Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

shetani anacheza amapiano huko aliko
 
Kuna jamaa mmoja huko nairaland, kasema:"MARRIAGEs THESE DAYS ARE TRANSACTIONAL".
Mwngne akasema
IF YOU MARRY A GIRL YOU MARRY HER FAMILY TOO, MARRY AT YOUR OWN RISK..
 
mgtow=MEN GOING THEIR OWN WAY..
kama tumefika hapa hali ya dharula inabidi itangazwe....
 
Shauri yako,kama hutaki kuolewa utakuja kuolewa wewe[emoji51][emoji51]

By the way kukataa ndoa kwa mwanaume ni kukwepa majukumu......be careful Devon is at work na moja ya target yake ni kuhakikisha anaharibu current na coming generation
Wewe ambaye hujakwepa majukumu umepata faida gan mpaka sasa??
 
UmewaZa sahii mkuu,
Tunakoelekea Ni kubaya zaidi[emoji26]
 
Unashawishiwa vipi kula apple na mwanamke asiye na akili?
Utakuwa huna akili kuliko huyo mwanamke.
Sikiliza wewe mdada...Quote me or Leave it but Honestly..NI RAHISI CHIZI KUMFANYA MTU TIMAMU AONEKANE CHIZI..KULIKO MTU TIMAMU KUMFANYA CHIZI AONEKANE NI MWENYE AKILI TIMAMU..📌🔨 Im out
 
Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..

Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,

Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Uko mbele ya safari mambo yatakuwa magumu sana kwasababu ya watu kuwa wajanjawajanja,wenye akili nyingi kuliko maarifa.
 
Mbona huku mtaani hatuwaoni hao wanawake walioachika na kuachiwa mali?
Na wanawake ambao wanataka kuachika wengi wao wanakuwa ni wale wenye kipato cha kujitosheleza. Tunawaona wakiondoka wenyewe kwenye ndoa.

Halafu mnavyosema mali...ni mali gani hizo mnazungumzia? Kila mtu mali mali mali...mali zenyewe sasa ni kajumba na gari moja IST
Wewe una mdomo sana
 
Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..

Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,

Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Chief miaka ijayo ipi?kwani kizazi cha ajabu hukioni kipindi hiki..yaani mimi naamini miaka isiyozidi 50 mungu ataiteketeza hii Generation....Tuko Kwenye kipindi kibaya sana
 
Back
Top Bottom