Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hata mkizalisha zaidi, anaweza kuja mpambavu mmoja aka-ban export. We have seen this in the past.
Changamoto nyingine ya parachichi ni maji, hazihitaji maji mengi.Mwaka huu nimepoteza miche kama 50 kwa kosa hilo. halafu lazima unapozipanda either muwe wengi au uwe na uwezo wa kutosheleza soko, hutapata mnunuzi wa kuja kununua nusu container halafu alisafirishe thousand miles kutafuta pa kujalizia.
maji ni muhimu kwa mwaka wa kwanza, kama unategemea mvua jipange upate pondliner
ExactlyBila shaka mbegu hii ni HASS
Kweli Mkuu,zinahitaji commitmentParachichi za kisasa zinahitaji uangalizi wa hali ya juu, kama huna muda na fedha ya kuhudumia usijaribu hiki kilimo
Baadae usirudi Tu na gear kwamba Kwa wale wanahohitaji mbegu.........Habarini wana jamvi, ninapenda kuwashirikisha jambo ambalo nililiona huko mkoani Iringa, wilaya ya Mufindi.
Mwezi march mwaka huu 2021, nilienda kijijini kwetu huko mufindi, nikabahatika kumtembelea ndugu mmoja shambani kwake.
Shamba lake la parachichi lenye ukubwa wa ekari 15, lakin sehemu ambayo tayari kaanza kuvuna ni ekari tano.
Jambo la kuvutia kuliko yote ni kwamba kwa sasa soko bado lipo imara saana endapo umepanda mbegu inayofaa kuuza nje ya nchi. Mbegu hii ina maganda imara na inachelewa kuharibika.
Lakini pia kilichonishangaza ni kwamba matunda ameanza kuvuna baada ya muda wa miaka miwili na nusu tangu alipopandikiza miche.
Nilipoona hayo ilibidi niendelee kuhoji kuhusu maeneo ambayo matunda hayo hustawi, na jibu lilikuwa ni kaskazini mwa nchi na nyanda za juu kusini ingawaje kwa kaskini kikwazo ni bei ya ardhi kwa kuwa hupaswi kukodi kwani ni zao la kudumu.
Lakini pamoja na mazuri hakusita kunijuza changamoto za kilimo hiki ambazo ni kama ifuatavyo:-
Pamoja na changamoto hizo lakini bado kwa utashi wangu si chochote ukilinganisha na faida zake kwani nimeahuhudia akilipwa zaidi ya 6M kwa mavuno ya awali kabisa. Hii ni kusema kwamba msimu unaofuata atapata zaidi kwa sababu miche bado inakua hivyo matunda yataongezeka.
- Upatikanaji wa mbolea ya samadi.
- Kumwagilia miche wakati wa kupandikiza kwani hupaswi kuipanda msimu wa mvua, hivo kama shamba halipo karibu na mto utapaswa kuwa na vifaa vya kuhifadhia maji ili uweze kumwagilia miche hadi mvua itapokuja.
- Kuweka fenzi ya wire ili kuilinda miche ya mifugo kama mbuzi nk.
Kwa wapenzi wa kilimo endeleeni kufuatilia kwa undani kama utavutiwa na maelezo hayo.
NB: Fuatilia kwa umakini kwa faida yako, usikatishwe tamaa wala usivutiwe tu bila kujiridhisha na uhalisia.
Asanteni
Naomba mwenye kujua mashamba ya nafuu kidogonimekuwa nikifikiria, hii avocados, badala ya kuiuza ikiwa vile iko, kwanini tusifanye value addition, na hio itaongeza ajira, and such, nothing has a huge multi layer effect kaa hii value addition, kilimo cha kuadd value itareta ajira sana, hio ndio kitu nafikiria kitaweza kutuokoa na hii umasikini, parachichi poa ni HASS
Mbegu inaitwa Hass.Mkuu labda ulihoji ni mbegu gani hiyo ambayo inaanza kuzaa baada ya miaka miwili na nusu na pia ni aina gani hiyo ya mbegu yene ganda gumu ambalo hulifanya tunda lisiharibike haraka?
Mashamba huwezi kukodi ni lazima ununue shamba kama unataka kulima maana ni kilimo cha miaka 3Naomba mwenye kujua mashamba ya nafuu kidogo
sijasema nakodi mkuu ninunue nilitaka ya nafuuMashamba huwezi kukodi ni lazima ununue shamba kama unataka kulima maana ni kilimo cha miaka 3
Yaap!!!,ni HASS na WESSUBila shaka mbegu hii ni HASS
Sio kweli, kwasababu sio sehemu zote parachichi zinaweza kulimwa, Wakenya wenyewe wanakuja huku Njombe kulima.Wewe tuache tulime.Nilimsikiliza jamaa mwny Co. Ya Malembo farm kwny kipindi cha kina masudi kipanya pale clouds+ cha saa 2 usiku.
Akasema sa hivi kinacho trend huko mitandaoni/mashambani ni kilimo cha parachichi(HASS) anasema wakulima wanalima sana na wote ukiwauliza mtauzia wapi wanakwambia Ulaya,ukiwauliza Ulaya nchi ipi maana sio nchi zote tunafanya nao biashara hawana majibu,ukiwauliza mnajua ni standards gani hizo nchi za ulaya zinataka ili kununua hayo matunda wao hawana majibu ila wanakwambia tu cha msingi iwe ni aina ya HASS.
Yajayo yanafurahisha,Parachichi inaenda kua kama kilimo cha Tikitimaji.
Utasubiri saaana.Mkuu nadhani ni bora wangetafuta experience kutoka kwa watu wenye uzoefu kama kwako na kwingineko kuliko waendelea kupeana moyo na mwisho wa siku iwe ni hasara kwao.
Kufikia hizo standards za ulaya imekua ni tatizo kwny mazao mengi kutoka huku kwetu.
Safi Sana Mkuu Kwa kumuelewesha huyo jamaa.Embe zilikula pest Quarantine na kipindi like exposure ya masuala ya ukaguzi na sumu hayakuwepo.
Siku hizi hautoi mzigo mpaka phyto issues zipitiwe na ruhusa ya crop inspectors iwe imepita.
Kule kwenu wapi mkuu na shamba la ukubwa gani ni bei hiyo?Bei za mashamba ni kama bahati ya mtu hamna given price, mfano kule kwetu laki nne, tano, nk
Kunaweza kuwa na chembechembe za "ukweli" katika hili, yaani kuna kaukweli kadogo tu! Nasema hivyo kwa sababu wengi wa wakulima wa parachichi aidha Njombe au Kusini au popote pale Tanzania, ni wakulima wa KAWAIDA KABISA, yaani ni wakulima wadogo au ukipenda ni WAKULIMA WADOGO WADOGO ambao hawana pesa nyingi; mtaji wao hawa ni nguvu zao wenyewe, juhudi na kiu yao ya kuondokana na umasikini na ARDHI waliyonayo. Hiyo ndiyo mitaji yao na inaweza kuwavusha wakigangamara! Siyo mihela mingi au mitaji mikubwa!Parachichi za kisasa zinahitaji uangalizi wa hali ya juu, kama huna muda na fedha ya kuhudumia usijaribu hiki kilimo