Kilio cha wanaume huko nje: Kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu!

Dawa saivi akianza period tu,unamfungia ndani,ili itakapoisha tu zile tarehe za hatari unampelekea Moto,hautoki nje kama wiki tatu,apo itakua umejiahakikishia kidogo.
🤣🤣🤣🤣🤭🤐
 
Hutokuwa na watoto?
 
Hii hoja ni ya kipuuzi sana👎
Ndio wabambikiaji watoto wanaume hao,inawezekana watoto wote wa kwenye ndoa yake sio wa mumewe,hivyo kaguswa hasaaa na hoja ya mwana,anajustify upumbavu
 
Ndio wabambikiaji watoto wanaume hao,inawezekana watoto wote wa kwenye ndoa yake sio wa mumewe,hivyo kaguswa hasaaa na hoja ya mwana,anajustify upumbavu

Inasikitisha sana hiyo comment aliyotupia mbona kama haiendani na navyomdhaniaga humu jukwaani
 
Yaani usiku hulali unawaza watoto wanakula nini kumbe sio wa Kwako. Ndio maana watu wakigundua wanalipua risasi tu.

Sijui Mwenzetu Dr Mwaka aligundua nini
 
Dawa saivi akianza period tu,unamfungia ndani,ili itakapoisha tu zile tarehe za hatari unampelekea Moto,hautoki nje kama wiki tatu,apo itakua umejiahakikishia kidogo.
Wewe utaishia kulalamikia bei ya Mchele.

Unadhani wenye hela wanashinda ndani wanakula mbususu?

Pesa na mapenzi haviendani. Ndio maana wenye hela hata hawaoi
 
Dawa saivi akianza period tu,unamfungia ndani,ili itakapoisha tu zile tarehe za hatari unampelekea Moto,hautoki nje kama wiki tatu,apo itakua umejiahakikishia kidogo.
Wewe utaishia kulalamikia bei ya Mchele.

Unadhani wenye hela wanashinda ndani wanakula mbususu?

Pesa na mapenzi haviendani. Ndio maana wenye hela hata hawaoi
 
Maelezo yamejitoshereza
 
Yaani usiku hulali unawaza watoto wanakula nini kumbe sio wa Kwako. Ndio maana watu wakigundua wanalipua risasi tu.

Sijui Mwenzetu Dr Mwaka aligundua nini
🤣🤣🤣🤣🤣🤐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…