Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

Mwanamke akiona tu mshapata au mna hela anataka muachane! Mgawane mali
akatafte ka marioo mtaani
na wewe ukiendelea kutuma hela kila mwez kwa ajili ya watoto

Ndoani imekua kitega uchumi kwao!
Mbona huku mtaani hatuwaoni hao wanawake walioachika na kuachiwa mali?
Na wanawake ambao wanataka kuachika wengi wao wanakuwa ni wale wenye kipato cha kujitosheleza. Tunawaona wakiondoka wenyewe kwenye ndoa.

Halafu mnavyosema mali...ni mali gani hizo mnazungumzia? Kila mtu mali mali mali...mali zenyewe sasa ni kajumba na gari moja IST
 
Tatizo hamtaki kusoma vitabu kama ww ni msomaji na mfuatiliaji wa vitabu soma kitabu kinaitwa NEW WORLD ORDER hakuna walicho acha wale jamaa mule ndani wameelezea kila kitu kuanzia vita vya dunia ndoa homosexuality freemasons and satanism religion matters naweza sema ile ni katiba ya dunia kwasababu mambo mengi waliyoyaelezea mule yameshaanza kutokea.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hamtaki kusoma vitabu kama ww ni msomaji na mfuatiliaji wa vitabu soma kitabu kinaitwa NEW WORLD ORDER hakuna walicho acha wale jamaa mule ndani wameelezea kila kitu kuanzia vita vya dunia ndoa homosexuality freemasons and satanism religion matters naweza sema ile ni katiba ya dunia kwasababu mambo mengi waliyoyaelezea mule yameshaanza kutokea.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Tunakiptaje hicho kitabu
 
Hakuna mahali hata kwenye vitabu vitakatifu pamesema ndoa ni lazima. Au nimekosea hapo?
Shauri yako,kama hutaki kuolewa utakuja kuolewa wewe😬😬

By the way kukataa ndoa kwa mwanaume ni kukwepa majukumu......be careful Devon is at work na moja ya target yake ni kuhakikisha anaharibu current na coming generation
 
Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..

Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake, umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Wanaume tumekua dhaifu, wazee wetu wameshatutengenezea maisha rahisi, hakuna vita hakuna jando...
Viongozi wenye misimamo wachache.
Ila ni mzunguko utakaoisha na mzunguko mwingine utafata, wala sio mara ya kwanza.
 
Mbona huku mtaani hatuwaoni hao wanawake walioachika na kuachiwa mali?
Na wanawake ambao wanataka kuachika wengi wao wanakuwa ni wale wenye kipato cha kujitosheleza. Tunawaona wakiondoka wenyewe kwenye ndoa.

Halafu mnavyosema mali...ni mali gani hizo mnazungumzia? Kila mtu mali mali mali...mali zenyewe sasa ni kajumba na gari moja IST
Kwani wanawake mnaakili ninyi!? kama mliweza kumsaliti Adam kwa apple
mshindwe kwa ist!?
 
Back
Top Bottom