Kimaandiko, baada ya Mungu, wazazi wanafuata, Kisha mume/mke

Kimaandiko, baada ya Mungu, wazazi wanafuata, Kisha mume/mke

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!

Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,

Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.

Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa wazazi wenu Bado wako hai.

Hawa watumishi wa siku hizi wanapotosha sana, mmoja akasema, katika gari yake, aliye na nafasi ya kukaa KITI Cha mbele ni mke wake pekee, kama hayupo KITI hicho kitabaki wazi akimaanisha Upendo Kwa mkewe na nafasi anayompa.

Tufuate mfumo alioweka Mungu Ili tuwe salama.

NB: Mamlaka ya wazazi ni nje ya chumba Cha wanandoa, ni ya kiushauri na kiheshima tu kama miungu wetu duniani baada ya Mungu.

Karibuni 🙏
 
Salaam, shalom!!

Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,

Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.

Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa wazazi wenu Bado wako hai.

Hawa watumishi wa siku hizi wanapotosha sana, mmoja akasema, katika gari yake, aliye na nafasi ya kukaa KITI Cha mbele ni mke wake pekee, kama hayupo KITI hicho kitabaki wazi akimaanisha Upendo Kwa mkewe na nafasi anayompa.

Tufuate mfumo alioweka Mungu Ili tuwe salama.

NB: Mamlaka ya wazazi ni nje ya chumba Chumba Cha wanandoa, ni ya kiushauri na kiheshima tu kama miungu wetu duniani baada ya Mungu.

Karibuni 🙏
Wakristo wa madhehebu akili hamna hata kidogo
 
Salaam, shalom!!

Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,

Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.

Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa wazazi wenu Bado wako hai.

Hawa watumishi wa siku hizi wanapotosha sana, mmoja akasema, katika gari yake, aliye na nafasi ya kukaa KITI Cha mbele ni mke wake pekee, kama hayupo KITI hicho kitabaki wazi akimaanisha Upendo Kwa mkewe na nafasi anayompa.

Tufuate mfumo alioweka Mungu Ili tuwe salama.

NB: Mamlaka ya wazazi ni nje ya chumba Chumba Cha wanandoa, ni ya kiushauri na kiheshima tu kama miungu wetu duniani baada ya Mungu.

Karibuni [emoji120]
Waislamu ndo wana mafundisho maziri sana kuhusu wazazi hasa mama, napenda sanaa wanavo kataza hata kumiita mkeo eti "mamy" hao wengine wanababaisha tu.
 
Weka hiyo maana sahihi kabla haijapotoshwa tujadili.

Karibu 🙏
Hata zile amri kumi za mungu zimepotoshwa maana ..mfano kwenye amri inayosema waheshimu baba na mama yako hii amri inapotoshwa makanisani na hata wakati wa yesu mwenyewe aliwahi kuwakosoa mafarisayo kuhusu hii amri...mengine ni kuhusu mzazi kuwa ni mungu wa pili huo ni upotovu na udhalimu mwingine kwa wakristo tofauti na mafundisho ya yesu mwenyewe yeye alikataza hayo mambo na kujikweza
 
Waislamu ndo wana mafundisho maziri sana kuhusu wazazi hasa mama, napenda sanaa wanavo katazi hata kumita mkeo eti "mamy" hao wengine wanababaisha tu.
NYINYI NDIYO YALE MATOTO WAPUMBAVU MNAO SEMA ..BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU.
 
Salaam, shalom!!

Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,

Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.

Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa wazazi wenu Bado wako hai.

Hawa watumishi wa siku hizi wanapotosha sana, mmoja akasema, katika gari yake, aliye na nafasi ya kukaa KITI Cha mbele ni mke wake pekee, kama hayupo KITI hicho kitabaki wazi akimaanisha Upendo Kwa mkewe na nafasi anayompa.

Tufuate mfumo alioweka Mungu Ili tuwe salama.

NB: Mamlaka ya wazazi ni nje ya chumba Chumba Cha wanandoa, ni ya kiushauri na kiheshima tu kama miungu wetu duniani baada ya Mungu.

Karibuni 🙏
Kuna na mwalimu pia baada ya wazazi kisha wanafuata walimwengu hawa ndio hatari
 
Hata zile amri kumi za mungu zimepotoshwa maana ..mfano kwenye smri insyosema waeshimi baba na mama yako hii amri inapotoshwa makanisani na hata wakati wa yesu mwenyewe aliwahi kuwakosoa mafarisayo kuhusu hii amri...mengine ni kuhusu mzazi kuwa ni mungu wa pili huo ni upotovu na udhalimu mwingine kwa wakristo tofauti na mafundisho ya yesu mwenyewe yeye slikataza hsyo.mambo na kujikweza
Sasa wapi Yesu alisema kuwaheshimu baba na mama Yako ni kujikweza?

Yesu pia aliwaheshimu wazazi wake wa kufikia kimwili, Mariam na Yusuph.

Maandiko hayapingani, unachokikosa, ni tafsiri na uelewa sahihi.
 
Sasa wapi Yesu alisema kuwaheshimu baba na mama Yako ni kujikweza?

Yesu pia aliwaheshimu wazazi wake wa kufikia kimwili, Mariam na Yusuph.

Maandiko hayapingani, unachokikosa, ni tafsiri na uelewa sahihi.
Yesu akusema ila makanisa yenu na nyinyi wakristo ndiyo mlio tunga uongo wa kujikweza kwa kujitukuza mbele ya watoto wenu kwa kujitambulisha kuwa nyinyi ni miungu wa pili ...huko ndiyo kujikweza ...yesu alikataza hata kuitwa bwana na mwalimu akisema msiitwe bwana wala mwalimu kwa kuwa bwana wenu ni mmoja na mwalimu wenu ni mmoja ...tena akasema aliye mkuu kati yenu ni yule aliye mtumishi chini ya wote.
 
Kuna na mwalimu pia baada ya wazazi kisha wanafuata walimwengu hawa ndio hatari
Ni Kweli kabisa,

Hata ndani ya NDOA, mke na mume kimamlaka hawako sawa. Mume kwanza Kisha msaidizi anafuata.

Hii habari ya kudai Eti mke ndio mama na ndio Kila kitu tunapotoka,

Mwanaume alikuwepo hata kabla ya mwanamke pale Edeni na maisha yalisonga, hivyo msaidizi na abaki katika nafasi yake,

Kujiinua ndio kuharibu mambo sasa.
 
Back
Top Bottom