Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Halafu mkutukanwa mnaanza kulialia kama makolo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu serikali imekataza ulimaji, uvutaji na matumizi ya bangi ila sijui kwanini bado mnaendeleaNyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Fukua makaburi yote kudadeki 😃 anatuchoraUkiwa mwuongo uwe na kumbukumbuView attachment 2807129
Kwahiyo kumbe kipa katoka ?????[emoji28][emoji28][emoji41]Ukiwa mwuongo uwe na kumbukumbuView attachment 2807129
Bill LuganoYupi
Wewe ni muhengaAchana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.
Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.
😂🤣😂🤣🤣
Hata jinsia yake haijui .Ukiwa mwuongo uwe na kumbukumbuView attachment 2807129
Mara hii annually imekuwa yearly."per yearly"
AjunguNarudia tena, hakuna billionaire hapo.
Vijana msikatishwe tamaa na huyu hebu fungueni hii attachment hapa mjue mnadeal na nani
[/QUOTEwa majungu mbwa wewe