Ulipe 300,000/- halafu ulipe usafiri kutoka hapo hadi mjini ukauze. Ukifika mjini unakutana na dalali anakupangia bei yake. Ukigoma yanaoza!Hapo wameshapiga mahesabu yao ktk hiyo lak 3 ofisin itaenda ngap na mfukoni ngap[emoji848][emoji848]
Ipo mkoa wa Tanga sio mkoa wa Pwani ila Tanga nayo ina mazingira na tamaduni za kipwanipwani
Jionee mwenyeweView attachment 2087769
Hii sio sawa,kwa wanaoweka hivyo viwango huwa qanafikiria kweli?Baadhi ya wafanyabiashara wa maembe wamegoma kununua maembe ya wakulima wa Kwediboma wilayani Kilindi mkoani Tanga wakidai kuwa ushuru shilingi 300,000/= wanaotozwa na halmashauri ya wilaya hiyo kwa gari moja aina ya Fuso ni mkubwa.View attachment 2087728
Wanakera Sana haya majitu majinga ya Halmashauri,hii ndio shida ya kutoelewa biashara na watu kuwaza tuu kuajiriwa.We are mentally sick for real.. Huo ushuru hakuna mtu atakuwa tayari kulipa
Hawajasaidia chochote kuanzia kuandaa shamba mpaka kuvuna... Leo mazao tayari kwa kuuzwa ndio wanajitokezaWanakera Sana haya majitu majinga ya Halmashauri,hii ndio shida ya kutoelewa biashara na watu kuwaza tuu kuajiriwa.
Dah unamaanisha mwanaidi wolfgang yule aliyolewa na mjerumani?Afu umenikumbusha ngoja nimpigie mwanaidi wangu wa Kilindi.
well saidHalmashauri nyingine zimejaa ulaghai sana.
Hivi maembe ambayo hujampa mtu mtaji,pembejeo,hujamkodishia shamba,hujamuwekea miundombinu ya maji nk unamuambia tani kumi laki tatu,unataka hela zote hizo kwa kazi gani uliyoifanya?
Nauli zenyewe zinachukuliwa kubwa kwa ubovu wa miundombinu kisha halmashauri wanakandamizia ushuru mkubwa.
Haya watoza ushuru itaneni muingie kwenye mapori mle maembe hayo mshaachiwa. Kuleni mshibe
Aibu yenuuuu
Urefu wa kamba wakati kamba imekatika!Hapo wameshapiga mahesabu yao ktk hiyo lak 3 ofisin itaenda ngap na mfukoni ngap[emoji848][emoji848]
Mkuu acha jazba mbona iyo hela ya ushuru ni ndogo tu si ni kama dola mia na ushee? Kuweni na fahari kuchangia maendeleo kwenye sehemu husika kwa maslahi mapana ya taifa.Wanafikir hela zinatikiswa kama maembe hawa jamaa
Acha kulialia wewe. Kumbuka ushuru na Kodi ndio engine ya serikali na nchi kwa jumla. Kwaiyo lips ushuru na Kodi kwa maslahi mapana ya nchi.maslahi mapama au sio