Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

NN unafkr ni nguo?
Wala.

Kuna Diamond.
Kuna Bashite
Kuna Wema
Kuna Mama Dangote
Kuna Mange
Kuna Ruge
Kuna Clouds
Kuna Milly Nyampua
Kuna WCB
Kuna Kamati
Af tena
Kuna 40 ya Salah
Kuna Wonder Women
Kuna Birthday ya Juhjuh
Kuna Nyumba ya Zama



VYOOOOTE HIVYO KUSANYA NDO UNAPATA MSHONO WA GAUNI.

So there is more to it than just meets the eye?

Hahahaaaa! Man oh man.

I’m waaaay out of the loop.

Ila kama wote wako mji mmoja kwa nini wasikutane wazipige tu?
 
NN unafkr ni nguo?
Wala.

Kuna Diamond.
Kuna Bashite
Kuna Wema
Kuna Mama Dangote
Kuna Mange
Kuna Ruge
Kuna Clouds
Kuna Milly Nyampua
Kuna WCB
Kuna Kamati
Af tena
Kuna 40 ya Salah
Kuna Wonder Women
Kuna Birthday ya Juhjuh
Kuna Nyumba ya Zama



VYOOOOTE HIVYO KUSANYA NDO UNAPATA MSHONO WA GAUNI.
Utanifumua mshono shenzyyyy wewe!!!
 
Fredy hajafika kutoa talaka kisa eti ipo siku neema atarudi kwake no way.

Iko hivi adhabu kwa mwanamke korofi ni kutomtaliki....,..ukimtaliki atakuwa huru Sasa ww unamnyea haswaaaa no talaka hakuna kuolewa tena. Ataishia kufanya tuu miaka yote ila ndoa hapat tena.
Aaah OK OK...umenyambua vizuri...hakuna talaka maaamaaaae!
 
So there is more than just meets the eye?

Hahahaaaa! Man oh man.

I’m waaaay out of the loop.

Ila kama wote wako mji mmoja kwa nini wasikutane wazipige tu?
Ngabu boy, is there anyone amongst them with such guts???
Wadada wa mjini wao upashkuna ndio zao, wachambane mitandaoni ndio raha kwako. Sisi wengine tunajiburudikia tuu.

Imepita 40 ya salha soon there is another scene to come just keep your ears open.
 
Haaahaaa uwiii..
NAULIZA TU!!
Mana katika miji ya ajabu niliwahi fika ni Pemba!!
na hayo mapishi sijawahiga kuona huko kwao!!

Sehemu naumwaga nikiambiwa naenda ni Pemba.
Ila ndo kazi utafanyaje!!
IT IS A DULL PLACE EVER!!
airport madimbwi tuuu!!
woooooih!!
sijajua wanaoenda kwa maboti sijui meli.
woooooih ATI WANAWAKE WA PEMBA!!
kiiiiiiipi babu weee atupishe!!
Sio wa kibarazani wala uani!!
Hawafai kwa mavumba Wala ubani.
Kwanza wa huko PEMBA mbali,wapi Ilala hapo!!
Asituondolee focus ya gauni la Sophia the First!!
Atuache kabisa!!
 
NN unafkr ni nguo?
Wala.

Kuna Diamond.
Kuna Bashite
Kuna Wema
Kuna Mama Dangote
Kuna Mange
Kuna Ruge
Kuna Clouds
Kuna Milly Nyampua
Kuna WCB
Kuna Kamati
Af tena
Kuna 40 ya Salah
Kuna Wonder Women
Kuna Birthday ya Juhjuh
Kuna Nyumba ya Zama



VYOOOOTE HIVYO KUSANYA NDO UNAPATA MSHONO WA GAUNI.
Hahaaaaaaaaaaaa kweli
 
NAULIZA TU!!
Mana katika miji ya ajabu niliwahi fika ni Pemba!!
na hayo mapishi sijawahiga kuona huko kwao!!

Sehemu naumwaga nikiambiwa naenda ni Pemba.
Ila ndo kazi utafanyaje!!
IT IS A DULL PLACE EVER!!
airport madimbwi tuuu!!
woooooih!!
sijajua wanaoenda kwa maboti sijui meli.
woooooih ATI WANAWAKE WA PEMBA!!
kiiiiiiipi babu weee atupishe!!
Sio wa kibarazani wala uani!!
Hawafai kwa mavumba Wala ubani.
Kwanza wa huko PEMBA mbali,wapi Ilala hapo!!
Asituondolee focus ya gauni la Sophia the First!!
Atuache kabisa!!
Haaahaaa...snowwhite umeniacha hoi
 
Wadada wa mjini katika ubora wao!!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom