Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ukiwa na ndoa na sisi wengi tunakataa ndoa ,hao watoto wako unaowazaa kwenye ndoa unafikiri watakuja kufunga ndoa na watoto wanan?Enyi kizazi cha maSingle maza na wanaume wasiojielewa,aminini
nawaambieni yaja siku watoto wenu watakosa malezi na kugeukia yasio faa,,,
Inabidi tuitishe kikao cha kitaifa kujadili hii Agenda ya ndoa ili tuweke makubaliano ya kimipaka
Unashawishiwa vipi kula apple na mwanamke asiye na akili?Kwani wanawake mnaakili ninyi!? kama mliweza kumsaliti Adam kwa apple
mshindwe kwa ist!?
Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..
Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,
Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Mbeya girl una akili nyingi ila hujijuiNi trendy tu. Huko mbele zitakuja propaganda nyingine.....
Unakuta wadada wataanza 'hakuna kuachika' [emoji23]
Na mambo yanayotokea tunasema unabii umetimia kumbe ni mipango ya tangu zamani imetimizwa.Tatizo hamtaki kusoma vitabu kama ww ni msomaji na mfuatiliaji wa vitabu soma kitabu kinaitwa NEW WORLD ORDER hakuna walicho acha wale jamaa mule ndani wameelezea kila kitu kuanzia vita vya dunia ndoa homosexuality freemasons and satanism religion matters naweza sema ile ni katiba ya dunia kwasababu mambo mengi waliyoyaelezea mule yameshaanza kutokea.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Badala muanzishe kampeni za nyie wadada kukosoana mwenzenu anapofanya ndoa ionekane haina faida kwa mwanaume , unajifariji wakati kitaa kuna wimbi la single maza wamekata tamaa mpka wanasema wanaume wote ni mbwa, kujifariji sio mwarobaini adui wa mwanamke ni mwanamke hyo unaemshauri ujinga apa sio ajabu kitaa anamwinda bwana wako .Wewe hayo maneno ya vijana wachache wa mitandaoni wala yasikutishe, wengi huandika hayo ni wale graduates wanaosotea ajira hadi wameanza kukata tamaa, trust me ukiwa na hela utaoa na kutengeneza maisha yako mazuri tu ila kama huna utakua mtu mwenye hasira, majuto, visasi, mropokaji, mtukanaji na kila mtu utamuona ni mchawi wako [emoji3]
Dunia ipo salama kabisa usiwe na shaka, nenda huko mikoani uone vijana wadogo wanavyooana kwa furaha, uone wazee wanavyooa na kuolewa.
Zamani sana mkuu kile kitabu yaliyomo mule ni hatari yaani hawaja acha kitu mpaka watoto wadogo kufundishwa homosexuality ipo na lengo la kuanzishwa boarding school wanaita (moral absolute) having freedom of doing anything without religion or family obstacles and society kama unaweza kitafute mkuu marais wote duniani wanamtukuza na kufuata sheria zao either kwa kujua au kutokujua.Na mambo yanayotokea tunasema unabii umetimia kumbe ni mipango ya tangu zamani imetimizwa.
Badala muanzishe kampeni za nyie wadada kukosoana mwenzenu anapofanya ndoa ionekane haina faida kwa mwanaume , unajifariji wakati kitaa kuna wimbi la single maza wamekata tamaa mpka wanasema wanaume wote ni mbwa, kujifariji sio mwarobaini adui wa mwanamke ni mwanamke hyo unaemshauri ujinga apa sio ajabu kitaa anamwinda bwana wako .
Usiseme miaka 500 mbele sema2 miaka Kama 30 hiv maana sasahiv wanawake wajiuza Kama nyanya sehemu mbali mbali na ambaye hajiuzi kwa njia ya kujiweka sokon basi Mimi sijamuona bint anayetoa namba kwa mwanaume na asifanye nae tendo la ndoa na kwa siku bint anatoa namba si chin ya watu watu wawili unazani miaka inavyozidi kwenda kuba umuhimuNinaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..
Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,
Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Usiseme miaka 500 mbele sema2 miaka Kama 30 hiv maana sasahiv wanawake wajiuza Kama nyanya sehemu mbali mbali na ambaye hajiuzi kwa njia ya kujiweka sokon basi Mimi sijamuona bint anayetoa namba kwa mwanaume na asifanye nae tendo la ndoa na kwa siku bint anatoa namba si chin ya watu watu wawili unazani miaka inavyozidi kwenda kuba umuhimu wa ndoaNinaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..
Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,
Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.
Nmechanganyikiwa mkuuSijakuelewa!
Ni aidha umechanganyikiwa au umem quote mtu tofauti
Kikao cha kitaifa kujadili ajenda ya ndoa[emoji16]Enyi kizazi cha maSingle maza na wanaume wasiojielewa,aminini
nawaambieni yaja siku watoto wenu watakosa malezi na kugeukia yasio faa,,,
Inabidi tuitishe kikao cha kitaifa kujadili hii Agenda ya ndoa ili tuweke makubaliano ya kimipaka
sio poa yaan,sijui maisha yamewachangaya watuKikao cha kitaifa kujadili ajenda ya ndoa[emoji16]
Bomu limetengenezwa na wazungu wamagharibi na sisi tumeiga kichwa kichwa, ila huko Uarabuni na baadhi ya waasia watabaki salama ktk taasisi ya ndoa. Unadai saa hivi WANAUME WANAONA KUHUDUMIA MWANAMKENI UTOPOLO!!! Ni lini hapa barani Afrika mwanamke alikuwa wa kuhudumiwa na mwanaume!!!???, bibi na mama zetu walikuwa ni wazalishaji wa chakula cha familia kwa wanalima kwa jembe la mkono shambani na kulisha mifugo, hili la kuhudumiwa na wanaume sijui limetoka wapi!!!! Chanzo chake itakuwa ni falsafa ya makahaba kuwa wanawake ni wa kupewa hela tu, na kuhudumiwa kama watoto wadogo, wagonjwa, walemavu wa akili au mwili.Ninaposoma comments za watu humu mtandaoni especially wanaume na nkiona na hali ilivyo mtaani, sipati picha kwa mfano Mungu akiiacha hii dunia iendelee miaka 500 mbele, taasisi ya ndoa itakuwa na hali gani..
Inaanza taratibu kama utani, wanaume wengi wanaanza kampeni ya kupinga ndoa, hata nikienda forum ya nairaland Kule Nigeria, reddit, Quora, vilio vya wanaume Kuhusu kuumizwa na wanawake, na kampeni za kupinga ndoa ni hivyo hivyo kama ilivyo hapa jf, kwenye redpill na mgtow internet communities huko marekani hali ni mbaya wanaume wengi wamewachoka wanawake,
Umarioo na ushoga unazidi, sahivi wanaume wanaanza kuona kutoa mahari, kuhudumia mwanamke/mke kipesa ni utopolo na ni kutapeliwa na kutumika, wanaume wengi sahivi wanaanza kujitenga na wanawake kihisia, wapo kwenye mahusiano ilimradi, wanaume wengine wanaishia kununua malaya wanaojiuza barabarani, Na kupiga punyeto, badala ya kutongoza, sasa hizi jinsia mbili zikitengana, familia hakuna, sipati picha hilo bomu linalokuja kutengenezwa huko mbeleni.