Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Kimbuga ni masuala ya sayansi, wekeni pembeni hayo madude ya akina Kinjeketile.

Dah! Halafu Mombasa yetu hivi mumejiandaaje....maana si ndio huko huko Pwani...cc: Tony254 kama sijakosea, si kwenu huko??
Kimbunga sidhani kama kitafika Mombasa. Otherwise ungeona media za Kenya zikitangaza habari hii. Pia meteorologists wa Kenya wangekuwa wametoa tahadhari tayari. Halafu direction ya kimbunga huwa hakijulikani kwa uhakika maana kinaweza kubadilisha mkondo wakati wowote so tuombe Mungu kwamba hakitafika maeneo ya Kenya. Wataalam wa Kenya hawana wasiwasi kwa hivyo hata mimi sina wasiwasi. Wataalam wa TZ ndio wanaotoa tahadhari maana kimbunga kitatua Dar es Salaam juma tatu.

 
Watanzania sisi ni waajabu nilitegemea kusikia matangazo ya mara kwa mara kuwaambia wananchi wajihadhari hiyo jumatatu wasiende ufukweni lakini kila napoangalia ni nakuta bongo flavour tu
Acha uchuro
Huku dar jua kali na joto Na wingu ni la masika. linapiga.walisema tar 24/25 kiko wapi?
Tuone hiyo j3
 
Kimeshapungua nguvu..
Wanasema kitatua na upepo wa 60 kph. Hivi wewe unajua upepo wa 60 kph unaweza kungoa paa la nyumba na miti? Halafu kinatua na mvua kubwa ukanda wote wa Africa mashariki. Wiki hii kutakuwa na ongezeko la mvua katika maeneo yaliyopakana na ziwa victoria
 
WANDUGU Mungu ni mwema kimbunga kimeshapungua ukali kutoka 100kph mpaka 18kph kutokana na taarifa za mamlaka tuzidi kumuomba Mungu kipishe mbali
 
WANDUGU Mungu ni mwema kimbunga kimeshapungua ukali kutoka 100kph mpaka 18kph kutokana na taarifa za mamlaka tuzidi kumuomba Mungu kipishe mbali
Weka ushahidi hapa.
 
WANDUGU Mungu ni mwema kimbunga kimeshapungua ukali kutoka 100kph mpaka 18kph kutokana na taarifa za mamlaka tuzidi kumuomba Mungu kipishe mbali
Naona ni kweli kimbunga kimepunguza nguvu kutoka 100 kph hadi 18 kph. Lakini inasemekana kwamba mvua kubwa itanyesha huko. Mtoe shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwaokoa.



Cc MK254
 
Majirani mjitahadhari dhidi ya Kimbunga Kikali kinachokuja kubamiza Dar juma tatu ijayo. Kimbunga kitakuwa na upepo unaovuma at 100 kph

Rare tropical cyclone is approaching one of Africa's most populated cities​

By Pedram Javaheri, CNN Meteorologist
Updated 7:51 PM EDT, Thu April 22, 2021

article video


(CNN)A rare tropical cyclone is approaching Tanzania and could become the first cyclone to make landfall in the nation in modern records.

Tropical Cyclone Jobo, located near Madagascar in the South Indian Ocean, is equivalent to a strong tropical storm with winds just shy of 100 kph (62 mph).

Although Jobo is churning over the very warm waters (29°C), other environmental conditions should hinder any further development, weakening the storm prior to making landfall late this weekend.

However, the rarity of a tropical system affecting Tanzania is worth noting. Land falling cyclones are almost unheard of in Tanzania due to its close proximity to the equator, where the Coriolis force -- what causes the storm to rotate -- is weaker.

Records show only two other tropical cyclones have ever made it to the shores of Tanzania since the 19th century: the "Zanzibar Cyclone" of 1872 and Cyclone Lindi of 1952. The two storms struck the nation 80 years and one day apart on April 14 and 15 of their years, respectively.

Both storms brought significant devastation to the areas they impacted and took countless lives.

A weaker Tropical Cyclone Jobo is a welcome sight compared to the stronger predecessors, but the area in the potential impact zone remains one of the most populous on the continent.

Tanzania's largest city and its former capital, Dar es Salaam, is home to over 6 million people and the fifth largest on the continent.

The official forecast track by the JTWC does include both cities Dar es Salaam and Zanzibar to potentially be in the path of Jobo.

Given its tropical location, rainfall is plentiful in this part of the world and April is climatologically the wettest month of the year.

210422082607-jobo-rain-accum-fcst-medium-plus-169.jpg


Nearly 200 mm of rainfall, or a month's worth, is expected this weekend along the Tanzanian coast as Jobo makes landfall.

In 2019, we saw a surge of tropical activity in the region as Cyclones Idai and Kenneth battered neighboring Mozambique on back-to-back months.

On average, tropical cyclones affect Mozambique once per decade, according to CNN meteorologist Brandon Miller, and only four have ever made landfall with category 3 equivalent or stronger winds since 1950.

View on CNN
AFB350BE-FBFE-4B20-B16A-2B65B2B13CED.jpeg
AFB350BE-FBFE-4B20-B16A-2B65B2B13CED.jpeg
 
Back
Top Bottom