Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

KATAA NDOA
Kuna siku/ifike pahala muwe mnatuelewa tunaposema NDOA NI UTUMWA,NDOA NI MATESO
Hapo ukienda hospital utaambiwa una
1.presha ya kupanda
2.presha ya kushuka
3.kiharusi
4.sonona
5.msongo wa mawazo
6.Vidonda vya tumbo
7.tumbo la kuharisha

hapo unaweza kumroga mtu,kuua,kukimbia familia,chuki,mizobezo,vibweka yaani kuna kitu kimekukaba mpaka hapaaa..kataa ndoa bado hujachelewa huyo muache aende..

KATAA NDOA,KATAA UTUMWA
Hutokuwa na watoto?
 
Hii hoja ni ya kipuuzi sana👎
Ndio wabambikiaji watoto wanaume hao,inawezekana watoto wote wa kwenye ndoa yake sio wa mumewe,hivyo kaguswa hasaaa na hoja ya mwana,anajustify upumbavu
 
Ndio wabambikiaji watoto wanaume hao,inawezekana watoto wote wa kwenye ndoa yake sio wa mumewe,hivyo kaguswa hasaaa na hoja ya mwana,anajustify upumbavu

Inasikitisha sana hiyo comment aliyotupia mbona kama haiendani na navyomdhaniaga humu jukwaani
 
Inaumiza, yaani inaumiza sana. Wanawake tutulie tu jamani. Dunian hakuna jipya. Mbona kila baya lina majuto, kwanini tusijifunze kupitia hilo?

Yaani mumeo anapambana na kuvuja jasho la meno lakini kumbe anaowapambania wamebakiza kumuua tu. Hatuwezi kushauriana eti tucheat kwa akili, tunashauriana tuache kabisa uasherati ndani ya ndoa.

Kulea mtoto si wako ni maumivu sana.
Yaani usiku hulali unawaza watoto wanakula nini kumbe sio wa Kwako. Ndio maana watu wakigundua wanalipua risasi tu.

Sijui Mwenzetu Dr Mwaka aligundua nini
 
Dawa saivi akianza period tu,unamfungia ndani,ili itakapoisha tu zile tarehe za hatari unampelekea Moto,hautoki nje kama wiki tatu,apo itakua umejiahakikishia kidogo.
Wewe utaishia kulalamikia bei ya Mchele.

Unadhani wenye hela wanashinda ndani wanakula mbususu?

Pesa na mapenzi haviendani. Ndio maana wenye hela hata hawaoi
 
Dawa saivi akianza period tu,unamfungia ndani,ili itakapoisha tu zile tarehe za hatari unampelekea Moto,hautoki nje kama wiki tatu,apo itakua umejiahakikishia kidogo.
Wewe utaishia kulalamikia bei ya Mchele.

Unadhani wenye hela wanashinda ndani wanakula mbususu?

Pesa na mapenzi haviendani. Ndio maana wenye hela hata hawaoi
 
Mbambikie aliyekukataa, kwanini umbambikie aliyekuthamini katika wote waliokuumiza yeye akaona thamani yako, fikiri umelala na wanaume wangapi waliokuahidi kukuoa lakini walikuacha? Umetoa mimba ngapi za hao waliokudanganya na wakakuacha, lakini yeye akakupenda na kukuthamini na kuona unafaa kuwa mkewe Ili hali wengine walikuacha Kwa maneno ya kejeli, kwanini usimtunzie heshima yeye aliyekufadhili??

Ukitafakari utaona sio ok, umetoka nje ya ndoa, kwasababu umezoea za aina tofauti, basi jizuie usibebe mimba huko, bado haitoshi ukabeba huko basi kuwa mkweli Ili usimuumize mwenzio kah! Yaani Kuna mahali wanawake huwa mnakuwa wajinga, huyo ex alikuwa wako na kama alikuwa na nia angekuoa lakini hakukuoa alikufaidi tu huku wewe ukiingia hasara, katokea aliyekuona wa thamani eti unarudi kwa ex wako! Kah!
Maelezo yamejitoshereza
 
Back
Top Bottom