Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya Tundu Lissukuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya Tundu Lissukuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu