Ndo zao hao nasikia ana misala mia mia!Haahahaha...labda ni muumini wa mbege..yake kayakalia kunako kinyeo ya wenzie sasa!!! Mfyuuuu zake
Huyu dada namjua toka miaka 10 nyuma huko kwenye 2004 - 2007.Hebu nipe hiyo wangu?
Ooooh sisi wanawake jamani[emoji24] [emoji24] ....mi mtu akinisaidia simfanyii ubaya kamwe!Huyu dada namjua toka miaka 10 nyuma huko kwenye 2004 - 2007.
Alikua ni rafiki wa sister ni kakubwa kweli basi tu kujitia utoto
Akaja akaolewa na kaka mmoja anaitwa Fredy anafanyia channel ten.
Akazaa nae Ivan, Neema anafika hapo kwa ajili ya Fredy.
Neema kasota kwenye kuigiza mnoo kasota sana Fredy alimpambania sijui star tv..sijui kwa watu gani ili Sanaa imtoe.
Alivyoanzisha urafiki na kina Aunty kujulikana kidogo mjini akadai talaka na kuanza kudate viben ten.
Fredy mpaka sasa kagoma kutoa talaka anaamini mkewe ipo siku atarudi.
Kwa watu wanaomjua toka long huwa wanamsikitikia tu Fredy.
Fredy anampenda sana Neema hadi kero.Ooooh sisi wanawake jamani[emoji24] [emoji24] ....mi mtu akinisaidia simfanyii ubaya kamwe!
Maskini utakuta na kamloga mkaka wa watuu
Maskini jamani....huyo Fred now ana ishu gani?Fredy anampenda sana Neema hadi kero.
Alishindwa kukumbuka fadhila.
Numbi kwa migazeti huhuuuHuyo hapoView attachment 836824
Aisee..hiyo habari mupya kabisaHuyu dada namjua toka miaka 10 nyuma huko kwenye 2004 - 2007.
Alikua ni rafiki wa sister ni kakubwa kweli basi tu kujitia utoto
Akaja akaolewa na kaka mmoja anaitwa Fredy anafanyia channel ten.
Akazaa nae Ivan, Neema anafika hapo kwa ajili ya Fredy.
Neema kasota kwenye kuigiza mnoo kasota sana Fredy alimpambania sijui star tv..sijui kwa watu gani ili Sanaa imtoe.
Alivyoanzisha urafiki na kina Aunty kujulikana kidogo mjini akadai talaka na kuanza kudate viben ten.
Fredy mpaka sasa kagoma kutoa talaka anaamini mkewe ipo siku atarudi.
Kwa watu wanaomjua toka long huwa wanamsikitikia tu Fredy.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Koku sijui atakuwa nani huko gram
Hivi alipewa zawadi yake ila ya ati designer nini ilikuwa begi la mtoto au sijui viatu mange alinunuliwa na Mwamvita Dubai..
Ila lile begi ni kama analo hadi kesho
Viatu havivai aibu fulani hivi
Kabisa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nampenda mama ubaya basi tu ana vitu vinaboa.
Jana nilikua nacheka tu wanavyojifanya wapo upande wa Hamissa wakati yeye ndo kayaanzisha.
Ila Zama alichokipata hatoamini maana ni kama alikua anasubiriwa ayakanyage.
Mupya mupyaaaAisee..hiyo habari mupya kabisa
Dooh huu ni mwandiko wa mange kabisa. Naujua mwandiko wake kuliko
Kabisa...
Yaani Jana sijui kama kapata usingizi! Kapewa makavu na inta yotee asee!
Kinaboaga watu sema kilikua hakishutukagi tuu!
Numbi kwa migazeti huhuuu
Yule hana lolote ....amshukuru Ruge tu ndo kamtambulisha public!Kutwa kujasifia ooh sikuchangisha harusi sembuse 40.Kudaka ajira wasafi kakaona mji kameukamata kisawasawa,fasta kakaanza nyemelea cheo cha steve ila msiba wa mtoto wa muna ukamtoa jasho bila kutarajia
Hahahhaahhahaa"Nina twenty two tena ntaifikisha mwezi wa 8 mwakani[emoji23] [emoji23] [emoji15]
So I'm so young Adam ake"
Siku hiyo nilicheka almanusura nivunje mbavu zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haeleweki ameandika kwa hasira n kujisafisha aonekane mwemaa...kumbe watu washamchokaaYaaan hayo magazeti utafikiri alikunywa kangara....ujue haeleweki?!
HahaaaaaaaaaMillion 20 mchezo. Kama kawaida yao ya kuongeza manamba mengi waonekane expensive kumbe ushuzi mtupu child support zinawasogeza
Hamisa sio nyoka tafadhalii binamuuu[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tukifikikaga kwa wema lazima tutofautiane[emoji23][emoji23][emoji23]
Witty sasa kwani Wema sio mpole?
Ni mpole bana ila anapenda masifa akikaa sehemu aonekane.
Kama hamisa alivyo mpole ila ni kanyoka anakuua huku anakuchekea.
Hivi Zama kumbe naye ana catering πππππMilioni 20 kufanyia sherehe
hem ngoja kwanza!!
ALIFANYIA NYUMBANI- HAKUNA GHARAMA YA UKUMBI!
ALIPIKA CHAKULA KWA CATERING YAKE.
Hiyo milioni 20 kajumlisha na sendo za Shabaan au?