Mkuu pamoja na ukweli huu unaowaambia hawatakuelewa kwa sababu ya kushukiwa akili, mbuzi hata umpigie gitaa wiki nzima hawezi kucheza muziki... Huwa ninajiuliza hawa vijana kichwani wamejaza nini?![SUB]Mmmh, siyo kweli kajiendea, ni Ratiba ya Tume na inafuatwa, hawajiamlii tu, ukiwa wanajiamlia so watagongana sehemu moja? Hapo mleta mada umepotoka[/SUB]
Tatizo Bashiru na Polepole wanachukua vilaza vya darasa la saba au kidato cha nne ili wawalipe 7000 na wao kupiga mshiko wa hiyo deal.Dk. Bashiru watu wako uliowatuma kujibu hoja ni hopeless kabisa. Tafadhali kama mnaona umuhimu wa mitandao katika uhamasishaji jitahidini kurecruit vijana wenye akili timamu. [emoji23]
Samahani naomba unitajie beberu moja tu unalolijua wewe ambalo CCM na serikali yake hawana uhusiano na beberu hiloNdugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Toka anaanza kampeni Dar ratiba yake ilikuwa hivyo kuwa ni Arusha,Mwanza,Shinyanga,Tabora,Dodoma,Mbeya,Mtwara,Unguja,Pemba then anarudi Dar kuanza kampeni Rasmi mkoa kwa mkoa jimbo kwa Jimbo.Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
"Nimesombwa tu nije hapa kuongeza vichwa kama ilivyo kwa wengine" (Maria Nyerere, 2020)Kwani Mama Maria Nyerere anasemaje??
Tuanzie hapo kwanza.
Kweli Lissu atawaua CCM mwaka huu.Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa raisi watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Maguli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Ni kweli kabisa, nani mwenye akili timamu atakayefanya kazi ya hovyo kwa malipo ya buku 7? Huyo ni mtu wa hovyo tu lazima.Tatizo Bashiru na Polepole wanachukua vilaza vya darasa la saba au kidato cha nne ili wawalipe 7000 na wao kupiga mshiko wa hiyo deal.
Hawa wapiga debe wa Mwananyamala - Kinondoni kweli ndio wa kujibu hoja!? Hata wakulima wangu wa zabibu pale Zuzu wanaweza kujibu vizuri zaidi,japokuwa ni wenyeji wa Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umekurupuka utadhani mke wa njagu kafumaniwa.Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Ilikuwa ni somba somba ya kufa mtu unasukumizwa kwenye gari kinguvu nguvu teh,teh,teh.......Walivunja rekodi kwa kufunga shule na kusomba wanafunzi
Sio lazima unaweza ukaahilisha na kuomba upya na time imagalia kama hakuna mgongano wanaruhusu.[SUB]Mmmh, siyo kweli kajiendea, ni Ratiba ya Tume na inafuatwa, hawajiamlii tu, ukiwa wanajiamlia so watagongana sehemu moja? Hapo mleta mada umepotoka[/SUB]
Kwani Mama Maria Nyerere anasemaje??
Tuanzie hapo kwanza.
Sio lazima unaweza ukaahilisha na kuomba upya na time imagalia kama hakuna mgongano wanaruhusu.
Mpeni mingine akianza mambo yake mnyamaze, msipige kelele maana bomu likilipuka halichaguwi mlipuaji wala mpita njia.Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo.
Kwa kifupi sana, nadhani baada ya TL kuona trend ya kampeni za Mh. Magufuli: Dodoma, Tobora, Shinyanga, Simiyu, Mara, na baadaye mapokezi yake kule Mwanza, wanamwanza ndiyo walivunja rekondi ya kutoa sauti kubwa ambayo ilisababisha kumtoa nyoka pangoni na hatimae TL aliamua kuweka pembeni kampeni za bara na kukimbilia Zanzibar ili aanze kusaka kuungwa mkono kwa kulazimisha, na hii ni sawa na mwanamke kutafuta kuolewa kwa lazima. Na haya ndiyo madhara ya kutojipanga katika kusaka kinyang'anyiro nyeti kama hiki, na katika siku hizi 49 zilizobaki tutaona sarakasi nyingi na kukurupuka kwingi kwa TL.
Kwa wote msiompenda Magufuli, hata mtaungana wote, bado Mh. Magufuli ndiyo atakuwa Rais watz kwa miaka mingine 5, na sijaona chama mbadala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). kama vyama vilivyotegemewa kuwa na sera mbadala vimegeuka na kuwa vyama vya mabeberu, what else should I expect from them rather than kubaki na CCM ambayo Mh. Magufuli ameonyesha substantial changes ndani ya chama na taifa kwa ujumla?
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu