Kim Jong-Un aagiza muuza filamu kupigwa risasi hadharani

Haya uliyoandika ndio kusema unaunga mkono hiyo adhabu au? Watu wanatakiwa watii sheria wanazozikubali na kupitisha kwa njia za demokrasia na sio kwa sababu kilaza fulani katunga sheria yake basi wananchi waifuate, sisemi kwamba haitokuwa sheria ila itakuwa sheria iliyopoteza uhalali.

Nchi ulizozitaja zote hazijakuwa na demokrasia kwa zaidi ya miaka 20, we unapata wapi habari.
 
Hapo kwamba na familia yake pia imeuawa umepaelewa vibaya ndugu mleta hoja. Kauawa peke yake huku familia yake ikilazimishwa kushuhudia zoezi la kifo chake likifanyika.
 
Jamaa aliwahi kumuua mjomba wake kabisa,kwa kula rushwa,akatupwa kwenye mbwa wakali ambao hawakupewa chakula wiki nzima ,ili mjomba wake in awe kitoweo .mwamba katili sana

Na huyo mjomba wake nasikia ndo aliyemlea na kumsomesha
 
Ipo siku kitanuka tuu.ipo siku.watu sio wajinga...ipo siku.hatoamini...vilio vya watu usicheze navyo...ipo siku tu...ana maadui weng sana ndan ya nchi yake
 
huyu naye kijana alijitakia,naamini Kama ni raia wa pale naamini anamjua vzr kiduku kichaa chake,au kijana aliamua kumtest kiduku
Alisahau ule usemi ukicheza na kichaa atakutoboa jicho
 
Unazungumzia Korea ipi? Kusini au Kaskazini?
 
Kumbe mwendazake alikuwa ni ree tuu hajamfikia kim hata nukta 😑😑😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…