Killy na Cheed wajitoa King's Music

Hao walishaona safari ya kupelekwa Mombasa kwa Sheikh Joho imewadia wamekula kona.
 
Wagendua Gari mbovu huwa hazivutwi na mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Kama sio kiki wamefanya la maana sana na kiba anatakiwa awalipe kwa kuwapotezea muda.

Haiwezekani wasainiwe 2018 mpaka leo hawana hata baiskeli na career yao yote wamezidiwa kila kitu na zuchu aliesainiwa hata wiki haijaisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muangalie Tve ijumaa kipindi cha Homa, king Kiba live music

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ukiona mtu anakuongelea sana ujue umemzidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…