Uchaguzi 2020 Kilochopelekea Tundu Lissu kwenda kwa haraka kumwaga sumu Zanzibar

Uchaguzi 2020 Kilochopelekea Tundu Lissu kwenda kwa haraka kumwaga sumu Zanzibar

Roho inakuuma. Hata ratiba ya TL unataka upande wewe! Akili nyingine. Wagombea 16 wewe ni nani wa kuwapangia ratiba?
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Halafu we utapata nini?
 
Propaganda ni mojawapo ya silaha za ushindi ila zinapokabidhiwa kwa mjinga madhara yake ni makubwa kwa watumiaji.
CCM katika vitu imekosea ni kuwekeza kwa vijana wajinga mwisho wake ni aibu.
Sasa kwa umri huo unashindwa kujua hizi kampeni sio kukurupuka tu ila kuna ratiba maalumu iliyopitishwa na tume ya uchaguzi.
Kwani nyinyi vijana wa CCM akili mmemkabidhi nani mpaka mnakuwa vichwa tupu?
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Kabla hujalopoka hapa jamvini jaribu kuuliza matanga wenzio huenda wakakusaidi baadhi ya mambo... chadema na mgombea wao wa urais walichokua wanakifanya ni kuzindua kampeni kwenye kanda zao kichama ..walianzia dar kanda ya pwani, wakaenda Arusha kanda ya kask, wakaenda Mwanza, kanda ya Victoria, wakaenda shinyanga ,kanda ya Serengeti, waenda Tabora kanda ya magharibi, wakaenda Dodoma kanda ya kati, wakaenda Mbeya kanda ya nyasa, wakaenda Mtwara kanda ya kusini, wakaenda zenj kanda ya unguja na Jana wamemaliza pemba kanda ya pemba ...ukihesabu Ni kanda kumi, na kesho wanaanza mikoani kwa mgawanyiko wa team 4.….team ya Mkiti, team ya mgombea urais..team ya mgombea mwenza na team ya mke wa mgombea urais ...hbr ndo hiyo mkuu acha uongo na kuandika Utupolo kwa usicho kijua ...umeelewa??
 
Back
Top Bottom