Kilimo kinalipa kama ukikifanya kama kazi

Mshukuru Mungu umevuna kipindi ambacho mahindi yapo bei nzuri. Ungekutana na bei ya gunia elf 30 mpaka 40 ndo ungefahamu kama kilimo kinalipa kweli au ni story tu.
Kuna sehemu mwaka 2018 mahindi debe buku 3

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mshukuru Mungu umevuna kipindi ambacho mahindi yapo bei nzuri. Ungekutana na bei ya gunia elf 30 mpaka 40 ndo ungefahamu kama kilimo kinalipa kweli au ni story tu.
kwa Sasa sio rahisi mahindi kununuliwa 40 au 30
 
Kweli.. kabisa, mimi niliogopa kulima mahindi nikaamua kupanda viaz na mihogo kulinda shamba, dalali kanipigia simu anataka viazi lishe kwa 800/kg...

Nimeamua kuwa serious na kuacha uvivu pia kuweka degree pembeni...
Mkuu vipi naweza kupata mawasiliano yako zaidi
 
Una lengo la kugusa jamii kwa kumotivate ila bado.
Kwa ekari moja ni mifuko 4 mpaka 5.5 kwa space aidha ya 30cm kwa 75cm au 45cm kwa 90cm.

The rest ukianza mifuko 7 ekari tatu plus mavuno gunia 22 hapana kubwa sana. Wastani kwa ekari umekosa ni gunia 15. Mwisho mqnagerial practices haikuwa sawa
 
Mahindi na kipunga bei imeporomoka. 2024 kutakuwa na mpunga aka Michele ya kufa mtu. Kilo tunaidakia sh 1000
 
Utakuwa hujasoma mpaka mwisho. Mbona kaelezea kwanini mbegu zimeingia chache?
 
Duuh hekari 3 kumbe unapat gunia 22😥
 
Duuh hekari 3 kumbe unapat gunia 22😥
Inategemea mm kuna jamaa tumechanga tukalima ila huduma tuliweka kwa kiwango stahiki na tumevuna kipande cha heka kama mbili pekee kwanza Ila kimetoa karibu gunia 50
 
Wanasema Kilimo Cha Umwagiliaji Kinalipa, Je Ni Maeneo Gani Ambayo Unaweza Kufanya Kilimo Cha Umwagiliaji. Na Serikali Yetu Inazuia Kufanya Shughuli Za Kilimo Kwenye Vyanzo Vya Maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…