Kilio dhidi ya Spika Ndugai ni kikubwa kuliko kwa DC Sabaya. Je, siku za Ndugai nazo zinahesabika?

Kilio dhidi ya Spika Ndugai ni kikubwa kuliko kwa DC Sabaya. Je, siku za Ndugai nazo zinahesabika?

Kwa sababu ya hao covid-19?Hiyo sinema ilichezwa na CCM kwa hiyo SSH hawezi mpokonya Kadi.Kikubwa ni Albadir tu,Kama ile ya wapemba wakati wa uchaguzi ilivyokwenda na Mwendazake.

Then ww na familia yako mtapata faida gani
 
hivi kikwete alivompa makinda uspika alifanyaje?
Kikwete hakumuondoa aliondoka mwenyewe kwa kutogombea tena jimboni ubunge sababu ya umri alijiona umeenda

Hadi leo ni Spika mstaafu

Na wala hakumuweka ni bunge lilimuweka
 
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
SAMIA mtu wa DINI SANA na anataka kwenda MBINGUNI, hapendi dhambi wala uonevu, anajua kuna genge huenda halikutaka aapishwe na ndio maana mkuu wa majeshi alimwambia kuna kitu nitakwambia, lakini sasa hana mamlaka ya kumtoa pale.

Jiulize , tangu SAMIA ateuliwe ushamuona akizunguka na mkuu wa TISS, JESHI, UHAMIAJI, MAGEREZA , MGAMBO ?
 
Maono ya nabii Lema juu ya mtu huyu bado yapo "pending"
Hahaha haha
JamiiForums1391129519.jpg
 
Hujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?
Hakuna zaidi ya kwenda zake,na Leo ni story book
 
Naona mumepoteana ujinga umewajaa sasa hata hamuelewi spika huwa anapatikanaje mnadhani huwa anateuliwa na Raisi!!! Yule huchaguliwa na wabunge mhiomili unaojitegemea!!

CHADEMA ACHENI UJINGA ITISHENI KIKAO CHA BARAZA KUU LIMALIZE HUO MGOGORO NDILO LENYE KAULI YA MWISHO SIO SPIKA WALA RAISI WALA MAHAKAMA
MBONA MNAKIUKA TARATIBU ZA CHAMA CHENU?

Nilidhani kuwepo JF muda mrefu ni elimu tosha kumbe nimejidanganya.
Upo humu 24/7 lakini bado mbumbumbu kama ulivyo wakati unajiunga.
Uspika wa Ndugai hauko chini ya Rais Samia maana Bunge ni muhimili kamili, lakini yupo chini ya Mheshimiwa Samia kama Mwenyekiti wa chama kilichompeleka bungeni. Na ndio maana anaingia moja kwa moja Kamati kuu yao ya chama.
Hivyo Ndugai anapovunja katiba na kufedhehesha chama anaweza kuazibiwa na chama chake kwa kuwaagiza wabunge kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye au kumuagiza afanye nini. Akigoma chama chaweza kumfukuza ubunge na akapoteza uspika.
Haya yote YEHODAYA ulipaswa uyajue lakini kwa vile brain [emoji3447] umeiweka kabatini hatuna la kukusaidia.
 
Sasa kwa taarifa yako chama kinampasuko mkubwa mno, zipo Timu zaidi ya tatu bambazo zote hazipo upande wa mama, usifikiri zile 100%alizo pata kupitishwa uenyekiti niza kweli, Speaker ana timu yake kubwa tu, kina Nape wana ka timu zao, lakini pia Polepole na Bashiri pia Wana timu yao,kwa Rais kumtoa Speaker ningumu sana kuliko unavyo dhani we,
Pia turudi upande mwingine,usifikiri anavyo fanya Rais kuna hata Mbunge mmoja wa ccm anaye Furahia zaidi ya wale waliyo fanyiwa vibaya na Rais aliye pita,Kumbuka hata kina Sabaya niwajumbe wa kamati za CCM,ndipo hapo ninapo enda mbele zaidi 2025 Kama Rais atahitaji kugombea inambidi arudi upinzani ili achukue Fomu maana ndani ya Ccm pekeyake tayari ana upinzani wa kutosha,
Naendapo CCM ita mpitisha mama halafu upinzani wawe na na mtu mwenye Sera nzuri Kama Doctor Slaaa basi ujue upinzani watapita kwa kishindo kikubwa mnno.
Unaongelea nchi gani mkuu, hivi unaijua vizuri nguvu ya raisi ambaye ni mwenyekiti wa CCM na amiri jeshi mkuu, hii ni kutokana na katiba yetu ..ndo maana mwendazake alidiriki kusema uraisi ni muhimili uliojichimbia chini sana
 
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Aombe mara ngapi "jomonii" ?....yeye kashasema hawezi fanyia kazi maamuzi ya Mnyika na Mbowe...Hiyo ndio kauli yake eti ya msingi ya kuwalinda "Covid 19" ...haya mengine aliyoongea juzi sijui eti mambo ya "minutes" za kikao akidi na uchafu woote ni kujaribu kujisafisha kwa kumvika "Mama" kilembe cha ukoka...Kitu ambacho Job anasahau ni kwamba wakati "anacheza rafu" zoote na "Mwendazake" Mama alikuwa anafuatilia mchezo huo mchafu pembeni kwa umakini na mbaya saana walimdharau hawamkushirikisha....
 
Aombe mara ngapi "jomonii" ?....yeye kashasema hawezi fanyia kazi maamuzi ya Mnyika na Mbowe...Hiyo ndio kauli yake eti ya msingi ya kuwalinda "Covid 19" ...haya mengine aliyoongea juzi sijui eti mambo ya "minutes" za kikao akidi na uchafu woote ni kujaribu kujisafisha kwa kumvika "Mama" kilembe cha ukoka...Kitu ambacho Job anasahau ni kwamba wakati "anacheza rafu" zoote na "Mwendazake" Mama alikuwa anafuatilia mchezo huo mchafu pembeni kwa umakini na mbaya saana walimdharau hawamkushirikisha....
Mama Samia sio CHADEMA mTASEMA YOTE ila mnachotakiwa kuitisha kikao cha Baraza kuu lenu lifanye m,aamuzi mtapiga porojo mtampa sifa za kilemba cha ukoka Mama SAMIA LAKINI kwa hili la wabunge uamuzi uko chini ya baraza kuu lenu la CHADEMA ambalo hamtaki kuliitisha.Sifa zenu pelekeni huko itisheni kikao cha baraza kuu lenu full stop.Mnaogopa nini? wamekata rufaa zao huko itisheni baraza kuu tuondoleeni huu ujinga wenu humu wa kutarajia Spika au Raisi au mahakama itasikiliza huo ujinga wenu wa kutaka kuwaondoa wabunge wenu kienyeji

Waambie na wenzio Baraza kuu lenu linasubiriwa kufanya maamuzi
 
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Naona mbowe anakaribia kuwa spika.Na Lissu anakaribia kuwa makamu wa Rais.Safi sana.CDM wapo vizuri sana.
 
Hivi hakuna taratibu za kibunge za kupata spika anaejielewa? RIP S.Sitta.
Spika aliyepo anajielewa vizuri ndio maana akawataka mkalete minute za baraza kuu za kuwafukuza uanachama kikao hicho hamtaki kukiitisha nyie ndie hamjielewi
 
Hujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?
Mhimili wa kurimotiwa na jiwe na sasa yuko kuzimu bado analiongoza hilo Bunge,aibu sana.
 
Mama Samia sio CHADEMA mTASEMA YOTE ila mnachotakiwa kuitisha kikao cha Baraza kuu lenu lifanye m,aamuzi mtapiga porojo mtampa sifa za kilemba cha ukoka Mama SAMIA LAKINI kwa hili la wabunge uamuzi uko chini ya baraza kuu lenu la CHADEMA ambalo hamtaki kuliitisha.Sifa zenu pelekeni huko itisheni kikao cha baraza kuu lenu full stop.Mnaogopa nini? wamekata rufaa zao huko itisheni baraza kuu tuondoleeni huu ujinga wenu humu wa kutarajia Spika au Raisi au mahakama itasikiliza huo ujinga wenu wa kutaka kuwaondoa wabunge wenu kienyeji

Waambie na wenzio Baraza kuu lenu linasubiriwa kufanya maamuzi
Lini CCM mliitisha kikao cha baraza kuu kumfukuza Membe? Mkuki kwa Kunguruwe....
 
Lini CCM mliitisha kikao cha baraza kuu kumfukuza Membe? Mkuki kwa Kunguruwe....
Sikiliza kilichokea kama hujui yeye Membe baaada ya kufukuzwa na kamati alikuwa huru kukata rufaa vikao vya juu yeye akaridhia kufukuzwa huko hakukata rufaa akahamia ACT wazalendo kabla hata hivyo vikao vingine kukaa.Alikuwa na haki ya kukata rufaa hakukata huyoo akajiondokea kuhama CHama kabisa sasa ulitaka vikao vya juu vijadili nini wakati mtu keshajichukulia kadi ya ACT WAZALENDO TENA KWA MBWEMBWE

Akina Halima Mdee na wenzie wamefukuzwa na kamati kuu ya CHADEMA lakini wao chap chap wakakata rufaa baraza kuu ,Wala hawajahama CHAMA kama Membe .Sasa baraza kuu la CHADEMA haliitishwi .Unalinganisha vitu viwili tofauti kabisa!!!

ULitaka vikao vya juu vijadili rufaa isiyokuwepo mezani? Na mtu yuko tayari chama kingine?

Issue ya Membe na akina Mdee ni tofauti hao wamekata rufaa wakati Membe hakukata rufaa na akahama chama
 
Sikiliza kilichokea kama hujui yeye Membe baaada ya kufukuzwa na kamati alikuwa huru kukata rufaa vikao vya juu yeye akaridhia kufukuzwa huko hakukata rufaa akahamia ACT wazalendo kabla hata hivyo vikao vingine kukaa.Alikuwa na haki ya kukata rufaa hakukata huyoo akajiondokea kuhama CHama kabisa sasa ulitaka vikao vya juu vijadili nini wakati mtu keshajichukulia kadi ya ACT WAZALENDO TENA KWA MBWEMBWE

Akina Halima Mdee na wenzie wamefukuzwa na kamati kuu ya CHADEMA lakini wao chap chap wakakata rufaa baraza kuu ,Wala hawajahama CHAMA kama Membe .Sasa baraza kuu la CHADEMA haliitishwi .Unalinganisha vitu viwili tofauti kabisa!!!

ULitaka vikao vya juu vijadili rufaa isiyokuwepo mezani? Na mtu yuko tayari chama kingine?

Issue ya Membe na akina Mdee ni tofauti hao wamekata rufaa wakati Membe hakukata rufaa na akahama chama
Job alituambia kuwa Nyarandu alifukuzwa na CCM sio kujiudhuru kama alivyodai yeye...tukumbushe Kamati kuu ya CCM mlikaa lini kumfukuza Nyarandu au Job alilipotosha Bunge hapa?...Arafu kwa akili ya darasa la nne ukifukuzwa uanachama ukakata rufaa wewe unaendelea kuwa mwanachama kabla rufaa yako haijasikilizwa?
 
CCM ni ile ile na kuna tendencies za kulindana. Mama Samia anamhitaji Ndugai ili asaidie kupitisha mambo flaniflani

So, Ndugai is there to stay until Oct 2025
 
Rais anaweza kumtoa spika mara moja, tena smoothly. Yeye Kama mwenyekiti wa CCM, ni kutaka tu wabunge wake wakose Imani na Ndugai bhasii
Wakose kwa kulazimishwa?, idiot!
 
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.

Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Kuna hoja zingine kama GT unapaswa kufikiri kwanza kabla ya kuja kuchapisha humu jamvini,Bunge si mhimili unaojitegemea,Rais anapata wapi mandate ya kumtumbua [emoji536] [emoji344]!!?
 
Back
Top Bottom