Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Unaendeleaje lakini baada ya kuruhusiwa kutoka MIREMBE HOSPITAL

 
Endelea drama na reality
 
Ugonjwa wake umeanza tena
 
Mnajadiliana na chizi, huyu tarehe 26/10/2023 aliibiwa milioni 5 Magufuli Stendi akafungua uzi, tarehe 27/10/2023 akafungua uzi mwingine karuhusiwa kutoka Milembe hospital anashukuru kwa waliomuombea. Leo kaleta Uzi mwingine wa bilionea wa kilimo. Anaweza kuwa na matatizo ya akili kweli huyu.
 
Kuna Mwana JF naye alianza hivi baadae akawavua wengi kwenye mipango yake ya mbele.

Ila yeye alipangilia vizuri uzi wake
 
Hahaha si ajabu upo sebuleni kwa shemj yako unaandika kilimo kinalipa

Endelea na huo usanii utaliwa na dadako pamoja
 
Milioni 150 kwenye account zinafanya kazi gani?
Si bora ujenge hata nyumba upangishe au ununue bodaboda uzalishe pesa nyingine!
Billionare bhana una mbwembwe!πŸ˜ƒ
 
Achana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.

Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani Anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae Na hafananii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Longo longo nyingi Yahaya unaishi wapiKwani jina lako halisi nani Yahaya eeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh yahaya
 
Kijana umaskini utakuua,
50M kwa mwaka unaishije? Miaka 27 bado unapigania hela ugali?

Vijana acheni porojo, betting inalipa.
 
hakuna dalili hata za milioni 15 humo kwa mleta mada. hela hazitangazwi kama njugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…