Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Umelimia wapi mkuu?!
Sijatumia mbolea inajitosheleza kwenye ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijatumia mbolea inajitosheleza kwenye ardhi
Sio mikoa yote inayolima vuli, kumbuka mwaka huu karibia maeneo yote ya nchi mvua zilikua hafifuLabda vuli isinyeshe, mvua za vuli zikinyesha, mwezi pili watu wanavuna na bei inaporomoka ghafla.
Mkuu uchawi wa kilimo cha mahindi niNina ekari kumi zangu ila sijaona manufaa ya kilimo..nip3ni maarifa mkuu
Nitalichukua hili mkuuMkuu uchawi wa kilimo cha mahindi ni
1. Kutumia mbegu Bora
2. Kupanda mapema na
3. Kupalilia mapema
Hv kwa wastani Heka moja inaweza kutoa Gunia ngap za Mahindi ...Heka zote hizo Gunia22!hasara itakuinua bei hiyo February2023,Omba usikutane na mahindi ya Zambia.
Natoa ushuhuda wangu wa kilimo cha mahindi nilichofanya msimu wa 2022
Niliandaa shamba ekari 3 kwa tsh 180,000.
Nilinunua mbegu aina ya Dk mifuko 7 ya kilo 2 kwa garama ya tsh 91,000.
Gharama za kupandà ni tsh 60,000.
Palizi 180,000.
Jumla ya garama zote ni tsh 511,000.
Mavuno niliyopata ni gunia 22.
Bei ya gunia moja kwa sasa ni elfu 95.
Siwezi kuuza sasa hivi kwa sasa nitayahifadhi mpaka mwaķani mwezi wa pili.
NB: Mbegu zimeìngia chache sababu shamba lina mazao mengine kama michungwa, minazi na miģomba
Vijana tuacheni kulalamika kilimo kinalipa ukiwa makini
Ukitaka kufa mapema kiamini kilimo,boea kubet mechi ya simba au Man U
Nina ekari kumi zangu ila sijaona manufaa ya kilimo..nip3ni maarifa mkuu
Muheza Tangakaka kilimo chako unakifanyia wapi?
Muheza Tanga
Hapana ni shamba langu mwenyeweunakodisha?
Hapana ni shamba langu mwenyewe
cha msingi elewa kila shughuli hapa duniani inalipa kulingana na wakati wake. wakulima wa mahindi msimu huu wanajinasibu kwa sababu ya hali ya hewa ilikuwa mbovu na wengi wameangukia pua kwenye mahindi, wachache waliotoboa ndio wanatusisimua hapa kuwa kilimo cha mahindi kinalipa.Nina ekari kumi zangu ila sijaona manufaa ya kilimo..nip3ni maarifa mkuu
Hakuna nyakati gunia lingeuzwa kwa bei ya 30 au 40 kwa miaka 10 nyumaila serikali ndio ilikuwa inawaminya wakulima kwa kufunga mipaka kwa kigezo cha kuepusha taifa na njaa ikimnufaisha mfanyakazi,biashara, bila kujali mkulima nguvu,muda na gharama anayotumia kwa msimamo wa Sasa wa serikali hata vijijini tutaanza kuona nyumba za bati na wale wa mijini waidai serikali ongezeko ktk kile walichokuwa wanamdhurumu mkulima ili kubalance maisha.Mshukuru Mungu umevuna kipindi ambacho mahindi yapo bei nzuri. Ungekutana na bei ya gunia elf 30 mpaka 40 ndo ungefahamu kama kilimo kinalipa kweli au ni story tu.
nakazia tu ekari moja huwa ni around 13 up 18 hili ni kadirio kwa mkulima mzoefu gunia 22 ekar tatu daah hapana aise maana yake kalma ekar moja na nusuMkuu kwa heka moja kwa makadirio yako alitakiwa apate gunia ngapi mkuu? Tupe uzoefu wako mkuu.
Zipo za kununua ,laki na nusu kwa eka ,handeni,miono chalinze laki mbili kwa eka.pia za kukodi zipo ruvu kitonga pembeni ya mto msumbiji,laki kwa eka ,maji muda wotesas me nahtaj shamb l kukodi mkuu lililopo karbu na mto nalipata kw bei gan huko?
kweli mkuu aingie uwanja wa vita akutane na hali halisi kilimo kina changamoto asikuambie mtu,naongea kama shahidi kwa yaliyo nikuta mwaka huu ekar nne cjavunacha msingi elewa kila shughuli hapa duniani inalipa kulingana na wakati wake. wakulima wa mahindi msimu huu wanajinasibu kwa sababu ya hali ya hewa ilikuwa mbovu na wengi wameangukia pua kwenye mahindi, wachache waliotoboa ndio wanatusisimua hapa kuwa kilimo cha mahindi kinalipa.
"Usiingie shambani kwa kusisimuliwa na shuhuda za watu". Ingia shambani kwa sababu umejiandaa kukutana na hali zote mkuu
mkuu kuna maeneo hayaitaji mbolea mfan kam wilaya ya hanang hatumii mbolea maeneo ya basou nafco ile ya enzi ya kanadakaka kilimo chako unakifanyia wapi?
Mkuu kwa handeni ziko kijiji gan hzo heka za kununuaZipo za kununua ,laki na nusu kwa eka ,handeni,miono chalinze laki mbili kwa eka.pia za kukodi zipo ruvu kitonga pembeni ya mto msumbiji,laki kwa eka ,maji muda wote