Kuna sehemu mwaka 2018 mahindi debe buku 3Mshukuru Mungu umevuna kipindi ambacho mahindi yapo bei nzuri. Ungekutana na bei ya gunia elf 30 mpaka 40 ndo ungefahamu kama kilimo kinalipa kweli au ni story tu.
kwa Sasa sio rahisi mahindi kununuliwa 40 au 30Mshukuru Mungu umevuna kipindi ambacho mahindi yapo bei nzuri. Ungekutana na bei ya gunia elf 30 mpaka 40 ndo ungefahamu kama kilimo kinalipa kweli au ni story tu.
Mkuu vipi naweza kupata mawasiliano yako zaidiKweli.. kabisa, mimi niliogopa kulima mahindi nikaamua kupanda viaz na mihogo kulinda shamba, dalali kanipigia simu anataka viazi lishe kwa 800/kg...
Nimeamua kuwa serious na kuacha uvivu pia kuweka degree pembeni...
Una lengo la kugusa jamii kwa kumotivate ila bado.Natoa ushuhuda wangu wa kilimo cha mahindi nilichofanya msimu wa 2022
Niliandaa shamba ekari 3 kwa tsh 180,000.
Nilinunua mbegu aina ya Dk mifuko 7 ya kilo 2 kwa garama ya tsh 91,000.
Gharama za kupandà ni tsh 60,000.
Palizi 180,000.
Jumla ya garama zote ni tsh 511,000.
Mavuno niliyopata ni gunia 22.
Bei ya gunia moja kwa sasa ni elfu 95.
Siwezi kuuza sasa hivi kwa sasa nitayahifadhi mpaka mwaķani mwezi wa pili.
NB: Mbegu zimeìngia chache sababu shamba lina mazao mengine kama michungwa, minazi na miģomba
Vijana tuacheni kulalamika kilimo kinalipa ukiwa makini
Hiyo NB yake mumeiona au mmekurupuka tu?Apo kwa Ekari 3 mifuko 7 sio kweli, Ekari Moja ya mahindi inachukua mifuko 4 hadi 5
Utakuwa hujasoma mpaka mwisho. Mbona kaelezea kwanini mbegu zimeingia chache?Una lengo la kugusa jamii kwa kumotivate ila bado.
Kwa ekari moja ni mifuko 4 mpaka 5.5 kwa space aidha ya 30cm kwa 75cm au 45cm kwa 90cm.
The rest ukianza mifuko 7 ekari tatu plus mavuno gunia 22 hapana kubwa sana. Wastani kwa ekari umekosa ni gunia 15. Mwisho mqnagerial practices haikuwa sawa
Duuh hekari 3 kumbe unapat gunia 22😥Natoa ushuhuda wangu wa kilimo cha mahindi nilichofanya msimu wa 2022
Niliandaa shamba ekari 3 kwa tsh 180,000.
Nilinunua mbegu aina ya Dk mifuko 7 ya kilo 2 kwa garama ya tsh 91,000.
Gharama za kupandà ni tsh 60,000.
Palizi 180,000.
Jumla ya garama zote ni tsh 511,000.
Mavuno niliyopata ni gunia 22.
Bei ya gunia moja kwa sasa ni elfu 95.
Siwezi kuuza sasa hivi kwa sasa nitayahifadhi mpaka mwaķani mwezi wa pili.
NB: Mbegu zimeìngia chache sababu shamba lina mazao mengine kama michungwa, minazi na miģomba
Vijana tuacheni kulalamika kilimo kinalipa ukiwa makini
Inategemea mm kuna jamaa tumechanga tukalima ila huduma tuliweka kwa kiwango stahiki na tumevuna kipande cha heka kama mbili pekee kwanza Ila kimetoa karibu gunia 50Duuh hekari 3 kumbe unapat gunia 22😥