Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Utashangaa badala kije bongo, kitatindika mombasa, garisa na kibera. Just wait

Hivi hivi ndivyo mlipuuza corona na kusema ipo kwenye mapaipai, hatimaye mkaishia kuwa na msiba wa kitaifa.
 
Huyu SUPIKA anashida gani na sisi aisee? Yaani ameamua kuja kivingine kama KIMBUNGA?
 
Halafu nani alianzisha hii tabia ya kupatia vimbunga majina? Sasa hiki kimbunga chenu kinaitwa Jobo.
 
Hivi hivi ndivyo mlipuuza corona na kusema ipo kwenye mapaipai, hatimaye mkaishia kuwa na msiba wa kitaifa.
Wewe huwaga ni jinga kweli, nani kakwambia msiba ulisababishwa na Corona, madaktari wanasema kafa na tatizo lake sugu la moyo, ww kila kukicha unataka isifia Corona ndio ilomuua, mbona viongozi wengine wapo na hawajafa na msimamo ni ule ule wa mwendazake.
Ni unapata orgasm kuhusisha kifo chake na covid au shida yako ni nn haswa
 
Wewe huwaga ni jinga kweli, nani kakwambia msiba ulisababishwa na Corona, madaktari wanasema kafa na tatizo lake sugu la moyo, ww kila kukicha unataka isifia Corona ndio ilomuua, mbona viongozi wengine wapo na hawajafa na msimamo ni ule ule wa mwendazake.
Ni unapata orgasm kuhusisha kifo chake na covid au shida yako ni nn haswa

Corona ni tatizo la kisayansi, unakabiliana nalo kisayansi, wajanja wanaolifahamu hili wapo wanapeta...Usiwaone wajinga kwa kuvaa mask hadi karibia izibe macho....
Kiongozi wa kitaifa kwa siku hukutana na watu wengi sana wanaotokea kwenye mataifa ya nje, hivyo huwa yupo kwenye risk kubwa sana zaidi ya mtu kama wewe ambaye unazungukia Buza na kuishia Buza siku inaisha ukikutana na watu wale wale wa kila siku....

Museveni-with-mask-being-welcomed-by-Magufuli.jpg
 
Corona ni tatizo la kisayansi, unakabiliana nalo kisayansi, wajanja wanaolifahamu hili wapo wanapeta...Usiwaone wajinga kwa kuvaa mask hadi karibia izibe macho....
Kiongozi wa kitaifa kwa siku hukutana na watu wengi sana wanaotokea kwenye mataifa ya nje, hivyo huwa yupo kwenye risk kubwa sana zaidi ya mtu kama wewe ambaye unazungukia Buza na kuishia Buza siku inaisha ukikutana na watu wale wale wa kila siku....

Museveni-with-mask-being-welcomed-by-Magufuli.jpg
We fara hakuna kitu unajua, siishi buza wala dsm, watu tu namingle with different nationals, na tunadunda, mandezi mabarakoa yenu yamewasaidia nini, mbona mko na hali mbaya kutushinda, mnachezeshwa ngoma isowahusu, mnaicheza kama makondoo mlivyo, sasa mnajaribu sana kutufanya wengine tuwe makondoo, ilhali linchi lenu linaungua inside out, sema sababu nyinyi ni wakabila, hayo utayafumbia macho na masikio, utayahamishia bongo. Welcome and learn from the mighty CCM
 
We fara hakuna kitu unajua, siishi buza wala dsm, watu tu namingle with different nationals, na tunadunda, mandezi mabarakoa yenu yamewasaidia nini, mbona mko na hali mbaya kutushinda, mnachezeshwa ngoma isowahusu, mnaicheza kama makondoo mlivyo, sasa mnajaribu sana kutufanya wengine tuwe makondoo, ilhali linchi lenu linaungua inside out, sema sababu nyinyi ni wakabila, hayo utayafumbia macho na masikio, utayahamishia bongo. Welcome and learn from the mighty CCM

Hali yetu ni kwa sababu tunaitangaza hatujajichokea kama nyie na kuachwa wa kujifia ajifie kama makondoo, bado tunaye rais na baraza lote la mawaziri hatujampoteza hata mmoja kwa corona.
Dunia hii tangu janga la corona lianze imepoteza marais wawili tu, wa Burundi na Tanzania, na hao wawili tu ndio walikaidi kwamba wameishinda corona kwa maombi, yaani kinaya/irony ya ajabu.
Viongozi wa nchi kila siku wanakutana na watu wa kimataifa, nimekuambia kajamba kama wewe uvae usivae barakoa sio rahisi corona ikukute hapo Buza kwa ukivimbiwa ubwabwa.
 
Watanzania sisi ni waajabu nilitegemea kusikia matangazo ya mara kwa mara kuwaambia wananchi wajihadhari hiyo jumatatu wasiende ufukweni lakini kila napoangalia ni nakuta bongo flavour tu
 
Ukiangalia hata hali ya anga imebadilika na hali ya hewa inaashiria wingu zito
 
Waombe kiishsie huko huko mbali maana hawa majirani huwa hawajajiandaa kwa lolote zaidi ya kulaumu mabeberu kwenye kila janga linalowakumba.
Nakumbuka walivyotelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi, hatari sana.
Tunaendelea Kumuomba MUNGU kisifike huku kiishie huko
 
Hali yetu ni kwa sababu tunaitangaza hatujajichokea kama nyie na kuachwa wa kujifia ajifie kama makondoo, bado tunaye rais na baraza lote la mawaziri hatujampoteza hata mmoja kwa corona.
Dunia hii tangu janga la corona lianze imepoteza marais wawili tu, wa Burundi na Tanzania, na hao wawili tu ndio walikaidi kwamba wameishinda corona kwa maombi, yaani kinaya/irony ya ajabu.
Viongozi wa nchi kila siku wanakutana na watu wa kimataifa, nimekuambia kajamba kama wewe uvae usivae barakoa sio rahisi corona ikukute hapo Buza kwa ukivimbiwa ubwabwa.
Nakwambiaga ww ni mbumbumbu, nkurunzinza alishastaafu urais, ndio kifo kikamkuta, na hakuna aliesema ni Corona ndio ilimuua zaidi ya wachawi wa EA
 
Tunaendelea Kumuomba MUNGU kisifike huku kiishie huko

Pamoja na kumuomba Mungu, mtumie hekima aliyowapa Mungu ya kuchukua tahadhari, fuatilia taarifa kwa makini, epuka mizunguko na mishe zisizokua za ulazima, kaa mbali na maeneo ya hatari.
Pia serikali haina dini, isikae kuambia watu waombe tu, ifanye jitihada za "disaster preparedness" , kwamba hata kikipiga kikute watu walishakaa mkao wa kujiandaa. Ndivyo mataifa ya majuu hufanya, ikikumbukwa huko ndiko chimbuko la hizi dini zetu.
 
Waombe kiishsie huko huko mbali maana hawa majirani huwa hawajajiandaa kwa lolote zaidi ya kulaumu mabeberu kwenye kila janga linalowakumba.
Nakumbuka walivyotelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi, hatari sana.
Jirani mbona kama una vi-element vya uchawi?
 
Jirani mbona kama una vi-element vya uchawi?

Kimbuga ni masuala ya sayansi, wekeni pembeni hayo madude ya akina Kinjeketile.

Dah! Halafu Mombasa yetu hivi mumejiandaaje....maana si ndio huko huko Pwani...cc: Tony254 kama sijakosea, si kwenu huko??
 
Back
Top Bottom