Diamond nae anaficha shoo tu maana àkikubali itakuwa aibu ya karne.. Ngoja wenye baba waanze kudai mtoto waoHivi bwana ninae mimi,naanzaje sasa kurusha vijembe kwa X?Zari hajiamini kwanza yule mtoto angekuwa wa diamond biologically zari angeshaweka majibu ya DNA ili kuwaziba midomo wavimba macho
Sasa kama hawaishi kumtibua kwanini asiwajibu nae ana moyo ujueSawa kachokozwa,kwanini amshambulie Wema kama yuko happy sana na huyo anayejidai yuko happy?
Mtanzania mwenzenu we na nani miezi mnyarwanda ha ha ha ha haHua anatoa madongo Sana ,simpendi wema lakin Zari kazidi akwendree kwanza wema mtanzania mwenzetu
Hahahahaa nacheka kama mazuri,kanikera sana leo.
Halafu huyu ndio watu wanamsifia kuwa anajielewa!
Kwakweli hajawahi ha ha haKwani ushawah kumpenda Zari?
Hv ukitoa mimba huwi mama eenh??Umeona eeeh?Mama wa watoto wanne sijui anapata wapi muda wa kulumbana na wasichana Instagram.
Mtanzania mwenzenu we na nani miezi mnyarwanda ha ha ha ha ha
Ukifatilia kwa ukaribu zari either hajiamini or ana tatizo la kupenda kiki ushuzi....Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Non Anty hakuwa na vijembe ila mwengi ndo alikuwa na vijembe nahisi koz alinyanganywa tonge kinywani;ila zari jamani anajiaibisha mtu ana mtoto adolecent kabisa ila kutwa kuandika vijembe,yule hana akili amshukuru ivan anamuweka mjiniNdo tabia za wanawake hizo
Aunt kamchukua iyobo vijembe kwa mwengi
Shamsa alimchukua nay wa mitego vijembe kwa siwema
N.k
Sema mjini siyo mujini.Napitwaje sasa?Hii ndio raha ya kuishi mujini (umbea).
Kijijini kulima tu
Unakua mama mfiwa ha ha ha ha ha ha haHv ukitoa mimba huwi mama eenh??
Tatizo we nawe inaonekana unamfahamu wema wa kwenye mitandao tu humjui wema halisi!! Yule binti ana roho ya ajabu sana na nimchonganishi sijapata kuona.. Wema amefika point mpaka anawalipa waandishi wa magazeti ya udaku wamchafue zari na dogo D!! Kama ni uvumilivu ni D na mkewe ndio wavumilivu lakini sio huyo binti yani ameunda hadi kanetiweki chake cha watu kwa ajili ya kumchafua dogo D.. Kiufupi huyu binti ni mkorofi sana na hajitambui so sishangai kama mwenzake naye amereact kwa hasira na kumtukana..Katika hili nimemdharau sana Zari.
Wema ameshamuachia huyo Diamond,anamfuata tena na vijembe vya nini?
Anaonekana ana stress sana baada ya kusikia Wema ana mimba.
Na sikutegemea Zari yule anayejidai mzungu kufanya uswahili wa namna hii.
Ni wazi Wema anamuumiza sana.
Sasa unatokaje South Africa Johannesburg kwenye mansion unaenda kuishi nje ya dar porini kwenye kijumba kilichopo kwenye mkondo wa maji.. Huu kama si ukichaa ni nini?? Ameacha kuuza vipodozi na maunga sikuhizi anashinda kwenye mitandao kutukanana na wanaweHahahahaaa uwiiiiiii!
Umenivunja mbavu best yangu kipenzi.
Four kidsYuko na mtt wa Tandale tena..Anaachaje uswahili...Embu atulize papa huko alee watt...
Teynaaaaa,huyu bibi kizee nae leo kalikoroga.
Asiyekaa alee watoto wake wanne anahangaika na Wema.
Mwalimu insta kuna mweupe? Usidanganyike na applications....Zari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu