Tuna sheria za aina yake...Hivi huu utaratibu wa kukamatana bila kuambiwa kosa, kupitia serikali ya mtaa, bila ya taarifa ya kuitwa polisi au mahakamani ni utaratibu wa askari wa Tanzania pekee? Sheria inasemaje kwani wakikuhitaji kwenda polisi either kwa mahojiano au vyovyote vile?
Hii nchi inamaajabu mengi Sana, msomi na mjinga huwezi kuwatofautisha, inawezekanaje mtu tunayemuona angalau alimaliza darasa la saba anaandika tarifa ya watu kutekwa na wasiojulikana
Halafu hiyohuyo ndani ya tarifa zake hizo anahitimisha kuwa watu waliokuwa wametekwa na wasiojulikana Wapo kituoni na wameachiwa, hatuoni kwamba huo ni uduni wa mtoa tarifa?
Haya ndio makosa na matokeo ya kuajiri watu wenye elimu duni kufanya kazi yenye kuhitaji kureason! Hata polisi wa kikoloni hawakuwa na ubazazi huu uliopo Sasa! Hakika, jeshi la polisi ni la kuvunjiliwa mbali na kusukwa upya kitaalaamu!Hivi huu utaratibu wa kukamatana bila kuambiwa kosa, kupitia serikali ya mtaa, bila ya taarifa ya kuitwa polisi au mahakamani ni utaratibu wa askari wa Tanzania pekee? Sheria inasemaje kwani wakikuhitaji kwenda polisi either kwa mahojiano au vyovyote vile?
Naifananisha hii ishu na scenario ya Prof Assad. Mtu kaenda shambani simu haipatikani kuna mwanasiasa(kapuni) akasema ametekwa.Korona itaondoka na wengi, swali la kizushi aliyesikia watekaji wakijitambulisha kuwa ni askar wa jeshi la polisi ni Nani? Na alikuwa wap mpak akaiona hyo gar kuwa ni defender??? Bas tuanze na huyo ili kuharakisha upelelezi na madaktar wapatikane mapema iwezekanavyo
We mpiga ramli umerudi na upumbavu wako tenaTulia nchi ipo salama kama unafanya mambo ya hatari then tambuwa watu wapo kazini.
Mbona sioni hii kama ina-make sense.
Mkuu baba V yani unaibuka ghafla halafu unapoteaaaaaa. Tena unaibuka dah! Siyo kama 2014 kila thread ulikuwa unachangia. Hope everything is OK