Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

Tanzania naifahamu sana, nimetembelea na kukatiza mikoa na wilaya nyingi zaidi ya wengi wenu walalahoi mliozaliwa eneo moja na mpaka mnafika watu wazima hamjatoka hapo hapo. Kunao wengi wa mikoani hata hiyo Dar huwa mnaiskia tu, na mkibahatika kulipiwa nauli na kufikia Ubungo mnakenua na kushangaa shangaa utadhani mumetokea maporini, kwanza sasa mlivyowekewa flyover hapo Ubungo ndio huwa mnapigiwa mapicha.....hehehehe
Tanzania huu ugonjwa wa Corona hauna madhara, Ata paka haogopi tu nashangaa nyie Wakenya kutwa kuutaja taja, JANA Simba kawasha moto Misungwi watu wanajiachia, wanakula raha za Dunia hakuna barakoa wala ushuzi, JPM kafa kwa ugonjwa wa moyo ndio maana mambo yetu yanatuendea vizuri, Maclub tunaenda, viwanjani tunaenda, kazi tunafanya 24hrs, Kiufupi Corona haijabadilisha maisha yetu, ila sisi Watanzania tumeibadilisha Corona na kuifanya tulivu, Mungu yu pamoja nasi kimbunga Jobo kinakimbia chenyewe
 
Majirani mjitahadhari dhidi ya Kimbunga Kikali kinachokuja kubamiza Dar juma tatu ijayo. Kimbunga kitakuwa na upepo unaovuma at 100 kph

Rare tropical cyclone is approaching one of Africa's most populated cities​

By Pedram Javaheri, CNN Meteorologist
Updated 7:51 PM EDT, Thu April 22, 2021

article video


(CNN)A rare tropical cyclone is approaching Tanzania and could become the first cyclone to make landfall in the nation in modern records.

Tropical Cyclone Jobo, located near Madagascar in the South Indian Ocean, is equivalent to a strong tropical storm with winds just shy of 100 kph (62 mph).

Although Jobo is churning over the very warm waters (29°C), other environmental conditions should hinder any further development, weakening the storm prior to making landfall late this weekend.

However, the rarity of a tropical system affecting Tanzania is worth noting. Land falling cyclones are almost unheard of in Tanzania due to its close proximity to the equator, where the Coriolis force -- what causes the storm to rotate -- is weaker.

Records show only two other tropical cyclones have ever made it to the shores of Tanzania since the 19th century: the "Zanzibar Cyclone" of 1872 and Cyclone Lindi of 1952. The two storms struck the nation 80 years and one day apart on April 14 and 15 of their years, respectively.

Both storms brought significant devastation to the areas they impacted and took countless lives.

A weaker Tropical Cyclone Jobo is a welcome sight compared to the stronger predecessors, but the area in the potential impact zone remains one of the most populous on the continent.

Tanzania's largest city and its former capital, Dar es Salaam, is home to over 6 million people and the fifth largest on the continent.

The official forecast track by the JTWC does include both cities Dar es Salaam and Zanzibar to potentially be in the path of Jobo.

Given its tropical location, rainfall is plentiful in this part of the world and April is climatologically the wettest month of the year.

210422082607-jobo-rain-accum-fcst-medium-plus-169.jpg


Nearly 200 mm of rainfall, or a month's worth, is expected this weekend along the Tanzanian coast as Jobo makes landfall.

In 2019, we saw a surge of tropical activity in the region as Cyclones Idai and Kenneth battered neighboring Mozambique on back-to-back months.

On average, tropical cyclones affect Mozambique once per decade, according to CNN meteorologist Brandon Miller, and only four have ever made landfall with category 3 equivalent or stronger winds since 1950.

View on CNN
Ulivyoindika hii habari kishabiki Sasa,utadhani Tanzania 🇹🇿 ni nchi Kama yenu inyoandamwa na mikosi ya laana,hili Taifa tumelikabidhi kwa Mungu.sio kwamba hatutapata majanga,Ila sio rahisi
 
Acha kubishana na Mpumbavu huyo
Tanzania Anaijua Mpuuzi huyo Hata mpakani hapajui Kila kitu kwake ni Google na Humu humu JF
Kwani unaona kama Mkenya kutembelea hilo linchi lenu bovu ni jambo kubwa? Mbona kuna maelfu ya Wakenya wanaoishi huko na kufanya kazi huko ama hujui hilo? Ama unaona kama Mkenya kuja Tanzania ni jambo gumu sana?
 
Waombe kiishsie huko huko mbali maana hawa majirani huwa hawajajiandaa kwa lolote zaidi ya kulaumu mabeberu kwenye kila janga linalowakumba.
Nakumbuka walivyotelekeza wahanga wa tetemeko la ardhi, hatari sana.
Iko wapi sasa
 
Dua ya kuku hainpati mwewe. Corona imeogopa kuvuka boda ya kenya kuja tz ndio huyo kimbunga jobo atawezana? Usishangae kikapita apa kikaenda kuharibu mombasa
Umetisha kimeishia kudemka huko baharini
 
Back
Top Bottom