya shamba kwa ujumla ila pamoja na hilo bado nahitaji muongozo mkubwa kwa watu waliobobea kwenye ukulima pamoja na biashara ya mazao ya shambani ili waweze kunishauri zaidi.

Mimi napatikana moshi pamoja na arusha ndiko napofanyia biashara zangu. Please kwa yoyote ambaye amebobea kwenye biashara hii zaidi naomba ani PM ili tuweze kupeana contact ili mkukuza network na bidae kuweza kuanzisha kitu flani kwa manufaa yetu asanteni sana na wakilisha.

ulianza kulima kiasi gani mwanzon
 
Mimi nataka nijikite so naomba wenye uzoefu na kilimo hicho wanisaidie ushauri khs sehemu, aina ya mbegu na namna ya kuhudumia shamba. mtu anichek kwenye 0752 664814
 
Mku hirima kwani we uko wapi?na unataka kufanyia project yako wapi?
 
Naona sasa hivi watu wako bize shambani. Kazi njema wakuu....
 
mimi nimejaribu mbeya kusema kweli hapa makadirio ya gharama inategemeana na eneo ila mimi mpaka jana nimemaliza kupandikiza gharama niliyoitumia imekuwa ndogo sana tofauti nilivyotarajia almost nusu ya makadirio ya hapa. mungu akijalia kama mazao yakikubali mwakan najiingiza ini full walau kwa heka 50. nawashukuru sana hasa Malila for contribution.
 
mimi nimejaribu mbeya kusema kweli hapa makadirio ya gharama inategemeana na eneo ila mimi mpaka jana nimemaliza kupandikiza gharama niliyoitumia imekuwa ndogo sana tofauti nilivyotarajia almost nusu ya makadirio ya hapa. Mungu akijalia kama mazao yakikubali mwakan najiingiza ini full walau kwa heka 50. Nawashukuru sana hasa malila for contribution.

mbeya sehemu gani mkuu
 
mimi nimejaribu mbeya kusema kweli hapa makadirio ya gharama inategemeana na eneo ila mimi mpaka jana nimemaliza kupandikiza gharama niliyoitumia imekuwa ndogo sana tofauti nilivyotarajia almost nusu ya makadirio ya hapa. mungu akijalia kama mazao yakikubali mwakan najiingiza ini full walau kwa heka 50. nawashukuru sana hasa Malila for contribution.

mkuu upo mbeya sehemu gani hata mimi niko mbeya nataka nijaribu kilimo cha kitunguu je umelima shamba la ukubwa kiasi gani?
 
mkuuu mimi nimelima itimba, ukifika mbalizi unakata kulia kwako pale njia panda, nimejaribu acre moja na mwenzangu(wife) acre moja tuseme jumla acre mbili mwanzon nilikuwa naogopa sana gharama lakini inawezekana. mashamba ni yale ya mradi kwa hiyo hawauzi ila kuna sehemu nyingine nimepata karibia na mto mdau anauza acre 100 ndani ya mto
 
mkuuu mimi nimelima itimba, ukifika mbalizi unakata kulia kwako pale njia panda, nimejaribu acre moja na mwenzangu(wife) acre moja tuseme jumla acre mbili mwanzon nilikuwa naogopa sana gharama lakini inawezekana. mashamba ni yale ya mradi kwa hiyo hawauzi ila kuna sehemu nyingine nimepata karibia na mto mdau anauza acre 100 ndani ya mto

hongera mkuu kwa kuthubutu na mimi nipo mbioni kuanza nimeku-PM kwa maongezi zaidi.
 
mkuuu mimi nimelima itimba, ukifika mbalizi unakata kulia kwako pale njia panda, nimejaribu acre moja na mwenzangu(wife) acre moja tuseme jumla acre mbili mwanzon nilikuwa naogopa sana gharama lakini inawezekana. mashamba ni yale ya mradi kwa hiyo hawauzi ila kuna sehemu nyingine nimepata karibia na mto mdau anauza acre 100 ndani ya mto

Hayo mashamba wanauza bei gani mkuu?
 
mkuuu mimi nimelima itimba, ukifika mbalizi unakata kulia kwako pale njia panda, nimejaribu acre moja na mwenzangu(wife) acre moja tuseme jumla acre mbili mwanzon nilikuwa naogopa sana gharama lakini inawezekana. mashamba ni yale ya mradi kwa hiyo hawauzi ila kuna sehemu nyingine nimepata karibia na mto mdau anauza acre 100 ndani ya mto

huko Itimba kwenye hayo mashamba ya mradi naweza kupata ekari moja kwa sasa, utaratibu ukoje?
 
Kwa kitabu cha ukulima bora wa vitunguu tupigie Leo 0758303090 au tuma PM
 
Back
Top Bottom