I dont wish ufike huko.Eeeish,nafanya ninachojisikia,tafadhwali!
Tuyaache haya Ms.Lincoln, kuna maisha baada ya JF,uwe na usiku mwema.I dont wish ufike huko.
Hayanihusu thou.
Ha ha ha ha, naona umepata neno irrelevant basi kila kitu irrelevant. Hebu soma comments zako kisha jiulize nani ana comment irrelevant to the topic. Ww uliona kuuza jina ni kazi rahisi ndio mana nakakuambia uza lako km rahisi. Hivi Tanzania kuna celebrities wangapi na jiulize nani anaweza kuwa na brand ikahit big time.We sasa ndo unatakiwa ku use huko ubongo unaousema unachoongea ni IRRELEVANT niuze jina, haya nimekuuuzia jina hilo chukua Evelyn Salt..... Nasema tena wema akili za biashara haaaaaaa anaweza kujasiria papuchi tu lipstick za kiss sio zake ni mali ya Mr problem solved hutaki kunya boga
Asavaliii hapo sasa umeongea ukweli lipstick ni za Mr problem solved sio za wema, say no to uongo..... Case closedHa ha ha ha, naona umepata neno irrelevant basi kila kitu irrelevant. Hebu soma comments zako kisha jiulize nani ana comment irrelevant to the topic. Ww uliona kuuza jina ni kazi rahisi ndio mana nakakuambia uza lako km rahisi. Hivi Tanzania kuna celebrities wangapi na jiulize nani anaweza kuwa na brand ikahit big time.
Kuuza jina inalipa, musicians wa America wengi na perfumes za majina yao mfano Rhianna, Beyonce, Katie Perry nk lakini haimaanoshi ndio wana miliki hizo companies, wemeuza majina wamekula chao maisha yanaendelea. Sasa hata km Wema kauza jina kwenye lipsticks mana yake anajielewa thamani yake na ashakila pesa yake bila jasho maisha yanaendelea. Na ww km rahisi uza la kwako ili wivu ukupungue
Halafu ukute unamchukia Nyaningabu Jf, ila unapendana vizuri tu na jirani yako, wajisifu unajitani mwema kabisa. Masikini hujui ndio yule yule nyaningabu unayemchukia.Ni ukweli mtupu.
Hebu fikiria tu, unakuta eti mtu hampendi Nyani Ngabu.
Huyo anayemchukia hata hujui anafananaje...hata ukipishana naye mtaani huwezi kujua umepishana na Nyani Ngabu.
Na yeye Nyani Ngabu wala hana hata na habari na wewe.
Sasa chuki za nini?
Ndo maana wazimu una matawi mengi.
Hawa wote wanaowachukia Wema na Zari na kusema mara ooh Wema hivi...Zari vile...sijui hana hiki au kile.....
Hivi kweli unadhani Wema na Zari wanawajua hao watu?
kumbe nifah kiboko yako ni miss strong !
Halafu ukute unamchukia Nyaningabu Jf, ila unapendana vizuri tu na jirani yako, wajisifu unajitani mwema kabisa. Masikini hujui ndio yule yule nyaningabu unayemchukia.
Haahaaa!!!
Kweli almajnunu fununu..
Anajishushia hadhi yake tuu wameachwa wangapi seuze yeye,kama mwanamke kweli mbona haolewi na huyo Kaka?Umeona eeeh?Hata mimi nashangaa.
Mimi mwenyewe najiamini na huo muda wa kuhangaika sijui na X zake naupatia wapi as long as babe ninae mie?
Hahahahaaa laki si pesa. mnafki anataka ligi tu afurahi hana lolote.hhhhaaa lione
Hahahahaaa laki si pesa. mnafki anataka ligi tu afurahi hana lolote.
Hapo ndio patamu shoga,tusubiri na tuone.
Ndoa huna kisa umezaa unajitapa na kusahau yule ni mwanaume tena bado kijana.
Nipe direction ya leo,wapi kuna ubuyu?
Nitajie a/c nikacheke mie maana kukomenti huwa siwezi[/QUOTE
Nasubiria nataka shari aamke nicheke,kwa baby ake je?
Asubuh tuuu ile video ya jiti kumani ikatupiwa.Nipe direction ya leo,wapi kuna ubuyu?
Nitajie a/c nikacheke mie maana kukomenti huwa siwezi
Uwiiiiii mimi niliiona juzi kwa nataka_shari.Asubuh tuuu ile video ya jiti kumani ikatupiwa.
Ila imetolewa.
Kw douguie ambaye Kiingereza mtihani, kiswahili adhabu.Kuandika kama mtoto wa la pili
ngojea miss strong atoke kazini aje kunisaidia kuwachamba wewe na jobless mwenzako nifah !Nafiki balaaa halaf hua hapitwii atasoma kimya kimya kisha akizidiwa anakoment