Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

Mkuu serikali imekataza ulimaji, uvutaji na matumizi ya bangi ila sijui kwanini bado mnaendelea
 
Achana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.

Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.

😂🤣😂🤣🤣
Wewe ni muhenga
 
"per yearly"
Mara hii annually imekuwa yearly.
Kiingereza cha mchongo kama ilivyo habari ya mchongo,
Note: Mimi mkulima na nimeanza kuwa mfugaji kiwango cha kuitwa mwekezaji.
 
Unaingiza million 50 kwa mwaka halafu unashindwa kuandika kitu cha kumsaidia Mtu?
Utakuwa unalimiwa na misukule sio kwa akili za kitaalam
 
Vijana msikatishwe tamaa na huyu hebu fungueni hii attachment hapa mjue mnadeal na nani
 

Attachments

  • Screenshot_20231107-211652_Chrome.jpg
    198.6 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…