OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Imeingia vizuri naona unapiga ukeleleMods muwe mnafuta nyuzi za huyu mwanamke.
Jukwaa la sports analifanya kama la celebrity..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeingia vizuri naona unapiga ukeleleMods muwe mnafuta nyuzi za huyu mwanamke.
Jukwaa la sports analifanya kama la celebrity..!
Hawaamini kinachoendeleaImeingia vizuri naona unapiga ukelele
Wewe unaona anafanya nini huyo wa kwenye uzio? Kuna mkojo unaotoka umeuona? Au umeona mkono ukishika sehemu za siri?
Atakuwa anapiga nieto
We umekiona hicho kiatu unachosema anavaa?Wewe unaona anafanya nini huyo wa kwenye uzio? Kuna mkojo unaotoka umeuona? Au umeona mkono ukishika sehemu za siri?
Wachukueni nyie Simba.Kila siku uache kuizungumzia Yanga tu.Mmbea kama mwanamke wa kizaramoTaarifa kutoka Morocco zinasema kwamba kocha msaidizi wa Yanga Sighr Hamad amevunja mkataba na klabu hiyo na hatakuwa sehemu ya benchi la ufundi kwa msimu ujao.
Mbali na kocha msaidizi lakini pia mtaalamu wa mazoezi ya viungo Jawad Sabri na daktari wa viungo Fareed Cassem kwa sababu mbalimbali wameamuama kuachana na timu hiyo .
Nikiripoti kutoka katika kambi hii isiyo na vyoo ni mimi NJAAKALI BIN HATARI
Kwani kuna tatizo gani Mtani UTOPOLO?Mods muwe mnafuta nyuzi za huyu mwanamke.
Jukwaa la sports analifanya kama la celebrity..!
Mimi sijui anachokifanya huyo wa kwenye uzio, anayefunga viatu ni huyo wa pembeni. Asa nyie mnaosema kuwa anakojoa tupe uthibitishoWe umekiona hicho kiatu unachosema anavaa?
wamekasirika kuambiwa ukweli kwamba watu wa benchi la ufundi wamekimbiaKwani kuna tatizo gani Mtani UTOPOLO?
Unabisha kwamba hao jamaa hawajakimbia utopoloni?Kweli njaa kali hatari
Kwahiyo kama kimenuka huko si tunapata hasara ipi au tunafaidika je sasa.take it from me kishanuka hukoo
Njaa kali hatari ngoja nikuletee interview ya makamu mwenyekiti wa mashindano wa Yanga, Eng. Hersi said akilizunguzia swala hili kupitia wasafi fmUnabisha kwamba hao jamaa hawajakimbia utopoloni?
Uthibitisho si huo wa picha au unatak na video? Hii itabidi ulipieMimi sijui anachokifanya huyo wa kwenye uzio, anayefunga viatu ni huyo wa pembeni. Asa nyie mnaosema kuwa anakojoa tupe uthibitisho
Sasa kumbe akizungumzia? We unahisi anachozungmza n cha kweli au anaficha aibuNjaa kali hatari ngoja nikuletee interview ya makamu mwenyekiti wa mashindano wa Yanga, Eng. Hersi said akilizunguzia swala hili kupitia wasafi fm
Kona ipi itaje hata moja, au ile ya zanzibar kuchukua mapinduziLabda aondoke GSM ndio nitastuka! Mbumbumbu msimu huu tumewakamata kila kona!
Unataka kusemaje?Sasa kumbe akizungumzia? We unahisi anachozungmza n cha kweli au anaficha aibu
Mimi kwenye picha sioni mkojo ukitoka na wala sioni mkono ukiwa umeshika sehemu zake za siri. Je ni kipi kinachokuaminisha kuwa anakojoa na sio amekaa tuUthibitisho si huo wa picha au unatak na video? Hii itabidi ulipie