Kilimo kitafanikiwa vipi na Kuinua Uchumi, ikiwa wasomi wa kilimo hawasaidii?

Kilimo kitafanikiwa vipi na Kuinua Uchumi, ikiwa wasomi wa kilimo hawasaidii?

Hoja uliyoleta "Je serikali ina mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa kwenye uchumi wa Taifa kuliko hali ilivyo hivi sasa?

Ila cha ajabu umeanza kushambulia wanafunzi utadhani hoja ni Wanafunzi wa SUA Wana mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa

Siku hizi Mr Gentamicin sijui umekumbwa na tatizo gani, maana sio yule Gentamicin tuliemzoea miaka kadhaa nyuma, siku hizi unalopoka lopoka tu, sijui ndo Hasira za Yanga kubeba ubingwa wa ligi au ni vipi

miongoni mwa wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wanatumia moja moja Kwa elimu zao mitaani ni hao wa SUA, ila kwakuwa wanafanya kwa udogo na uwekezaji unakuwa wa kusua sua ndiomaana hakuna madariko kuonekana kitaifa

Kilimo chenye tija kinataka uwekezaji na sio maneno yenu ya mjiari mjiari, Tembea uone vile vijana waliotoka SUA wanapiga kazi, hayo Mambo ya kushinda bar na kwenda gest ni Mambo personal ya watu, ata daktari wa binadamu anaweza kwenda bar na gest

Mabadiriko yaliyoletwa na hao vijana wa SUA wanaoshinda bar na gest ni makubwa sana kulinganisha na nguvu inayotumika, kama wewe huyaoni hayo mabadiriko kawaulize watu wakulima na wafugaji maana hao ndio wanaodeal moja moja na wahusika

Nenda kaishauri serikali yako kama inataka sekta ya kilimo Tanzania iwe na mchango mkubwa kiuchumi inabidi iwekeze vya kutosha kwenye hiyo sekta pamoja na kuwatumia hao wahitimu na sio kuleta siasa kwenye issue za msingi
 
Hoja uliyoleta "Je serikali ina mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa kwenye uchumi wa Taifa kuliko hali ilivyo hivi sasa?

Ila cha ajabu umeanza kushambulia wanafunzi utadhani hoja ni Wanafunzi wa SUA Wana mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa

Siku hizi Mr Gentamicin sijui umekumbwa na tatizo gani, maana sio yule Gentamicin tuliemzoea miaka kadhaa nyuma, siku hizi unalopoka lopoka tu, sijui ndo Hasira za Yanga kubeba ubingwa wa ligi au ni vipi

miongoni mwa wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wanatumia moja moja Kwa elimu zao mitaani ni hao wa SUA, ila kwakuwa wanafanya kwa udogo na uwekezaji unakuwa wa kusua sua ndiomaana hakuna madariko kuonekana kitaifa

Kilimo chenye tija kinataka uwekezaji na sio maneno yenu ya mjiari mjiari, Tembea uone vile vijana waliotoka SUA wanapiga kazi, hayo Mambo ya kushinda bar na kwenda gest ni Mambo personal ya watu, ata daktari wa binadamu anaweza kwenda bar na gest

Mabadiriko yaliyoletwa na hao vijana wa SUA wanaoshinda bar na gest ni makubwa sana kulinganisha na nguvu inayotumika, kama wewe huyaoni hayo mabadiriko kawaulize watu wakulima na wafugaji maana hao ndio wanaodeal moja moja na wahusika

Nenda kaishauri serikali yako kama inataka sekta ya kilimo Tanzania iwe na mchango mkubwa kiuchumi inabidi iwekeze vya kutosha kwenye hiyo sekta pamoja na kuwatumia hao wahitimu na sio kuleta siasa kwenye issue za msingi
Hivi Mademu wa SUA wangekuwa Serious na Shule yao ningekuwa nawaokota hovyo katika Baa za Misufini na SUA jirani?
 
Acha pombe utakufa mlevi wewe
Tayari umeshalewa bapa la konyagi kubwa halafu mgonjwa wewe
Huo Ugonjwa unaonimaanisha / unaonihusisha nao Kaniambukiza Aliyekuleta duniani sawa?
 
Basi sawa 'siwakazi' Mademu wa SUA bali ' nakukazia' Dada zako je, umeridhika?
Wewe mgonjwa na mwathirika
Unalewa pombe.kali kusteam out mi frustrated yako ya kujua siku yeyote unaondoka duniani kwa afya duni ya magonjwa yako uliyoyapata kwa kutodhibiti life style zako baada ya kupata pesa
Umechoka kwa maradhi hadi basi
 
Wewe mgonjwa na mwathirika
Unalewa pombe.kali kusteam out mi frustrated yako ya kujua siku yeyote unaondoka duniani kwa afya duni ya magonjwa yako uliyoyapata kwa kuodhibiti life style zako baada ya kupata pesa
Umechoka kwa maradhi hadi basi
Anza Kumlaumu aliyekuleta duniani kwani kwa Kutotulia Kwake ndiko 'Kaniambukiza' nami pia.
 
Anza Kumlaumu aliyekuleta duniani kwani kwa Kutotulia Kwake ndiko 'Kaniambukiza' nami pia.
Nimlaumu kwa lipi.sina alinifunza ukipata pesa au cheo cha u boss au u star jitahidi kudhibiti lifestyle zako vinginevyo ukimwi utapata chapchap sababu utagombaniwa kama mpira wa kona kila mtu atakutaka
Wewe yalikushinda umeona matokeo maradhi kibao ihusianayo na umalaya
 
Nimlaumu kwa lipi.sina alinifunza ukipata pesa au cheo cha u boss au u star jitahidi kudhibiti lifestyle zako vinginevyo ukimwi utapata chapchap sababu utagombaniwa kama mpira wa kona kila mtu atakutaka
Wewe yalikushinda umeona matokeo maradhi kibao ihusianayo na umalaya
Narudia Kusisitiza Kwako kuwa huu Ugonjwa wa 'UKIMWI' unaon nao mara kwa mara hapa JF ameniambukiza Mamaako.
 
"Je serikali ina mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa kwenye uchumi wa Taifa kuliko hali ilivyo hivi sasa?," - Mbunge wa kalambo Josephat Kandege

Chanzo: EastAfricaTV

Israel nchi ndogo sana tu na haaina Ardhi Kubwa lakini wameweza Kujiimarisha kwa Kilimo na wanalisha hadi Dunia pia.
Wale wamewekeza kwa kila nyanja mkuu, Wamewekeza kwenye Elimu ambao ndo chimbuko la mapinduzi ya Kilimo chao. Na baada ya hapo Sera zao na mahusiano yanawasaidia sana, Israeli mfano wanauza sana USA na EU country.

Sasa sisi hatujui tunacho kitafuta,
 
Hoja uliyoleta "Je serikali ina mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa kwenye uchumi wa Taifa kuliko hali ilivyo hivi sasa?

Ila cha ajabu umeanza kushambulia wanafunzi utadhani hoja ni Wanafunzi wa SUA Wana mpango gani wa kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na mchango mkubwa

Siku hizi Mr Gentamicin sijui umekumbwa na tatizo gani, maana sio yule Gentamicin tuliemzoea miaka kadhaa nyuma, siku hizi unalopoka lopoka tu, sijui ndo Hasira za Yanga kubeba ubingwa wa ligi au ni vipi

miongoni mwa wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wanatumia moja moja Kwa elimu zao mitaani ni hao wa SUA, ila kwakuwa wanafanya kwa udogo na uwekezaji unakuwa wa kusua sua ndiomaana hakuna madariko kuonekana kitaifa

Kilimo chenye tija kinataka uwekezaji na sio maneno yenu ya mjiari mjiari, Tembea uone vile vijana waliotoka SUA wanapiga kazi, hayo Mambo ya kushinda bar na kwenda gest ni Mambo personal ya watu, ata daktari wa binadamu anaweza kwenda bar na gest

Mabadiriko yaliyoletwa na hao vijana wa SUA wanaoshinda bar na gest ni makubwa sana kulinganisha na nguvu inayotumika, kama wewe huyaoni hayo mabadiriko kawaulize watu wakulima na wafugaji maana hao ndio wanaodeal moja moja na wahusika

Nenda kaishauri serikali yako kama inataka sekta ya kilimo Tanzania iwe na mchango mkubwa kiuchumi inabidi iwekeze vya kutosha kwenye hiyo sekta pamoja na kuwatumia hao wahitimu na sio kuleta siasa kwenye issue za msingi
Mleta maada kaisha badili Maaada,
 
Back
Top Bottom