Kimaandiko, baada ya Mungu, wazazi wanafuata, Kisha mume/mke

Kimaandiko, baada ya Mungu, wazazi wanafuata, Kisha mume/mke

1. UPANGA ni neno la Mungu,

UPANGA kukata kuwili ni Kweli ya Mungu iliyo ndani ya dhamira ya mwanadamu afanyapo uamuzi.

Ni Roho MTAKATIFU ndani ya mtu ampaye kusimama katika Kweli na HAKI.

Ndipo ujue kuwa,

Waliookoka, na Kuzaliwa mara ya pili, wanaruksa kunywa maji ya mtu wa Uzima kupitia Roho mtakatifu.

Umilele tayari upo Kwa aliyeokkoka.
Upanga ni neno la mungu maana neno la mungu ndiyo hiyo hiyo haki ya mungu labda wewe umeshindwa kujua ...NENO LA MUNGU =HAKI YA MUNGU ila makali kuwili bado ujajibu sawa sawa kunajibu kamili lisilo na mjadala wowote tumia akili utajua maana ya makali kuwili ...kicha nitakuja na swali la pili la chombeza kabla ya kuja na nondo zenyewe
 
Upanga ni neno la mungu maana neno la mungu ndiyo hiyo hiyo haki ya mungu labda wewe umeshindwa kujua ...NENO LA MUNGU =HAKI YA MUNGU ila makali kuwili bado ujajibu sawa sawa kunajibu kamili lisilo na mjadala wowote tumia akili utajua maana ya makali kuwili ...kicha nitakuja na swali la pili la chombeza kabla ya kuja na nondo zenyewe
Elimu juu ya Maarifa kumjua Mungu ni Bure,

Tumepata Bure ,tunashare Bure,

Haina haja ya fumbo Kwa wenye HEKIMA, Bali Kwa Wapumbavu fumbo muhimu Ili wasielewe.
 
Mungu kisha Mimi, hao wengine watafata baadae.
Kila mtu ampende Mke na Mme wake
 
Mungu kisha Mimi, hao wengine watafata baadae.
Kila mtu ampende Mke na Mme wake
Sasa unajua kuwa mwanamke na Mwanaume waliumbwa kwanza kabla Adamu hajapewa mwili wa nyama?

Ndani ya Mwanaume yupo mwanamke.

Akili ndio muhimu.
 
Hana baba wala mama, Wala Hana mwanzo Wala mwisho.

Na Ufalme wake ni WA milele.

Ndiye Mungu huyo mmoja. JINA lake lilifichwa enzi na enzi Hadi pale Malaika Gabriel alipokuja kulifunua.

Kama huamini nenda Kwa Sangoma yeyote, Sema " Kwa Jina la YESU". Uone nn kitatokea.

Hana mama na Maria ni nani?
 
Tofautisha Sky na Mbingu(heaven)

Kiswahili ni finyu kuyaeleza mambo haya .

kumbe unasema kitu usichokijua?

Kama huwezi kueleza jambo kwa ufasaha tusiojua tukaelewa basi hilo jambo huna ufahamu nalo.
 
Hana mama na Maria ni nani?
Yesu ni Mungu, Hana baba wala mama.

Maria Si mama wa Mungu,

Bikra kuchukua MIMBA Kwa uwezo wa Roho MTAKATIFU ni fumbo Hilo.

Mungu aliamua kuvaa mwili akawa kama mwanadamu,

Mungu Hana mama, kama ambavyo pia Hana baba.

Yesu ndiye BABA,

Ndiye Mwana,

Ndiye huyo huyo ROHO MTAKATIFU.

Amen
 
Mkuu Wangu Unazungumziaje hili andiko..

2 Wakorintho 12:14
............ maana haiwapasi watoto kuweka akiba kwa wazazi, bali wazazi kwa watoto.......
Niko nje ya mada.
Daktari naomba kuelimishwa nime google njia nyingine ya kupima Malaria mbali na ya kuchukua damu kidoleni inaitwa PCR. Je, wapi naweza kufanyiwa kwa Dar? Na, je, ni kweli dawa ya mseto inafanya kazi vizuri nikitumia na maziwa fresh?
 
Yesu ni Mungu, Hana baba wala mama.

Maria Si mama wa Mungu,

Bikra kuchukua MIMBA Kwa uwezo wa Roho MTAKATIFU ni fumbo Hilo.

Mungu aliamua kuvaa mwili akawa kama mwanadamu,

Mungu Hana mama, kama ambavyo pia Hana baba.

Yesu ndiye BABA,

Ndiye Mwana,

Ndiye huyo huyo ROHO MTAKATIFU.

Amen
Mmh
 
Niko nje ya mada.
Daktari naomba kuelimishwa nime google njia nyingine ya kupima Malaria mbali na ya kuchukua damu kidoleni inaitwa PCR. Je, wapi naweza kufanyiwa kwa Dar? Na, je, ni kweli dawa ya mseto inafanya kazi vizuri nikitumia na maziwa fresh?

Duh 😳😳😳🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Unataka Ufanye Kipimo cha Malaria kwa Kutumia PCR...
Kwa Tanzania Bado sana Hata kwa Nchi za Wenzetu bado sana..Unajua Unapozungumzia PCR (Polymerise Chain Reaction) unazungumzia DNA chain Moja kwa Moja?

So Unaruhusiwa Kutumia DNA chain Studies Kwa Only Research Purpose tu kwa Sababu Ni Very Expensive Ndugu yangu...

Tanzania Tunatumia PCR tena Kwa Msaada wa Marekani na Ulaya (Wao ndo wametuletea) kwa Kupima HIV Viral Load na Kudetermine HIV status kwa Inconclusive Results na kwa Watoto Kupitia DBS..
Tena Ziko Hospitali Za Kanda Tu Muhimbili, KCMC Bugando..Nadhani..

Its Very Expensive huwezi kutaka Kupima Malaria Tu kwa Kutumia PCR unless Unataka Kujua DNA ya Plasmodium Ili ujue ni aina Gani ya Plasmodium unayeugua naye..

But Hiyo nayo hufanywa siku hizi na Hivi Vitepe vya mRDT..

So Hiyo Ni nadharia Ndugu yangu na Kama Inafanyika Huko Duniani Basi kwa Research Purpose Na sio Routine wala analytical Purpose..

Kuhusu Artemether/Lumefantrine (ALu) au Mseto ni Dawa nzuri kwa Malaria ambayo Sio Complicated yaani Malaria isiyo Kali..

Na Maziwa Ni sawa kabisa kunywa hakuna Tatizo kunywa na maziwa
 
Duh 😳😳😳🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Unataka Ufanye Kipimo cha Malaria kwa Kutumia PCR...
Kwa Tanzania Bado sana Hata kwa Nchi za Wenzetu bado sana..Unajua Unapozungumzia PCR (Polymerise Chain Reaction) unazungumzia DNA chain Moja kwa Moja?

So Unaruhusiwa Kutumia DNA chain Studies Kwa Only Research Purpose tu kwa Sababu Ni Very Expensive Ndugu yangu...

Tanzania Tunatumia PCR tena Kwa Msaada wa Marekani na Ulaya (Wao ndo wametuletea) kwa Kupima HIV Viral Load na Kudetermine HIV status kwa Inconclusive Results na kwa Watoto Kupitia DBS..
Tena Ziko Hospitali Za Kanda Tu Muhimbili, KCMC Bugando..Nadhani..

Its Very Expensive huwezi kutaka Kupima Malaria Tu kwa Kutumia PCR unless Unataka Kujua DNA ya Plasmodium Ili ujue ni aina Gani ya Plasmodium unayeugua naye..

But Hiyo nayo hufanywa siku hizi na Hivi Vitepe vya mRDT..

So Hiyo Ni nadharia Ndugu yangu na Kama Inafanyika Huko Duniani Basi kwa Research Purpose Na sio Routine wala analytical Purpose..

Kuhusu Artemether/Lumefantrine (ALu) au Mseto ni Dawa nzuri kwa Malaria ambayo Sio Complicated yaani Malaria isiyo Kali..

Na Maziwa Ni sawa kabisa kunywa hakuna Tatizo kunywa na maziwa
Mtaalam mtaalam tu aisee 😍

Sasa mkuu kwa Malaria ambayo iko complicated, dawa gani ni nzuri? Ama ya vidomge au sindano?
 
Mtaalam mtaalam tu aisee 😍

Sasa mkuu kwa Malaria ambayo iko complicated, dawa gani ni nzuri? Ama ya vidomge au sindano?
Najua kusema Complicated Utakuwa Unamaanisha Severe Malaria..
Kuna Muongozo wa Matibabu Tanzania STG (Standard Treatment Guildlines) mainland..
Japo kuna Malaria Treatment Guildlines Pia..
Ambayo vinatoa Muongozo wa Dawa Zinazopaswa Kutumika Kulingana na Mgonjwa..

Ila kwa mimi Nitarecomend Dawa Za Sindano kwa Mgonjwa mwenye Malaria Kali (Severe Malaria)..
Na ndivyo hufanyika Hivyo Kote nchini
 
Back
Top Bottom