Uchaguzi 2020 Kilochopelekea Tundu Lissu kwenda kwa haraka kumwaga sumu Zanzibar

Uchaguzi 2020 Kilochopelekea Tundu Lissu kwenda kwa haraka kumwaga sumu Zanzibar

[SUB]Mmmh, siyo kweli kajiendea, ni Ratiba ya Tume na inafuatwa, hawajiamlii tu, ukiwa wanajiamlia so watagongana sehemu moja? Hapo mleta mada umepotoka[/SUB]
Mkuu pamoja na ukweli huu unaowaambia hawatakuelewa kwa sababu ya kushukiwa akili, mbuzi hata umpigie gitaa wiki nzima hawezi kucheza muziki... Huwa ninajiuliza hawa vijana kichwani wamejaza nini?!
 
Baada ya kusoma ulichoandika, niliona ni Bora kwanza nipitie humu kuona kwanza toka lini umo humu... kumbe ni wale wale tu wa 7000/=... kila la kheri kwenye huo ujasiliamali wako
 
Dk. Bashiru watu wako uliowatuma kujibu hoja ni hopeless kabisa. Tafadhali kama mnaona umuhimu wa mitandao katika uhamasishaji jitahidini kurecruit vijana wenye akili timamu. [emoji23]
Tatizo Bashiru na Polepole wanachukua vilaza vya darasa la saba au kidato cha nne ili wawalipe 7000 na wao kupiga mshiko wa hiyo deal.
Hawa wapiga debe wa Mwananyamala - Kinondoni kweli ndio wa kujibu hoja!? Hata wakulima wangu wa zabibu pale Zuzu wanaweza kujibu vizuri zaidi,japokuwa ni wenyeji wa Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afungue vyombo vya habari, mbona kama tunatawaliwa na makaburu
 
Polepole anaweza kuwa mwenezi wa OVYO kuwahi kutokea CCM, yaani na hapa atakulipa mtu ambaye hujui kama kuna ratiba ya Tume inafuatwa na Wagombea?
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Samahani naomba unitajie beberu moja tu unalolijua wewe ambalo CCM na serikali yake hawana uhusiano na beberu hilo
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Toka anaanza kampeni Dar ratiba yake ilikuwa hivyo kuwa ni Arusha,Mwanza,Shinyanga,Tabora,Dodoma,Mbeya,Mtwara,Unguja,Pemba then anarudi Dar kuanza kampeni Rasmi mkoa kwa mkoa jimbo kwa Jimbo.
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Kweli Lissu atawaua CCM mwaka huu.

Naona si kwa kuweweseka huku
 
Tatizo Bashiru na Polepole wanachukua vilaza vya darasa la saba au kidato cha nne ili wawalipe 7000 na wao kupiga mshiko wa hiyo deal.
Hawa wapiga debe wa Mwananyamala - Kinondoni kweli ndio wa kujibu hoja!? Hata wakulima wangu wa zabibu pale Zuzu wanaweza kujibu vizuri zaidi,japokuwa ni wenyeji wa Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa, nani mwenye akili timamu atakayefanya kazi ya hovyo kwa malipo ya buku 7? Huyo ni mtu wa hovyo tu lazima.
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Yaani umekurupuka utadhani mke wa njagu kafumaniwa.

NEC ndiyo inayotoa ratiba nzima, muwe mnaficha 'uzwazwa' wenu sometimes!
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu

Tundu Lissu moja tu ametushika kolodani duh...watu wanakuja kwenye mikutano yake kwakutumia hoja tuu.... Wakati sisi tunatumia Ma lorry,Ma tractor,Makokoteni,wakina Mondi,Chege,na waganga wote wajadi nchi nzima... mimi CCM damudamu lakini huyu mamluki wa mabeberu naona pamekua pagumu kumdhibiti tena embu tukubali tuu.😎
 
[SUB]Mmmh, siyo kweli kajiendea, ni Ratiba ya Tume na inafuatwa, hawajiamlii tu, ukiwa wanajiamlia so watagongana sehemu moja? Hapo mleta mada umepotoka[/SUB]
Sio lazima unaweza ukaahilisha na kuomba upya na time imagalia kama hakuna mgongano wanaruhusu.
 
Sio lazima unaweza ukaahilisha na kuomba upya na time imagalia kama hakuna mgongano wanaruhusu.

Ni kweli unaweza ahirisha na kuomba Muda mwingine kulingana na nafasi ya Ratiba iliyopo.
Mleta maada hakujua kuwa Kuna Ratiba, alidhani wanajiamlia tuu, Ratiba inakuwa controlled na Tume ya Uchaguzi.
 
Ndugu watanzania wenzangu,

Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.

Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.

Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Mpeni mingine akianza mambo yake mnyamaze, msipige kelele maana bomu likilipuka halichaguwi mlipuaji wala mpita njia.
 
Jeshi la Akiba kazini. Mkilala ni LISSU na mkiamka ni Lissu
LISSU anamtesa chizi Maarifa wa MATAGA.
 
Back
Top Bottom