- Thread starter
- #61
Hiyo ni mada ingine, inahitaji maandalizi na muda wa kipekee,Hakuna haja ya kuzunguka, nieleze huo ushauri wa kimamlaka upoje na unahusiana nini na heshima.
Niko tayari kujifunza.
Nikipata nafasi kuleta, nitakutag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mada ingine, inahitaji maandalizi na muda wa kipekee,Hakuna haja ya kuzunguka, nieleze huo ushauri wa kimamlaka upoje na unahusiana nini na heshima.
Niko tayari kujifunza.
🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣wewe kilaza ni mtumishi wa mungu mwenye kumiliki nafsi 3 🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana ..sikuzote huwa tunauliza humu hao matapeli wa makanisani wanao jihita mitume na manabii mbona atuwaoni hapa JF kumbe wewe ni mmoja wao ndiyo maana mafundisho yako ni potovu ...kama mlivyo taniliwa kuwa nyinyi ndiyo chukizo la uhalibifu lililo simama patakatifu 😁😁😁sijakutukana wewe mwenyewe umesema mwanamke mmama ni munguwako wa pili hivyo nimekukuza kwa kukuita munguNdio,
Nitake radhi,
Si sahihi kumtukana mtumishi wa Mungu aliye hai.
Mungu ni NAFSI Moja Si tatu.🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣wewe kilaza ni mtumishi wa mungu mwenye kumiliki nafsi 3 🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana ..sikuzote huwa tunauliza humu hao matapeli wa makanisani wanso jihita mitume na manabio mbona atuwaoni hapa KF kumbe wewe ni mmoja wao ndiyo maana mafundisho yako ni potovu ...kama mlivyo taniliwa kuwa nyinyi ndiyo chukizo la uhalibifu lililo simama patakatifu 😁😁😁sijakutukana wewe mwenyewe umesema mwanamke mmama ni munguwako wa pili hivyo nimekukuza kwa kukuita mungu
Naona umeanza janja za kina FaizaFoxy na Bwana Utam ...leo mnajidai kukanusha kuwa mungu ni nafsi 3 😁😁😁😁 mbona makanisani mwenu mnafundishana hivyo 🤫🤫Mungu ni NAFSI Moja Si tatu.
Mtu pia ni NAFSI hai Moja.
Mtu aliye Roho kuvaa kuvaa mwili na kuwa NAFSI hai, hakumgawi kuwa NAFSI tatu.
Kanisa ni nini?Naona umeanza janja za kina FaizaFoxy na Bwana Utam ...leo mnajidai kukanusha kuwa mungu ni nafsi 3 😁😁😁😁 mbona makanisani mwenu mnafundishana hivyo 🤫🤫
Kila Mmoja na nafasi yake sio🤔Wazazi wana nafasi yao na mke/mume ana nafasi yake hapo hakuna mkubwa zaidi ya mwenzake
Naam, umeniita?Naona umeanza janja za kina FaizaFoxy na Bwana Utam ...leo mnajidai kukanusha kuwa mungu ni nafsi 3 😁😁😁😁 mbona makanisani mwenu mnafundishana hivyo 🤫🤫
Mbinguni ni wapi?Ni Jina la ofisi kuu kuliko zote Mbinguni na duniani.
Na Jina la huyo Mungu Mmoja ni YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH.
Ni Jina la ofisi kuu kuliko zote Mbinguni na duniani.
Na Jina la huyo Mungu Mmoja ni YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH.
Tofautisha Sky na Mbingu(heaven)Mbinguni ni wapi?
Hana baba wala mama, Wala Hana mwanzo Wala mwisho.Yesu ni Mungu kivipi?
Nikisema nyinyi na wakristo wote ni wapotovu tu mashabiki wa dini sijakosea ...mwone mwenzenu anavyo rukaruka..kama nyinyi mlivyo kimbia maswaoi yangu kijanjaNaam, umeniita?
Tatizo nini? Au nafs inakusuta?
hata sikuelewi unatasema nini. Andika utakaxho, wacha kubwabwaja na kuhororoja bila mpango, Anza na swali lako moja moja tuone nani ataekimbia.Nikisema nyinyi na wakristo wote ni wapotovu tu mashabiki wa dini sijakosea ...mwone mwenzenu anavyo rukaruka..kama nyinyi mlivyo kimbia maswaoi yangu kijanja
Hapo usijione mjanja nikikupiga maswali utajikamata mwenyewe na kukimbia uzi kuna jamaa mmoja alifungua uzi aka anza na chombeza ya maana ya 666 kwenye biblia kabla ajaleta fafanuzi kamili nilishusha rungu moja hakuendelea tena kutoa fafanuzi alizo xikusudia baada ya kuona ukweli nilio utoa tofauti na uongo wa makanisani mwenu.Kanisa ni nini?
Ninaandika neno la Mungu Si janja janja,
Ktk BIBLIA Mungu hajajitambulisha popote Kwa NAFSI tatu, Bali Moja.
Mtu pia ni NAFSI Moja hai, maandiko yasema.
Mafundisho ya NAFSI tatu asili ni upagani.
Umesahau mliniambia amjui chochote kuhusu issa kuwa alikufa au yupo hai ...wakati kila siku mnasifu kuwa uislamu hauja acha kitu chochote ndani yake ...mlinikimbia kijanja maana kama ujui si unasema mtume muhammad amesema nini ....ila kwa ujanja ujanja mkakimbia...maswalihata sikuelewi unatasema nini. Andika utakaxho, wacha kubwabwaja na kuhororoja bila mpango, Anza na swali lako moja moja tuone nani ataekimbia.
Nje ya neno la Mungu, huna Maarifa ya ziada.Hapo usijione mjanja nikikupiga maswali utajikamata mwenyewe na kukimbia uzi kuna jamaa mmoja alifungua uzi aka anza na chombeza ya maana ya 666 kwenye biblia kabla ajaleta fafanuzi kamili nilishusha rungu moja hakuendelea tena kutoa fafanuzi alizo xikusudia baada ya kuona ukweli nilio utoa tofauti na uongo wa makanisani mwenu.
Mbona walokole mnapendaga sana ujingaKwahiyo ukaona kuliko kuwaheshimu wazazi wa kimwili na kiroho kimamlaka ni Bora mamlaka hayo umpe mkeo🤔