Sasa kwa taarifa yako chama kinampasuko mkubwa mno, zipo Timu zaidi ya tatu bambazo zote hazipo upande wa mama, usifikiri zile 100%alizo pata kupitishwa uenyekiti niza kweli, Speaker ana timu yake kubwa tu, kina Nape wana ka timu zao, lakini pia Polepole na Bashiri pia Wana timu yao,kwa Rais kumtoa Speaker ningumu sana kuliko unavyo dhani we,
Pia turudi upande mwingine,usifikiri anavyo fanya Rais kuna hata Mbunge mmoja wa ccm anaye Furahia zaidi ya wale waliyo fanyiwa vibaya na Rais aliye pita,Kumbuka hata kina Sabaya niwajumbe wa kamati za CCM,ndipo hapo ninapo enda mbele zaidi 2025 Kama Rais atahitaji kugombea inambidi arudi upinzani ili achukue Fomu maana ndani ya Ccm pekeyake tayari ana upinzani wa kutosha,
Naendapo CCM ita mpitisha mama halafu upinzani wawe na na mtu mwenye Sera nzuri Kama Doctor Slaaa basi ujue upinzani watapita kwa kishindo kikubwa mnno.